International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Wakuu, Huko nchini Marekani, Chama cha Democrats kimemteua Zohran Mamdani, mwenye asili ya kutoka Uganda na India, kuwa mgombea wake katika kinyang’anyiro cha Umeya wa Jiji la New York baada ya...
1 Reactions
6 Replies
972 Views
Urusi imekuwa nchi ya kwanza duniani kutambua rasmi serikali ya Taliban nchini Afghanistan, takriban miaka 4 baada ya kundi hilo kurejea madarakani mnamo Agosti 2021. Moscow imesema itashirikiana...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Iran leo ilitangaza kufunga anga lake la magharibi na Kati kwa ndege za kiraia, mpaka kesho Inazua wasiwasi wakati huu israel ikiwa kwenye mazungumzo mazito na marekani na madege ya mizigo ya...
4 Reactions
85 Replies
4K Views
Rais Donald Trump wa Marekani atakutana na viongozi kutoka mataifa matano ya Afrika mjini Washington wiki ijayo, kujadiliana 'fursa za kibiashara' kwa mujibu wa Ikulu ya White House. Trump...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Nakala kamili ya pendekezo la Witkoff la kusitisha mapigano Gaza na mpango wa kuwaachilia mateka Yafuatayo ni maandishi ya mjumbe maalum wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati Steve Witkoff...
1 Reactions
11 Replies
755 Views
Dunia imechoshwa na hawa Wazayuni Walioeneza ushoga na usagaji na ponografia ni wao Ni mawakala wa Vita Dunia nzima Ni waasisi wa Ubaguzi wa Rangi dunia nzima Ni waasisi wa chuki na...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Madhara ni makubwa mno, hii ndo lists ya hasara walizopata Israel katika vita vyake vya siku 12 na Iran 1.Zaidi ya Waisrael elfu 18 wamebaki bila makazi hapo ni Telaviv tu 2.Hasara ya Trilioni...
18 Reactions
83 Replies
4K Views
Wakuu, Jeshi la Israel limefanya mashambulizi makubwa Gaza, likisema linashambulia ngome za Hamas. Wizara ya Afya ya Hamas imeripoti vifo vya watu 330. Mashambulizi yalianza alfajiri wakati wa...
3 Reactions
39 Replies
2K Views
Ndugu kulikua na mtifuano humu jf baina ya waisrael wa buza na wa Iran wa yombo ila sioni fact za kutetea Israel kwa vita ya rising lion ya siku 12 nimemaliza uzi kwa kuuliza wako wapi waliosema...
14 Reactions
41 Replies
2K Views
Ukraine imeonya kuwa kukatizwa kwa shehena za silaha za Marekani huenda kukachochea Urusi kuendeleza vita nchini humo, ambayo sasa ni mwaka wake wa nne. Siku ya Jumanne Ikulu ya White House...
3 Reactions
13 Replies
825 Views
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha la Equatorial Guinea, Baltasar Engonga Ebang, amehukumiwa kifungo cha miaka 18 jela kwa ubadhirifu wa zaidi ya Sh milioni 230...
2 Reactions
9 Replies
874 Views
Hivi, mpaka lile taifa la mchoongo(linalojiita teule) Mungu wao hakujua wateule wake wanaenda kukosa makazi! Na wengine kupukutika(japo kwa akili za wenzetu tunajua Makombola ya Iran yanashusha...
20 Reactions
209 Replies
5K Views
Umoja wa Mataifa umeonya kuwa magenge ya kihalifu yamedhibiti karibu mji mzima wa Port-au-Prince, mji mkuu wa Haiti. Takriban asilimia 90 ya jiji hilo sasa liko mikononi mwa magenge, huku ghasia...
1 Reactions
6 Replies
520 Views
Tesla imekumbwa na pigo kubwa la mauzo kutokana na mchanganyiko wa sababu za kisiasa, ushindani wa kibiashara, na hali ya kutoaminika sokoni. Uwezo wa kampuni kurudi kwenye ukuaji utategemea...
1 Reactions
1 Replies
303 Views
Rais Donald Trump wa Marekani atakutana na viongozi kutoka mataifa matano ya Afrika mjini Washington wiki ijayo, kujadiliana 'fursa za kibiashara' kwa mujibu wa Ikulu ya White House Trump...
0 Reactions
1 Replies
473 Views
Mhariri mashuhuri wa gazeti la Zimbabwe Independent, Faith Zaba, amekamatwa na kuzuiliwa jijini Harare siku ya Jumatano kwa kuchapisha makala ya kejeli inayomkosoa Rais Emmerson Mnangagwa, hatua...
0 Reactions
3 Replies
307 Views
Trump alidai hivi karibuni kwamba Elon Musk angekuwa “rasmi anarudi Afrika Kusini” ikiwa serikali ya Marekani itakata misaada kwa makampuni yake. Hii ilitokea alipokosoa muswada wake wa matumizi –...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
beautiful congolese woman as a white house reporter …
3 Reactions
16 Replies
1K Views
moja ya viongozi wakuu wa kidini nchini Iran 🇮🇷 Ayatollah Makarem Shirazi, ametoa wito kwa waislam kote Duniani, kuwaua Donald Trump na Benjamin Netanyahu, akiwaita viongozi hao kuwa ni “maadui wa...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Nchi hizi mbili zimeanza mchakato wa kupitia upya tekinolojia wanazotumia kwenye ulinzi wa anga baada ya Israel kuiangamiza Iran kwa kiwango kikubwa mno. Jamii nzima ya kimataifa imepatwa na...
16 Reactions
98 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…