Tajiri namba moja duniani Elon Musk ametangaza kampuni yake mojawapo ya Neuralink inayofanya kazi za kuhusianisha ubongo wa binadamu na teknolojia ya computer kuja na kifaa cha kuwawezesha vipofu...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
December 31, 2024
IDF says senior Islamic Jihad rocket commander killed in recent Gaza drone strike
By Emanuel Fabian Follow...
Kwa mara nyingine tena China imeonyesha ina high tech kwenye high speed train kwa kuzindua treni yenye kasi ya 450km/hr mnamo Desemba 29
Kwa sasa inashikilia rekodi ya kasi kubwa zaidi duniani...
Serikali ya Haiti imesambaratika baada ya aliyekuwa kiongozi wake kujiuzulu kwa shinikizo la makundi ya mitaani yakiongozwa na Vitel'homme Innocent
Kiongozi huyo wa makundi ya kihalifu...
Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) ikimtaja Matthew Livelsberger, kuwa mtu aliyefariki ndani ya gari aina ya ‘Tesla Cyber truck’ iliyolipuka nje ya hoteli maarufu ya Trump jijini Las Vegas...
Wahaiti wajue kwamba, mambo yanaenda kwa mipango! Au wanataka waone polisi wa Kenya wamekufa kwa wingi ndio waamini kama wanafanya kazi!
Habari kamili;
Shinikizo linaongezeka kwa maafisa wa...
Saudi Arabia inasema imewanyonga Wairani 6 kwa ulanguzi wa dawa za kulevya huku Iran ikilaani vikali.
Saudi Arabia ilisema Jumatano kwamba ufalme huo umewanyonga wanaume sita wa Iran kwa ulanguzi...
Wadau hamjamboni nyote?
Madaktari wamemzuia yeye akagoma na kuondoka kuelekea bungeni
Mwamba huyo ana siku 2 tu tokea afanyiwe upasuaji na anatakiwa aendelee kuwepo hospitalini Kwa siku kadhaa...
Nimeangalia Al Jazeera
Aisee Huyu Mwamba Wamwache Tu Amalize Alichopanga
Kifupi Hana Hata Mpango WA Kuacha Mauwaji Ya Gaza Leo Wala Keshooo
Mns Anahitaji Kizazi Kipya Gaza Hawa Waliopo Waishe Wotee
Makampuni Maarufu Duniani kwa Mapato katika 2024.
Leo, makampuni makubwa ya rejareja ya Marekani ndiyo makampuni makubwa zaidi kwa mapato duniani kote kutokana na ufikiaji wao wa kimataifa na...
Cybertruck limelipuka kwenye maegesho pembezoni mwa hotel ya bwana Donald Trump, maarufu kama Trump Tower.
Tesla Cybertruck ililipuka nje ya Hoteli ya Trump International, Las Vegas, Januari 1...
Wadau hamjamboni nyote?
Ni shambulizi la kigaidi huko new Orleans Marekani
Dereva aua watu 10 na kujeruhi wengine 30 baada ya kuendesha gari kwa spidi kubwa na kuvamia umati mkubwa wa watu...
Mataifa ya ulaya yamegawanyika kwa misingi ya kikabila, Pengine ni factor mojawapo ya maendeleo
Katika kitu walichokosea wakoloni kwa baadhi ya nchi ni kuunganisha makabila yawe nchi moja...
Hii ni taarifa iliyotolewa na IDF
The Director of Hamas Security Operations in the Gaza Strip, Major General Mahmoud Abu Salah as well as his Assistant and the Director of Investigations...
Jaribio la kumkamata Yoon Suk Yeol, Rais wa Korea Kusini aliyeondolewa madarakani na bunge, limegonga mwamba baada ya polisi na wachunguzi wa rushwa takribani 3,000 kuzuiwa na Jeshi la Korea...
Afisa wa Polisi Nchini Zambia, Titus Phiri, amekamatwa kwa madai ya kuwaachia huru Wafungwa zaidi ya kumi na tatu ili kusherehekea usiku wa Mwaka Mpya haliyakuwa amelewa.
Kwa mujibu wa taarifa...
China inakabiliana na mlipuko mpya wa virusi vya human metapneumovirus (HMPV), vinavyoenea kwa kasi katika majimbo ya kaskazini, hasa kwa watoto wenye umri chini ya miaka 14, ikiwa ni miaka mitano...
Serikali ya Taliban Nchini Afghanistan imetoa agizo jipya ikipiga marufuku ujenzi wa madirisha kwenye majengo ya makazi yanayoweza kuangalia maeneo yanayotumiwa na Wanawake, kama jikoni na visima...