International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Nyaraka muhimu zinazohusu kifo cha aliyekuwa Rais wa Marekani John F. Kennedy ambazo Rais Trump ameruhusu ziwekwe hadharani zimetaja kwa kina Miji ambayo CIA wana vituo vya kuendeshea operesheni...
4 Reactions
46 Replies
3K Views
Trump alisema Gaza imekuwa kuzimu, hakufai kwa maisha ya mwanadamu. Hamas wanasifiwa na wajahidina wasiofikiria kwamba wameshinda vita. Je huu ndio ushindi sasa walioupata mbele ya Israeli...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Akitoa tamko la kuiarifu dunia kuwa Israel imerudi vitani Gaza,waziri mkuu wa Israel amesema wanaendelea kupambana huko Gaza dhidi ya Hamas kwa kutumia nguvu zao zote. Naye Donald Trump mara...
16 Reactions
80 Replies
3K Views
Utaratibu wa kuwarejesha nyumbani wanajeshi 190 wa Afrika ya Kusini wanaolinda amani nchini Congo DRC 🇨🇩 umeshindikana. Kwa mujibu wa City Press, wanajeshi hao wote ni majeruhi na kwamba taarifa...
7 Reactions
38 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa SpaceX, Elon Musk, amethibitisha kwa Fox News kuwa alitoa msaada wa kuwarejesha wanajeshi wa NASA waliokuwa wamekwama kwenye Kituo cha Kimataifa cha Anga (ISS), lakini utawala wa...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Kutengeneza kitu kinachoitwa, A strong union and in order to do something with that solidarity, huwenda ndilo jambo gumu sana hapa Dunian Nimeshindwa kuielewa Dunia, hasa kwenye jambo hili, pale...
1 Reactions
16 Replies
686 Views
Kampuni ya akili mnemba ya Kimarekani OpenAI yaitaka serikali ya Marekani kuipiga marufuku akili mnemba Deepseek kutoka China ikiita kampuni inayopata usaidizi wa serikali na kudhibitiwa na...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Eli sharabi awafanya wajumbe wa Baraza la Usalama la UN kububujikwa na machozi ya huzuni kubwa akiwaeleza jinsi magaidi ya Hamas walivyokuwa wakiwatesa ASEMA ameshuhudoa...
1 Reactions
2 Replies
455 Views
Telegram sasa ina zaidi ya watumiaji bilioni 1 kwa mwezi, na kuwa program ya pili maarufu zaidi ya kutuma ujumbe ulimwenguni (ikiondoa WeChat, ambayo ni maalum kwa China) 🥈 Ushiriki wa watumiaji...
13 Reactions
52 Replies
2K Views
Hungary, chini ya Viktor Orbán, imekuwa ikidhoofisha umoja wa Mataifa ya Magharibi kwa uthabiti, hasa ndani ya Umoja wa Ulaya (EU) na NATO, kwa kujipendekeza kwa Urusi na kuzuia maamuzi ya pamoja...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Nchi tatu za Afrika Magharibi, Mali, Niger na Burkina Faso hivi karibuni kwa nyakati tofauti zimetangaza uamuzi wao wa kujitoa katika Jumuiya ya Francophonie (OIF). Nchi hizo ziliwahi kujulikana...
1 Reactions
2 Replies
478 Views
Hatua ya Marekani imejiri kufuatia tuhuma za ubaguzi dhidi wa Afrikaner uliohusishwa na utawala wa rais Ramaphosa kupitisha marekebisho kwenye sheria za umiliki wa ardhi na kuipa serikali mamlaka...
1 Reactions
2 Replies
334 Views
Askari wa ISRAEL sasa hivi waka katikati ya Gaza tayari kuanza kazi ya kuwanyoosha magaidi wa Hamas kama ilivyo ada askari hao wako huko kwa ajili ya kuwatokomeza Hamas,Kuwarudisha mateka nyumbani...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
IDF imedondosha vipeperushi mashariki mwa Shajaiyah (kaskazini mwa Gaza), ikiwataka wakaazi kuhama: "Uko katika eneo hatari la mapigano Ondoka mara moja na ukae mbali iwezekanavyo."
5 Reactions
23 Replies
839 Views
Waziri wa mambo ya nje wa Iran amesema Marekani na Israel zimechanganyikiwa baada ya kuona nchi za kiarabu zikiungana dhidi yao, Tamko hilo amelitoa baada ya wanajeshi wa Houth kuzishambulia meli...
7 Reactions
36 Replies
2K Views
Jaji Theodore Chuang wa nchini Marekani ameuzuia utawala wa Rais wa nchi hiyo Donald Trump kuchukua hatua zozote za kulifunga Shirika la Misaada la Marekani (USAID) ambapo amesema taratibu za...
1 Reactions
0 Replies
444 Views
Katika mazungumzo Yao hii leo Rais Trump alimdokeza Rais Putin kuwa ajitahidi Iran isiwe katika Hali ya kuiangamiza Israel. Wajuvi wa mambo wanaeleza kuwa hatua hii tayari inaonesha kuwa marekani...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Usiku wa kuamkia leo ving'ora vilisikika ndani ya Israel kuashiria ujio wa kombora hasimu, wateule hao wa mchongo walioonekana kuhaha kutafuta pahala salama pa kujificha. Hata hivyo IDF ilidai...
7 Reactions
53 Replies
2K Views
"Tulikubaliana kusitisha mapigano mara moja kwenye sekta zote za Nishati na Miundombinu, kwa uelewa kwamba tutafanya kazi kwa haraka kufanikisha kwa ukamili kusitisha Mapigano, na hatimaye...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Katika taswira ya ulimwengu wa kisasa, Uingereza bado inajulikana kama taifa lenye historia tajiri ya mafanikio ya kiuchumi. Hata hivyo, chini ya uso wa fahari hiyo, kuna ukweli mchungu: taifa...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…