International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Iran iliwakamata majasusi watano wa Israel ikiwahusisha na kudukua mfumo wa anga la tehran na kuwatumia wenzao wa israel na siku moja baadae Iran ikapoteza uthibiti wa anga na kupelekea...
1 Reactions
0 Replies
432 Views
Rais Mstaafu wa Iran Hassan Rouhani aliwahi kumuonya Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei kuwa "Mossad iko karibu na sisi kuliko masikio yetu" - kauli ambayo sasa inaonekana kuwa muhimu...
4 Reactions
6 Replies
752 Views
Kuna ukweli gani kwa madai ya baadhi ya watu kwamba Marekani ndiyo mwanzilishi wa makundi ya kigaidi kama Al-Qaeda, ISIS, Boko Haram na mengine mengi yanayosumbua katika nchi za Kiislamu au...
10 Reactions
135 Replies
5K Views
Mlinzi wa Nasrallah aliuawa katika mashambulizi ya anga ya Israel nchini Iran - Al Arabiya Aliyekuwa mlinzi wa muda mrefu wa Katibu Mkuu wa Hezbollah Hassan Nasrallah Abu Ali al-Khalil aliuawa...
0 Reactions
1 Replies
388 Views
22.09.2019 Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia Jumamosi alisema Iran inahusika na mashambulizi ya Aramco. "Tuna uhakika kwamba makombora yanayolenga Aramco yanatoka kaskazini, sio Yemen. Saudi...
0 Reactions
1 Replies
420 Views
Jeshi la Marekani limepeleka ndege zake za kivita za kisasa zaidi aina ya F-35A Mashariki ya Kati, huku likiendelea kushambulia waasi wa Houthi nchini Yemen — kundi linaloungwa mkono na Iran...
3 Reactions
7 Replies
874 Views
Uzi Maalumu Kila jambo lina Mwisho njia bora kujenga amani ya kudumu ni muhimu
0 Reactions
19 Replies
608 Views
Acha akili kubwa iendelee kuongoza dunia na itakuwa hivyo milele Najifunza mengi sana kwenye hii vita Ukiangalia mashambulizi ya pande zote Mbili, Iran na Israel Huwenda uwezo wao ni mmoja tu...
13 Reactions
52 Replies
2K Views
Hii tabia ya Israel ya kujisikia kutaka kumuua yeyote inaemtaka haipaswi kuendekezwa na Dunia iliyostaarabika. Iran ina Haki ya kuendeleza tafiti za sayansi ya nishati ya nuclear, hata silaha za...
12 Reactions
163 Replies
5K Views
Mlio sema Israel ana control anga tukawambia hamna lolote Missiles zinaruka. Sa hizi hapa fighter Jet za Iran zinaruka hebu nipeni hapo jibu labda zinaelekea kwenda piga Israel. Leo tena karibu...
13 Reactions
74 Replies
4K Views
Ni kama vile serikali ya Marekani inamilikiwa na Israel. Inawezekana vipi akasema Tulsi ( mkuu wa intelligence) haujui kitu basda ya kuulizwa kua report ya march 2025 inaonesha Iran hana nuclear...
5 Reactions
8 Replies
620 Views
Kwa Ayatollah Khamenei hakutania aliposema Israel ijiandae kupata maafa makubwa katika vita. Baada ya kupigwa na kuharibiwa kwa hospitali kubwa nchini Israel ambayo Netanyahu huwa anatembelea...
1 Reactions
18 Replies
989 Views
Flight data shows two B-2 bombers taking off from US, flying toward Guam Today, 1:11 pm Two B-2 bombers have taken off from Whiteman Air Force Base in Missouri towards the US military base on the...
4 Reactions
7 Replies
657 Views
Tetemeko la Ardhi la Kipimo cha 5.1 Laitikisa Kaskazini mwa Iran Wakati Israel Ikiendeleza Mashambulizi ya Anga Shirika la Jiolojia la Marekani (USGS) limesema kuwa tetemeko la ardhi lenye ukubwa...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Iran imetangaza kuwa wanawake na watoto 45 wameuawa tangu kuanza kwa mashambulizi ya Israel, huku wengine 75 wakijeruhiwa. Katika mahojiano ya moja kwa moja kupitia televisheni, msemaji wa...
1 Reactions
8 Replies
438 Views
Madege haya ya B-2 stealth bombers ndio yanatarajiwa kufumua milima na miamba Ili kufikia na kuharibu vituo vya nyuklia vya Iran vilivo ardhini.
0 Reactions
0 Replies
285 Views
Kwa uwezo wa kijeshi na teknolojia ya kisasa, ndege ya kivita ya Marekani aina ya B-2 Spirit (stealth bomber) inaweza kuharibu kituo cha nyuklia cha Iran cha Fordow (au Fordo Fuel Enrichment Plant...
3 Reactions
11 Replies
942 Views
Swali hilo limekuwa likiulizwa na watu wengi, hasa katika nyakati hizi tunapoona Taifa la Israeli likipitia mateso, vita, au mashambulizi makali. Huenda hata wewe unajiuliza: “Je, ni kweli Mungu...
2 Reactions
40 Replies
2K Views
Kupitia akaunti yake ya mtandao wa Truth Social Rais wa Marekani, Donald Tru,p ameandika Juni 19, 2025 ""Siku nyingi za mapumziko zisizo za kazi nchini Marekani. Zinatugharimu mabilioni kwa sababu...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Tetemeko la ardhi lime tokea Iran siku ya leo majira ya saa tatu asubuhi lenye ukubwa wa magnitude 5.5 kwenye jimbo la Qom ambalo lipo karibu na Fordow nucleur site. Hakuna ripoti ya majanga japo...
5 Reactions
16 Replies
981 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…