International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Ni hatia kwa kobaz yeyote kubobea kwenye utaalam wa nyuklia, utawindwa popote, sijui Pakistan waliachiwa aje, uzuri India wanawapumulia huko, japo siku Pakistan watajifanya kuonyesha chuki kwa...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Watu wengi hufikiri vita ya teknolojia ni kati ya USA na China… Lakini ukichunguza kwa undani, kuna vita isiyo rasmi kati ya China ndani ya china na diaspora yake Wachina walioko Marekani...
1 Reactions
6 Replies
578 Views
Wadau hamjamboni nyote, bTaarifa muhimu Baraza la mawaziri la usalama Israel kukutana kwenye chumba maalumu chini ya ardh underground bunker saa 10 jioni, taarifa kamili hapo chini kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyot. e BREAKING NEWS Israel will hit Iran energy sites after Tel Aviv injuries, source says A source close to the Israeli government told Iran International that an...
5 Reactions
47 Replies
2K Views
Chuki mbaya sana…. Mission zako zikiongozwa na chuki mwisho wa siku Unajinasa kwene mtego wako mwenyewe. Toka 1979 Iran ilivopindua serikali ya kifalme na kuweka serikali ya kiislam Ambayo...
2 Reactions
17 Replies
809 Views
Hi nchi ni ya kisenge kweli na wananchi wake walivyo wajinga wanakubali mfalme huyo angushe Missiles na Drones za Iran. Kule Gaza anazuia mpaa vyakula visiende. Wakati Al Houthi wamezuia Meli...
2 Reactions
62 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni . nyote Milipuko miwili imetokea karibu na kituo cha nyuklia cha chini ya ardhi cha Fordo nchini Iran, shirika la habari la Fars linalohusiana na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya...
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Netanyahu na wenzake wamefanya kosa kubwa sana. Kinachoenda kufuata itabaki kuwa Story Majibu ya Iran yataishangaza dunia Kwasababu Iran wanaenda kumaliza kazi waliokua wanaingoja kwa hamu siku...
24 Reactions
113 Replies
5K Views
Waziri wa Ulinzi wa Israel ameionya Iran leo Jumamosi kuwa mji wake mkuu Tehran "utawaka moto" iwapo itaendelea kuvurumisha makombora ya masafa kuelekea Israel.https://p.dw.com/p/4vu3p...
0 Reactions
8 Replies
481 Views
Marekani imeamrisha wanajeshi wake wote kwenye base za mashariki ya kati waingie kwenye bunker ili kuokoa viwiliwili baada Iran kuanza maangamizi ndani ya Israel U.S. Servicemembers at two bases...
6 Reactions
6 Replies
599 Views
Wadau hamjamboni nyote nyote. Shambulio la Israel limethibitishwa kwenye kambi ya kijeshi huko Kermanshah Shirika la Habari la Tasnim, lenye mafungamano na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi...
2 Reactions
8 Replies
715 Views
Muda huu Iran imetuma drones zitakachokua masaa kufika, walipigwa maeneno yote ambayo walikua wanatumia kutuma yale magobore yao.....Wamebaki na nguvu ya kutuma vi-drones tu IDF Spokesman Effie...
6 Reactions
47 Replies
2K Views
General wa Israel aliyechelewa kuingia kwenye mapango ametafunwa mara moya na makombora ya Iran 🇮🇷🇮🇱 | BREAKING: Highly credible reports confirm the Israeli Navy Commander has been killed in...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Hii video imeshtua wengi, Telaviv mitaaa imegeuka Kama Gaza. This is worse than Ever[emoji1313] https://x.com/AlanRMacLeod/status/1933673107736105000?t=RNEkIJQhB9oaV0miCVMQMg&s=19
9 Reactions
79 Replies
4K Views
Muda huu hapa ndege nyingine ya F-35 ya Israel imeangushwa huko magharibi mwa Iran Naona jamaa wameactivate air defense yao vizuri zaidi More info to come [emoji845][emoji1130][emoji1134]|...
1 Reactions
5 Replies
709 Views
Ndivyo ilivyo kuwa wakati Iran inaijibu Israel usiku wa kuamkia Jumamosi
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) linasema limewaua wanasayansi na wataalamu tisa wa nyuklia wa Iran. Hapo awali, jeshi la Israel lilisema liliwaua sita katika wimbi la kwanza la mashambulizi dhidi...
0 Reactions
1 Replies
514 Views
Houthi wa Yemen wanaoungwa mkono na Iran wamesema wamefyatua makombora mawili ya masafa marefu (ballistic missiles) kuelekea Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion usiku wa kuamkia leo. Jeshi la Ulinzi la...
2 Reactions
7 Replies
683 Views
Video hapo chini
0 Reactions
3 Replies
470 Views
Wakuu haya ni makombora gani Iran kayatumia kupiga Israel? Yanapenya tu bila kutunguliwa na mfumo wa Iron dome[emoji1313]...
3 Reactions
9 Replies
796 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…