International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

KWELI UNABII LAZIMA UTIMIE ============ Tarehe 5 Februari 2012, mchungaji marehemu Temitope Balogun Joshua (TB Joshua) alitoa unabii akizungumzia mvutano kati ya Iran na Israel, akionya kwamba...
0 Reactions
10 Replies
211 Views
Rais wa Ukraine Zelenskyy “Marekani Imeniomba Msaada Dhidi ya Drones za Iran” Rais wa Ukraine Zelenskyy “Marekani Imeniomba Msaada Dhidi ya Drones za Iran” Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy...
0 Reactions
0 Replies
220 Views
Afisa mmoja mwandamizi wa serikali ya Israel amesema kampeni ya kijeshi ya pamoja ya United States na Israel dhidi ya Iran inaendelea vizuri zaidi kuliko ilivyotarajiwa. “Hakuna aliyedhani...
3 Reactions
13 Replies
393 Views
CNN reporter shocked by the level of STABILITY in Iran despite the ongoing Zionist aggression.
0 Reactions
0 Replies
92 Views
Botswana is planning to increase mining exploration as the country seeks to diversify its economy beyond diamonds. Diamonds currently account for about 80% of Botswana’s foreign exchange earnings...
1 Reactions
0 Replies
179 Views
Iran has launched an aerial strike involving drones and missiles that hit Saudi Arabia’s major Saudi Aramco oil refinery and export hub at Ras Tanura on the Gulf coast, forcing the facility to...
12 Reactions
123 Replies
2K Views
"We are now in fully control to the Sky of Telaviv"Hii ni kauli ya viongozi wa Iran leo, ni baada ya Israel nao kutamba eti wanadhibiti anga la mjini Tehran Iran shells #Israel with Fattah 2...
4 Reactions
9 Replies
310 Views
Kumekuwa na mjadala mkubwa nchini United States kufuatia wito wa kupitishwa kwa sheria mpya inayojulikana kama “Save America Act.” Sheria hii inapendekezwa na Rais wa zamani wa Marekani Donald...
1 Reactions
14 Replies
349 Views
Marekani na Israeli zimeanzisha vita dhidi ya Iran zikipuuza sheria za kimataifa. Ingawa bara la Afrika liko mbali na uwanja wa vita katika Ghuba ya Uajemi, lakini kutokana na utandawazi wa uchumi...
0 Reactions
5 Replies
663 Views
Waziri wa Usalama wa Ndani, Kristi Noem, alikabiliwa na msururu wa madai ya utovu wa nidhamu mbele ya Kamati ya Sheria ya Bunge siku ya Jumatano. Madai hayo yalijumuisha masuala kuhusu mipango...
0 Reactions
2 Replies
257 Views
Kinachofanywa na Iran ni totaly utoto, wana kila sababu ya kurusha makombola Israel lakini wrong strategy kushambulia mataifa ya Kiarabu ambao ndio majirani zake. Marekani sasa inapata uhalali wa...
20 Reactions
96 Replies
2K Views
Hakuna free lunch hapa duniani. Lakini afadhali kusaidiwa na mtu wa mbali unajua kabisa atachukua sehemu flani ya rasilimali kisha awaache muendelee na maisha mengine kwa uhuru kuliko kuongozwa...
3 Reactions
3 Replies
133 Views
Fuel prices are climbing across Africa as escalating conflict involving the United States, Israel, and Iran adds pressure to global oil markets, analysts say. Crude prices have jumped in recent...
1 Reactions
2 Replies
191 Views
https://youtu.be/OGPcWKBWiz0?si=LN83QgAZlt2Zufl6 Kama nilivyokuwa nahisi, kazi ya ujasusi dhidi ya Ayatollah ilifanywa na CIA ya USA. CIA kumbe walikuwa wanamfuatilia kwa kipindi kirefu tu ili...
7 Reactions
17 Replies
682 Views
Kama Iran na washirika wake wanaamini Trump ni zao la Putin, kwa nini pia wasiamini kwamba Trump analinda masilahi ya Putin kwa kuwapiga Iran? Siku zote kobazi wamekuwa wakiamini, uchaguzi mkuu...
2 Reactions
7 Replies
258 Views
Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz, ametoa onyo kali akitangaza kuwa jeshi la nchi hiyo litachukua hatua za kumuua kiongozi yeyote wa Iran atakayeteuliwa kuwa mrithi wa Ayatollah Ali...
5 Reactions
25 Replies
651 Views
Ukitazama vita vya Urusi na Ukraine namna vilivyoanza na sasa hali ni tofauti kabisa unaweza hisi labda Ukraine hakuna vita. Ukija vita vya Gaza navyo vilianza kwa msisimko mkali baadae vikapoa...
1 Reactions
3 Replies
199 Views
Hapo bado nchi za guba hazijaanza kurudisha mashambulizi. Ni wakati saahihi sasa waajemi waangushe mamlaka ya kigaidi.
12 Reactions
56 Replies
1K Views
Naam Ni mengi yamejiri juu yako na heshima yako imeshushwa! Umetafutwa ugomvi kwa muda mrefu ili kobe atoe shingo, umefedheheshwa Iran na hata ile mipango yako ya Nyuklia imekuwa ikidhibitiwa ili...
5 Reactions
79 Replies
5K Views
Salaam Nyakati hizi ni mengi yanazungumzwa na kuandikwa kuhusu yanayo endelea Iran na Marekani ila tufikiri nje ya box kidogo kuhusu Iran. Inatambulika Taifa lenye nguvu duniani ni Marekani...
4 Reactions
50 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…