International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

IDF inasema kuwa imekamata Uchochoro wa Morag na Gaza, na kuikata Rafah kutoka Khan Younis IDF inatangaza kwamba imekamilisha kukamata U hochoro wa Morag kusini mwa Ukanda wa Gaza, na kuukata mji...
1 Reactions
2 Replies
363 Views
Marekani anasema sera ya tarrifs inahimiza katika kumfaidisha zaidi China kuliko yeye kwa muda mrefu. China anasema hatua ya Marekani iliyochukuwa ni ya kionevu na wako tayari kushindana nae hadi...
9 Reactions
24 Replies
2K Views
Sheikh atoa amri wanawake waislamu wakipanda bodaboda wapigwe pamoja na madereva bodaboda Hivi kwenye waislamu kuna watetea haki za kibinadamu na haki za watoto, wao huona vipi hizi sheria za dini...
4 Reactions
39 Replies
2K Views
Wakuu, Shirika la habari la Reuters hivi karibuni limeripoti kwamba Rais wa Marekani Donald Trump amethibitisha kuwa kampuni ya Microsoft iko mbioni kununua Tiktok Taarifa hiyo kutoka Reuters...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Ni pigo Gani hawa Kobazi walipata? Wapi FaizaFoxy, Hezbollah kwa zaidi ya Miaka 30 imekuwa ikimiliki Silaha nzito kuliko Serikali ya Lebanon na mafunzo yao yalikuwa Imara kuliko Jeshi la...
5 Reactions
45 Replies
2K Views
Wizara ya Biashara ya China, leo imetangaza rasmi kuwa China imeongeza ushuru kwa bidhaa zote za Marekani kwa 40% Sasa ushuru utapanda kutoka 85% kufikia 125% Wakati hayo yakiendelea waziri mkuu...
16 Reactions
36 Replies
2K Views
Jeshi la Sudan linaloongozwa na Waislamu lilitangaza kuunga mkono Hamas, na kuahidi kusaidia kuiangamiza Israel. Likiongozwa na wahalifu wa kivita wanaotakwa na ICC Omar al-Bashir na Ahmed Haroun...
3 Reactions
12 Replies
862 Views
Helikopta Yateremka Kwa Ajali Ya Kushangaza Chini ya siku chache zilizopita, Idara ya Uchunguzi wa Ajali na Matukio ya Afrika Kusini ilitoa ripoti kuhusu tukio la ajabu. Safari ya kawaida ya...
2 Reactions
1 Replies
574 Views
Habari wandugu, Kwanza nimpongeze Trump kwa kuichekecha Dunia kisomi sio yule kibabu kilichopita kuichekecha Dunia kwa kumwaga damu Ukraine. Hipo hivi wawekezaji wakubwa nchini USA waliamua...
2 Reactions
10 Replies
578 Views
Iran inasema iko tayari kwa makubaliano ya nyuklia ikiwa Marekani itaacha vitisho vya kijeshi. Iran iko tayari kushirikiana na Marekani katika mazungumzo siku ya Jumamosi kuhusu mpango wake wa...
3 Reactions
9 Replies
917 Views
"Katika usiku wa seder, tunakusanyika na wapendwa wetu kusimulia safari kutoka utumwa hadi uhuru. “Lakini mwaka huu, familia nyingi zitaona viti vitupu—wale mateka wetu bado wanashikiliwa na...
3 Reactions
14 Replies
818 Views
Ndege vita/jet na drone zilianguka Lebanon, israel ikijitetea kuwa ni tatizo la kiufundi Wakati huohuo helicopter ilianguka huko gaza na kuua askari wawili wa israel,utetezi wao ni ule ule, tatizo...
2 Reactions
19 Replies
992 Views
Nlitegemea sisi Afrika tungekuwa moja ya masoko makubwa kabisa ya bidhaa za China. Sivyo. Why? Huku wanatuletea tu takataka soko lao kubwa lipo Ulaya na Marekani. Ndo maana jamaa wanatudharau tu...
2 Reactions
8 Replies
715 Views
Yule dada mrembo press wa white house karolina leavit.amesema ushuru kwa vita zinazotoka uchina zitaongezeka kwa 20% kutoka 125% na kufikia 145% kwa sasa lkn sio mwisho. Tunataka turudishe ajira...
7 Reactions
43 Replies
2K Views
Baada ya mkanganyiko wa mambo mengi yakiwemo masuala ya Iran, Tarrif Rais wa Marekani amtuma mjumbe wake ili kuzungumza na Putin kuweka sawa mambo yao.
2 Reactions
11 Replies
890 Views
A Tanzanian court on Thursday charged opposition leader Tundu Lissu with treason, which carries the maximum penalty of death, as tensions mount in the East African nation before October elections...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Wiki iliyopita Pentagon imeamuru kuhamishwa kwa angalau Mitambo 2 ya Mifumo ya ulinzi wa anga MIM-104 "Patriot" za kombora la ardhini hadi angani na mfumo wa ulinzi wa kombora la eneo la anga za...
9 Reactions
39 Replies
2K Views
On 25th April 2023, USAID AFYA YANGU project in collaboration with the Korogwe District Council health management team conducted a school health symposium event at Joyful day secondary school...
0 Reactions
0 Replies
431 Views
Bilionea Mpalestina na Mmarekani Bashar Masri alijiuzulu kutoka wadhifa wake katika Baraza la Dean katika Chuo Kikuu cha Harvard cha Kennedy School of Government baada ya kushutumiwa na familia za...
1 Reactions
2 Replies
587 Views
Kuanzia msimu wa masomo wa mwaka huu wa vuli, shule zote katika jiji la Beijing zitalazimika kutoa angalau masaa nane ya mafundisho ya Akili Bandia (AI) kwa mwaka wa masomo, kwa mujibu wa taarifa...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…