International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, Joseph Kabila ni sharti aheshimu katiba na kujiuzulu mwishoni mwa muhula wake, waziri wa masuala ya kigeni nchini Ufaransa Jean-Mark Ayrault amesema...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1. Nchi zote Malawi na Zambia zilipata uhuru mwaka 1964 na zote hutumia pesa aina ya Kwacha. Marais wake wote, Dk. Kamuzu Banda (Malawi) na Dk. Kenneth Kaunda (Zambia) walizitumikia nchi zao...
8 Reactions
18 Replies
7K Views
Waziri wa zamani wa sheria nchini Rwanda Jean De Dieu Mucyo, ambaye amekuwa akihudumu kama seneta, amefariki dunia baada ya kuanguka kwenye ngazi akielekea ofisini mwake. Idara ya mawasiliano ya...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Iran's Revolutionary Guard unveiled a new attack drone which is similar to a U.S. unmanned aerial vehicle captured five years ago and is capable of carrying bombs, state media reported on...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Credit Meridith Kohut for The New York Times The state-run psychiatric hospital here in Barquisimeto, Venezuela, has long been a forgotten place, filled with forgotten people. But with Venezuela...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
The Mandela Washington Fellowship for Young African Leaders is the flagship program of the Young African Leaders Initiative (YALI). President Obama launched YALI in 2010 to support young African...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waumini wa dini ya Tao nchini Phuket, Thailand walijidunga visu, mapanga na vyuma mashavuni katika siku ya kwanza ya kuadhimisha wiki ya kususia ulaji wa nyama. Wiki hii waumini hao watajitesa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn amewalaumu watu waliokuwa wakifanya fujo, kwa kusababisha mkanyagano katika jimbo la Oromiya, ambako amesema watu 52 wamefariki dunia. Amekanusha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ban Ki-moon's 10-year tenure as the Secretary-General of the UN will end in December 2016 and there are several global figures nominated to replace him as the world's top diplomat. Candidates The...
0 Reactions
2 Replies
786 Views
Nashangaa kuona Iran haijatuma muwakilishi msibani kwenye mazishi ya Peres Israel au haya mataifa mawili hayapatani. Mwenye kujua anisaidie.
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Samahani hivi kiongozi wa waasi syiria ni nani? Asadi ndio anaepingwa wanaompinga ni akina nani na shida nini..... Hawachoki nchi za kiarabu note kumepoaa wore wameng'oka Assadi kakomaa.. Nani...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
The F-35 just proved it can take Russian or Chinese airspace without firing a shot By Alex Lockie16 hours ago     carried out a remarkable test where its sensors spotted an airborne...
1 Reactions
40 Replies
8K Views
Mwaka wa kwanza wa Intifadha ya Quds Leo tarehe Mosi Oktoba inasadifiana na siku ya kuadhimisha mwaka wa kwanza wa kuanza mapambano ya Intifadha ya Quds ya wananchi wa Palestina dhidi ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Uzuri wa kutoa maoni kwa uhuru. Minister kafunguka juu ya Obama. Anzia 1:55:42 “There’s your legacy, Mr. President… it’s in the streets with your suffering people, Mrs. President. And if you...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Rai wa Nigeria Muhammadu Buhari amemfukuza kazi mwandishi wake wa hotuba aliyenakili kila kitu kutoka kwenye hotuba ya Obama aliyoitoa mwaka 2008. Mnamo Septemba 8 Rais Buhari alisoma hotuba bila...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
September 30, 2016 at 10:41 pm By Julius Rwakarema and Dias Nyesiga Inside Rwanda army that has attracted anger and accolades The Rwanda Defence Forces transformed from a liberation force into...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtoto wa kwanza aliyetengezwa kwa kutumia mbinu ya uzazi wa mbegu za watu watatu amezaliwa, jarida la kisayansi la New Scientist limetangaza. Mtoto huyo wa kiume mwenye umri wa miezi mitano ana...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimestushwa na Habari za Marekani Kupeperusha Bendera yao Nusu Mlingoti kuomboleza Kifo cha Kiongozi wa Zamani wa Israel.. Barack Obama kwa Kutumia Kifungu cha Sheria za Marekani alimuru Amri hiyo...
3 Reactions
28 Replies
6K Views
Rais wa Malawi..Bi Joyce Banda ambaye ni mwanamke wa pili Afrika kuwa rais, ameipiga mnada ndege ya serikali iliyokuwa ikitumiwa na rais aliyemtangulia marehemu Bingu wa Mutharika. Pia ameyapiga...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…