Mi nashauri mboreshe maana naona kichekesho tu. Eti nita mapoint kibao, ukitaka kununua kifurushi point 7000 kwa MB200, mmeboa kwa kweli. Au hizo point 80000 ukitaka iwe hela unapata 4000...
Alizaliwa march 1989 akiwa njiti, wiki nne kabla ya mda sahihi wa kuzailiwa. Alizaliwa mwili wake ukiwa hauna uwezo wa kuzalisha mafuta (fat) hivyo kuwa na ngozi inayooneka kuzeeka. Alizaliwa...
1. Kuna hiii tabia ya watu kwenye social media wanapost post kuwa wanatibu magonjwa hasa haya ya wanawake mfano unakuta MTU anasema Fulani ni bingwa wa kutibu UTI au PID hatukatai Dawa za asili...
Moshi :
WATUHUMIWA wanane kati ya 11 walioshikiliwa na jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro kwa tuhuma za mauaji ya mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari ya Scolastica iliyopo...
Watanzania wenzangu na raia wote waliopo humu, tuishauri serikali na sisi wenyewe kuchukua hatua za dhati na makusudi kukabiliana na hatari ya upungufu mkubwa zaidi wa chakula kuwahi kutokea kwa...
RC Paul Makonda napenda kukupa taarifa kuwa wizi Wa vifaa vya magari umeshamiri sana ndani ya mkoa huu.
Kunawakati uliweka mikakati ya kukamata wauzaji Wa vitu used vya magari hiyo ilipunguza...
Jeshi la polisi mkoani Kigoma limewaua watu watano wanaodaiwa kuwa ni majambazi huku wengine kadhaa wakitokomea kusikojulikana wakati wakijiandaa kutekeleza tukio La utekaji wa magari katika eneo...
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amesema Mkoa wa Dar es Salaam unaongoza nchini kwa kufanya biashara haramu ya kusafirisha binadamu huku akitoa onyo kali kwa wanaojihusisha na...
Suala la kulinganisha Mishahara kwa watu wenye sifa zinazofanana ila wanao fanya Kazi katika Idara tofauti tofauti za Serikali;
Kwa mtazamo wangu;
Hiyo italeta tija kama watatazama pia mfumo wa...
Kama mnakumbukumbu niliwahi kuandika hapa hizi dhamana za kuwapa traffick kuandika faini wanavyotaka wengi wanazitumia vibaya sana
Ndugu trafiki Zuberi niliwahi mlalamikia hapa kwa Mambosasa...
Inawezekana kujenga nyumba hapa Tanzania bila ya kuweka Nondo madirishana na milangoni kuweka milango ya "Grill"?
Chanzo chake ni nini ambacho kinasababisha tuweke aina hiyo ya madirisha na...
*TAARIFA KWA UMMA*
*HALI YA UPATIKANAJI WA UMEME KATIKA JIJI LA DAR ES SALAAM NA ZANZIBAR*
*Machi 26, 2019*
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake wa Mkoa wa Dar es...
Dar es Salaam. Ofisi ya Makamu wa Rais imewaagiza watu wote wenye leseni za kukusanya taka hatarishi ikiwemo vyuma chakavu, betri zilizotumika na za kielektroniki kupeleka leseni zao halisi...
Mi ni mwana CCM ila kwa U-CCM wa propapaganda zisizo angalia nyakati zilizopo kwangu ni uzuzu na uzombi ...
Asilimia kadhaa ya watanzania wanatumia simu za android zinazowawezesha kuperuzi katika...
Wasalaam
Hoja yangu leo inajikita kwenye usafirishaji wa abiria kupitia mabasi ya mikoani
Wakati dunia inajitahidi kwa kuvumbua namna rahisi za kuendesha mambo na kutafsiri sheria ngumu ili...
REPOA na ---- barometer walitoa matokeo ya utafiti wao kuhusu hali ya uchumi nchi. But something is confusing to the followers of their research findings. They were supposed to say clearly...
VIONGOZI wa dini nchini wamempongeza Rais John Magufuli na serikali ya awamu ya tano kwa kuwasaidia waathirika wa mafuriko katika nchi za Msumbiji, Malawi na Zimbabwe. Wamesema tunu ya amani na...
KIKUNDI cha Vicoba cha Upendo chenye masikani yake huko Kibugumo-Kigamboni jijini Dar kimejikuta katika sintofahamu kufuatia mweka hazina wake aliyefahamika kwa jina la Mwasiti Bakari kutoweka na...
SERIKALI ya China kwa kushirikiana na Afrika Kusini, zimetoa mabilioni ya fedha kwa ajili ya ujenzi wa Chuo Kikuu cha marubani nchini, ikiwa ni juhudi za kumuunga mkono Rais John Magufuli. Kauli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.