International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

kutoka kwa nguri wa habari Larry madowo:Why is the African Union getting cooked for this statement on Venezuela?. Maana afrika kama futuhi fulani.Kwa hiyo ya afrika ni kama hakuna wenye uchungu...
5 Reactions
13 Replies
469 Views
Ili kuuhakikishia iulimwengu na wanafiki wanaoeneza uongo kuwa Israel inawachukia wakristo Waziri Mkuu wa Israel kama kawaida yake ya kila mwaka usiku huu amewatumia salamu kuwatakia Kheri...
5 Reactions
65 Replies
859 Views
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa Marekani imefanya mashambulizi makubwa ya kijeshi dhidi ya Venezuela na kufanikiwa kumkamata Rais wa nchi hiyo, Nicolás Maduro, pamoja na mke wake...
18 Reactions
288 Replies
9K Views
kulikuwa na 1.8 million Christians in syria leo wamebakia laki 3 tu, wanasali chini ya mtutu wa bunduki, kama mlifikiri haitatokea hapa tanzagiza think again, lebanon ilikuwa ni Christian majority...
1 Reactions
45 Replies
895 Views
Kinachoendelea ulimwenguni kwa sasa ni kukamatwa kwa Maduro! Ila ukitumia jicho la tatu kwa kufuata mtiririko ufuatao utagundua ni mchongo ili kuipa hadhi Marekani pamoja na Trump! Hii ni jana...
7 Reactions
45 Replies
2K Views
Changamkieni fursa wan JF, tukitengemeza has timu ya wat kumi kila mtu achukue 5m💵 inatosha 🤣
4 Reactions
17 Replies
769 Views
Ukisikia unyakuo ndio huu. Kikosi maalumu cha jeshi la Marekani (Delta Force), kimetumia dakika 124 tu (masaa mawili na dakika 4) kutua Ikulu ya Venezuela (Palacio de Miraflores) na kumnyakua Rais...
22 Reactions
55 Replies
3K Views
Maduro atasafirishwa hadi gereza la Kituo cha Magereza cha Jiji ambapo atakabiliana na mashtaka ya dawa za kulevya, saa chache baada ya jeshi la Marekani kumkamata yeye na mkewe. Maduro aliwa na...
6 Reactions
49 Replies
1K Views
Amebaki huyu sasa Amani ya mashariki ya kati itaongezeka kwa hata asilimia 60% siku akinyakuliwa 👇👇
3 Reactions
9 Replies
280 Views
WIZARA YA MAMBO YA NJE YA URUSI “Asubuhi ya leo, Marekani imefanya kitendo cha uchokozi wa kijeshi dhidi ya Venezuela. Hili linatia wasiwasi mkubwa na linapaswa kulaaniwa.” “Sababu zilizotumika...
1 Reactions
11 Replies
521 Views
Marekani imesema itaingia mzigoni ikiwa itabainika kwa mapolisi wa Iran waliua waandamanaji kwa makusudi. https://www.instagram.com/p/DTAREQjgYoa/?igsh=MWRnM2d2bnEzeXluZA==
2 Reactions
32 Replies
818 Views
Maandamano dhidi ya gharama kubwa ya maisha nchini Iran yameenea hadi vyuo vikuu kadhaa, huku wanafunzi wakijiunga na wafanyabiashara na wauzaji wa masoko (bazaars), vyombo vya habari vya serikali...
10 Reactions
59 Replies
2K Views
Wakuu, Najua kwa sasa hot issue ni maduro. Hebu tupitie kidogo maisha yake ----------- Novemba 23, 1962: Nicolás Maduro Moros anazaliwa Caracas, Venezuela, familia yake ikiwa ya wafanyakazi...
0 Reactions
3 Replies
335 Views
Makamu wa Rais mstaafu wa Marekani, bibie Kamala Harris amesema Donald Trump ameivamia Venezuela sio kwasababu ya kutokuwa na demokrasi au biashara ya madawa ya kulevya bali ni kuhakikisha...
4 Reactions
36 Replies
651 Views
Wakuu, Anaandika Kumbusho Dawson kwenye ukurasa wake wa Instagram: Hii ilikuwa mwaka 2019, wananchi wa Venezuela walijaribu kuandamana kupinga matumizi mabaya ya mali za umma, utekwaji na...
4 Reactions
11 Replies
466 Views
Awali ya yote ukisikia kuhusu VITA na TAARIFA za Vita unakumbuka Maneno ya Mtu Maarufu Gani? na inakupa tafsiri gani? Mimi kwangu inanikumbusha Maneno ya Yesu alipokuwapo hapa Duniani aliyoyasema...
0 Reactions
0 Replies
244 Views
Trump hajamkamata Maduro kwasababu ya ukiukaji wa Sheria, bali ni kwasababu Maduro ameharibu maslahi ya Marekani yakupata mafuta Na ndiyo sababu uamuzi wa kumkamata haujapitishwa na Bunge ni...
2 Reactions
29 Replies
382 Views
How the Pentagon snatched Nicolás Maduro — The Economist
1 Reactions
1 Replies
208 Views
Kesho Trump anaweza kuwa Shangai Detention Centre ya China😄😄😀😅😆 --- China has called on the United States to immediately release Venezuelan President Nicolas Maduro after Washington carried out...
3 Reactions
17 Replies
730 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…