International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Hawa manyang'au wa U.S naona wameshamtumia Zelensky kama pampas sasa wanataka kumtupa. Visingizio vimeanza za kuwinda kuondoshwa Huyu Musk mtandao wake huu amekuwa akiutumia kuchochea tawala...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Wanakaumbi. 🇺🇲🇷🇺 Marekani na Urusi zitaanza mazungumzo nchini Saudi Arabia ili kumaliza vita nchini Ukraine. Ukraine na Ulaya hazijaalikwa na hazitaulizwa maoni yao kwa sababu hakuna...
11 Reactions
122 Replies
6K Views
United States and Russia MEET in Saudi Arabia; First Meeting in Years Hal Turner World Russian Federation Foreign Minister Sergei Lavrov and United States Secretary of State Marco Rubio are...
0 Reactions
7 Replies
958 Views
On 25 Feb Europe alarmed that Russia and US has met and discuss issues about Ukurain security in Europe among the issues include territorial concession without ukurain or Europe in the room of the...
1 Reactions
3 Replies
454 Views
Hivi karibuni serikali ya Marekani ilitangaza sera mpya ya ushuru wa forodha, na kutoza viwango sawa vya ushuru wa forodha kulingana na Marekani inavyotozwa na nchi nyingine. Wachambuzi wengi...
0 Reactions
1 Replies
347 Views
Njama dhidi ya Palesina,Gaza na Hamas zimeshindwa vibaya mpaka sasa kiasi kwamba wahusika wakuu kutoka Marekani na Israel wamekuwa wakiropokwa ovyo. Raisi Trump wiki mbili zilizopita alitoa ya...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Ni hatari kua adui wa Marekani, lakini ni hatari zaidi kua rafiki wa Marekani, Henry Kissinger.. je ni haki kwa Ukraine kutupwa nje kwenye meza ya mazungumzo kuangalia namna ya kuvimaliza vita...
15 Reactions
21 Replies
2K Views
Inaitwa China International Development Cooperation Agency (CIDCA). Imegawa msaada wa chakula kwa Zimbabwe, tusiwachukulie poa Wachina, kumbe wanalisha Africa pia tofauti na kuwa soko la lao la...
5 Reactions
45 Replies
2K Views
Pia ikumbukwe kuwa raisi wa Ukraine amesha maliza muda wake wa uraisi. Hata hivyo uchaguzi mpya Ukraine haukufanyika kwa sababu ya vita. Pia Ukraine imeruhusiwa kujiunga na umoja wa ulaya EU kwa...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Kenya katika EAC inaelekea kuwa kitovu cha mipango hasi dhidi ya serikali kadhaa za ukanda huu. Kabla ya vita kupamba moto DRC, viongozi wa makundi mbalimbali ikiwemo M23 walikutana Kenya na...
1 Reactions
12 Replies
895 Views
Nani amehack account ya Trumpet!?
1 Reactions
12 Replies
905 Views
Rwanda imetangaza kusitisha ushirikiano wa kiuchumi na Ubelgiji kutokana na kuituhumu nchi hiyo kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kuendesha kampeni ya kuihujumu...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Wakuu, Namsalimu Mwigulu Nchemba kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kazi iendelee =============================== Huko nchini Ghana aliyekuwa Waziri wa Fedha wa Ken Ofori-Atta...
1 Reactions
13 Replies
718 Views
Hamna ukweli wowote kwamba Uingereza mnamo 2050 itakuwa nchi ya kislamu Hakuna ukweli wowote kwamba Ulaya na Marekani wanaugeukia Uislamu kwa wingi Wakristo wana hofu wakisikia hivyo Waislam...
14 Reactions
154 Replies
5K Views
Kipindi akiwa kwenye kampeni za kutafuta Urais mwaka 2024, Rais wa Marekani Donald Trump aliahidi kumaliza mgogoro kati ya Ukraine na Urusi Mwezi takribani mmoja baada ya kuapishwa, tayari...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
15 February 2025 Kivu DR Congo JENERALI SULTANI MAKENGA AJITOKEZA HADHARANI, NA KUSISITIZA NIDHAMU Jenerali Sultani Emmanuel Makenga ajitokeza na kutembelea askari waliotekwa wa jeshi la...
9 Reactions
36 Replies
3K Views
Excerpt: Rwanda has suspended its 2024-2029 development cooperation agreement with Belgium, citing Brussels' push for EU sanctions and economic pressure over alleged support for M23 rebels. This...
0 Reactions
0 Replies
575 Views
Maonesho ya biashara ya Utalii (COTTM) yamemalizika hivi karibuni mjini Beijing, China. Maonesho haya yaliyofunguliwa tarehe 16 na kuendelea hadi tarehe 18 mwezi wa 10, yalitoa jukwaa muhimu la...
1 Reactions
1 Replies
408 Views
M23 Rebels Call for Overthrow of Tshisekedi’s Government The ongoing conflict in the eastern Democratic Republic of Congo (DRC) has escalated significantly as the March 23 Movement (M23)...
0 Reactions
2 Replies
707 Views
Chezea njaa wewe. Njemba zinakomaa lakini cha moto wanakiona. Baada ya Taifa teule la Israel kuruhusu kwa wingi malori yaliyojaa chakula kuingia Gazza Hamas wamefurahi kweli nakuahidi kuachia...
0 Reactions
20 Replies
893 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…