WanaJF.
Natumai mubukheri wa afya. Napenda kutoa masikitiko yangu kutokana na utaratibu mbovu wa huduma za Bima ya Afya za NHIF katika hospital ya Muhimbili kitengo cha mifupa Almaarufu MOI...
Anatafutwa kwa kosa la wizi kwa njia ya mtandao. Pia namba alio tumia kupokelea pesa haipatikani.
Kwa mujibu wa maelezo kadhaa.... Inasemekana anaishi maeneo ya kimara Dar.
Kama nilivyo toa...
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoka tahadhari kwa watumiaji wa simu za mkononi kutorudisha pesa kwa mtu aliyekutumia pesa kimakosa.
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Mhandisi James Kilaba...
20 - 25 = iwe kama ni kielimu hujafikia malengo yako, sitisha mara moja tafuta kazi/biashara ya kufanya, pigana kufa na kupona ili kama vipi urudi shule kwa pesa yako.
25 - 30 = Hakikisha uwe na...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.Tangu nikiwa mtoto nimekuwa nikisikia matukio ya watu kuanguka chooni na kufa lakini mpaka utu uzima wangu huu bado sijajua sababu.Je hali hii...
Habari,
Wakubwa shikamooni
Tulio sawa mambo vipi
Leo ni siku ambayo Mhe. Magufuli anapewa ripoti ya watumishi waliofoji vyeti. Inasemekana ripoti hii ina watumishi wengi wa serikali wakiwemo...
"Huyu dada mke nilimfahamu kupitia rafiki yake chuoni. Nilipomwona nilishtuka sana 'she is pretty' na ni classic siyo wa njaa. Actually miaka yote sikuwa napenda kudate wasichana wenye njaa...
Wakuu, juzi nilisafiri kwa gari binafsi toka Moshi kuja Dar es salaam. Nilikuwa mwangalifu sana na speed limit hasa zile za 50.
Nilipofika Mombo nikasimamishwa na Trafiki wakasema kuna eneo...
Heri ya Pasaka,
Pokea hili japo ni wiki zimepita toka kuiadhimisha.
Naomba maoni yenu juu ya uelewa wangu juu pasaka na easter.
Pasaka ni sikuku ya kiyahudi kwa asili, ilikua sikukuu ya...
Rais Dkt. John Pombe Magufuli siku ya kesho Ijumaa anatarajia kupokea ripoti ya taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti feki kwa watumishi wa Umma ambayo itawasilishwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya...
Moja ya nyumba ya makazi katika kijiji cha Igurugabi Bugandika alikozikiwa balozi Kazaura
Wilaya ya Missenyi ina wasomi wa kiwango cha'Uprofesa'zaidi ya arobaini wanaofanya kazi ndani na nje ya...
------IN_FACT--------
NCHI SALAMA IKIWA VITA YA III YA DUNIA ITATOKEA
Pengine baada ya kusoma au kusikia kuhusu vita vya I na II vya dunia ukawa unahisi au kukadiria kuhusu vita ya...
Mwanaume atakayesahau siku hiyo atapewa adhabu kali kwa mujibu wa sheria za nchi hiyo. Lengo la sheria hiyo ni kufanya familia nchini humo kuishi kwa upendo na maelewano.
Samoa ni miongoni mwa...
```Kumekuwepo na tatizo la vifo vya ghafla sana tena kwa watu ambao wana afya njema na hii inatokana na kuamka ghafla usiku ambapo ubongo hukosa damu ya kutosha.```
_Unapoamka katikati ya usiku...
Pamoja na watu kutozwa kodi lakini hali ipo hivi katika machinjio ya Mji wa Shelui huko Iramba Magharibi.Je viongozi hawaoni kuwa hili ni tatizo?Maana na wao wanashiriki kula nyama.Sijui Mbunge wa...
Kuna watumishi wenye stress, wapo. Kuna waliochoka kuisoma namba, wapo.
Kama uhakiki umeisha, basi waongezee hata buku ili waongeze ufanisi na molari kazini.
Hao hewa sheria ichukuwe mkondo...
MAWAZO YANGU KUHUSU BONGO MOVIE
habari wapendwa, napenda kuchangia kuhusu sekta ya filamu Tanzania, kwanza niwapongeze serikali,wasanii, na wadau Kwa kukuza sanaa yetu. Mapendekezo yangu ili...
SARAH BAARTMAN, NA HISTORIA YAKE YENYE FEDHEHA NA UNYANYASAJI MKUBWA
Heshima kwa Comred Mbwana Allyamtu.
Wakuu habari za leo. Naomba tuujadili ukweli kuhusu Sarah Baartman, mwanamke mweusi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.