Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Mwimbaji nyota wa FM Academia, Malu Stonch amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla jukwaani. Hali hiyo imetokea katika ukumbi wa Target Mbezi, Beach, Jumamosi usiku wakati mwimbaji huyo akiwa...
13 Reactions
65 Replies
6K Views
Wakuu wa sanaa na burudani habari! Kwa wale wanaofuatilia mziki wa bongo watakuwa sio wageni kwa huyu mwanadada anayejiita Dipper Rato. Binafsi nilimfahamu Dipper zaidi ya miaka 15 iliyopita. Ila...
1 Reactions
10 Replies
671 Views
Wakuu shwari!! Ya kale ni dhahabu hii haipingwi wazee. Iko wazi kama mbuzi . Nyimbo za zamani hazijawahi kuchuja Wala kupoteza mvuto wake! Hii ni kwasababu watunzi wa kipindi hicho walitumia...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Naombeni ratiba ya clubs zipi zinapiga 80's, 90' and maybe 20's Hiphop --- Just OldSchool. J3 wapi? J4? J5? Alh? ... JPili? Hizi Amapiano siyo type zangu, zinaniboa sana.
1 Reactions
4 Replies
680 Views
Watanzania ni watu wazarendo sana kwa vitu vilivyo vya kwao! Lakini inafikia mahali wawasilishaji wanaviwasiliaha kimakosa! Uwanja pekee ambao kwa sasa umefifia na uko karibu kufa ni katika...
3 Reactions
68 Replies
6K Views
BEFORE I GO TO SLEEP. Christine anapoamka asubuhi, anashangaa yupo mahali asipopafahamu na pembeni yake amelala mwanaume asiyemjua. Anajaribu kuvuta picha lakini hamna kinachokuja kichwani...
14 Reactions
33 Replies
2K Views
Rapa Na Mfanyabiashara kutoka Marekani Sean “Diddy” Anadaiwa kuwa hatopokea Mualiko Wa kuhudhuria katika Onesho Kubwa La Mavazi Na Mitindo linalofahamika Kama "Met Gala" Taarifa hizi ni baada ya...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
SEVEN DAYS IN HELL (SIKU SABA KUZIMU) Episode-1 Damu nyingi zilikuwa zinanitoka upande wa kushoto wa kifua changu kiasi cha kunifanya nilowe chapachapa. Nilijitahidi kuinuka pale nilipokuwa...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Nimekaa nikaanza kuzikumbuka Tamthilia za zamani kwenye Tv zetu 1.Life Goes on 2.227 3.Fresh Prince of Bell Air 4....... 5........ endelea...
2 Reactions
464 Replies
95K Views
Nilikuwa najiuliza sana inawezekana vipi Watu wanaimba na kucheza zaidi ya Saa 8 na hata hawachoki ila jibu nimelijua.
2 Reactions
8 Replies
789 Views
Umofia kwenu bandugu wote kwenye hiki kilinge chetu cha kujidai. Nina ombi kwenu wadau. Nina mpango wa kuandaa tamasha la stand up comedy huku mkoa ninaoishi, nimeiona hiyo fursa naamini nitapiga...
2 Reactions
1 Replies
475 Views
Kuna wakati Rais Mobutu Seseseko alianzisha sera ya "African Authentication" iliyokuwa na lengo la Afrika kujitambua. Kama mfano aliamua kubadili jina la nchi hiyo kutoka Belgium Congo na kuiita...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Huwa nikimsikiliza sianzi Kumhukumu kwa Madhaifu yake na yaliyompata ila nakuwa makini sana kusikia kile ambacho anakitoa kutoka katika Kinywa chake na hakika huwa navutiwa mno na Madini yake...
2 Reactions
3 Replies
622 Views
Wakuu hongera kwa wikiendi ya leo glories and praise to the LORD: Wakuu kuna jambo linanitatiza kitambo kidogo na sijawahi kuona kama limewahiletwa mezani kujadiliwa,ama mara nyingi mitaani ndio...
0 Reactions
6 Replies
909 Views
Dogo namuona ni Hatari sana na ndiyo Animateur ( Rapa / Mghani / Atalaku ) ambaye namuona anakuja kuwa Tishio kwa Atalaku bora kwa sasa Congo DR Pitshou Lisimo ( GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ) wa...
0 Reactions
2 Replies
443 Views
Franco ambaye alizaliwa Tarehe 6 Julai, 1938, katika Kijiji cha Sona Bata Magharibi ya Kongo, atakumbukwa na watanzania wakati alipofanya onyesho kweye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam mwaka...
16 Reactions
54 Replies
16K Views
Tasnia ya sanaa inaoneka kuwa mtu akiwa mwanamuziki au muigizaji au muhuni lakini imeonekana kuwa na faida baada ya kutoa viongozi mbalimbali nchini. Baadhi ni hawa: 1. Hamis Mwinjuma 'Mwana FA'...
1 Reactions
4 Replies
962 Views
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : YA JEAN 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : MADILU SYSTEM 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄 : SULE MKANDARASI '''''''''''''''''' '''''''''''''''''''' ''''''''''''' 𝙅𝙚! 𝙐𝙣𝙖𝙬𝙚𝙯𝙖 𝙠𝙪𝙢𝙬𝙖𝙘𝙝𝙖 𝙢𝙥𝙚𝙣𝙯𝙞 𝙬𝙖𝙠𝙤 𝙠𝙬𝙖 𝙨𝙖𝙗𝙖𝙗𝙪 𝙮𝙖 𝙣𝙙𝙤𝙩𝙤 𝙢𝙗𝙖𝙮𝙖 𝙪𝙡𝙞𝙮𝙤𝙤𝙩𝙖...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : BIYA 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : MADILU 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄: 𝙈𝙆𝘼𝙉𝘿𝘼𝙍𝘼𝙎𝙄 """""""""" """""""" """"""" """""""""" """"""" "𝘽𝙄𝙔𝘼" 𝙣𝙞 𝙟𝙞𝙣𝙖 𝙡𝙖 𝙢𝙠𝙚 𝙢𝙠𝙪𝙗𝙖 𝙬𝙖 𝙈𝙖𝙙𝙞𝙡𝙪. 𝙉𝙖 𝙝𝙪𝙪 𝙬𝙞𝙢𝙗𝙤 𝙖𝙡𝙞𝙪𝙩𝙪𝙣𝙜𝙖 𝙢𝙖𝙖𝙡𝙪𝙢 𝙠𝙬𝙖𝙖𝙟𝙞𝙡𝙞 𝙮𝙖 𝙠𝙪𝙢𝙬𝙖𝙜𝙞𝙖 𝙨𝙞𝙛𝙪...
2 Reactions
0 Replies
797 Views
Wacha niwaorodheshee Top 15 ya ngoma pendwa duniani 1. Despacito ya Luis Fonsi na Daddy Yankee yenye watazamaji 8,441,831,151846,384 YouTube 2. See You Again ya Wiz Khalifa na Charlie Puth yenye...
2 Reactions
18 Replies
964 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…