Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hapa naangalia Wasafi TV. Naona wanaplay nyimbo ya HAKUNAGA ya Suma Lee ambaye kwa sasa ni mfia dini alisilimu muda mrefu sana. Imekuaje wamepiga hii nyimbo wakati mwenyewe alizuia hili suala...
6 Reactions
7 Replies
701 Views
Disclaimer: hii ni hadithi ya kufikirika, ukikutana na typing errors skip hata mimi ni binadamu nakosea Tiririka....... SEHEMU YA KWANZA (01) NGRIIIIIIIII, NGRIIIIIIIIIIIIIII...
4 Reactions
21 Replies
6K Views
Steven Charles Kanumba is my name, i was born in a Christian family of 2 girls and i happen to be the last born and the only boy to Mr. & Mrs. Charles Meshark Kanumba. I was given birth on...
1 Reactions
80 Replies
28K Views
Kama wewe ni shabiki wa dj mack jumakhan Murphy Nk basi kuna chimbo lenu lakujipakulia mizigo kama yote...Mchawi bando lako tu.Ingia google tafuta SIZONI COM humo nikujichotea tu. Pia kuna huduma...
2 Reactions
4 Replies
847 Views
Habarini za mchana, Ijumaa nilipokea mwaliko wa kuhudhuria MAHAFALI ya kidato Cha NNE huku nyanda za juu, kiukweli nimekumbuka mengi sana. 1.KWAYA "Haikuwa rahisi kuifikia siku hii yenye...
0 Reactions
1 Replies
357 Views
Katika tamasha la kipekee la DSTV Delicious Festival, wasanii nyota Diamond Platnumz, Chley, na Khalil walipiga show ya kali, wakitumbuiza pamoja na Jason Derulo. Hii ilikuwa ni mara ya kwanza kwa...
0 Reactions
1 Replies
526 Views
“STARTER the EP” Officially Out now Worldwide, Stream on All Music Streaming Platforms, Enjoy!!! Bongo Flava Ndio Fahari Yetu, “STARTER The Ep” iko Hewani Kete ziko saba chaguo ni lako. Enjoy As...
4 Reactions
13 Replies
939 Views
WHEN YOU DON'T KNOW WHERE YOUR FROM YOU CAN'T KNOW WHERE YOUR GOING "PRODUCER & DJ BONNIE LUV.... (PRODUCER & DJ MAWINGU STUDIO).. Historia ya " Mawingu studio" na Band ya Mawingu " Mawingu Band"...
6 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii nyimbo kwa wanao ifahamu ilikuwa nyimbo ya maana sana. Anasema Bado ni kiza na marashi ya dunia hayasikii anajihisi yupo kuzimu anaishangaa sayali hii, iliyojawa wanasiasa, Vicheche na...
1 Reactions
2 Replies
445 Views
Hadithi fupi! SITOSAHAU ALICHONIFANYA DAKTARI WA SARATANI YA MATITI SEHEMU YA KWANZA Muwasho na maumivu vilizidi katika maziwa yangu siku hadi siku, nilivumilia nikajikuta nashindwa ndipo nikaomba...
16 Reactions
456 Replies
133K Views
MFUMO WA UUZAJI WA ALBUM AMA KAZI ZA WASANII.. Wasanii wa Tanzania wana sababu nyingi sana za kwanini hawatoi album. Baadhi ya sababu kama kufa kwa mfumo wa uuzaji wa album uliokuwa ukifanywa na...
0 Reactions
0 Replies
462 Views
MAMA NDIO CHANZO CHA WIMBO WANGU ( KIBANDA CHA SIMU )BY SOGGY DOGGY Soggy Doggy amesema chanzo cha yeye kuandika wimbo huo ni baada ya mama yake kupenda kufungia simu yao ya mezani ili kuogopa...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
SOGGY DOGGY ANTER. Jamvi la Ukwaju wa Kitambo lilibahatika kupiga stori na Msanii mkongwe katika Game ya Bongo fleva soggy doggy. Tulibahatika kuzungumza mengi ila kwa faida ya wafuatiliaji wa...
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Nguli Wa Muziki Ya Bongoflava Professor Jay Amekutana Na Alikiba Hii Ikiashiria Kuwa Kolabo Yao Iko Jikoni . Wiki Jana Nilipata Nafasi Ya Kuongea Na Professor Jay Akaniambia Kuna Kazi Wanawachilia...
0 Reactions
1 Replies
450 Views
Malalamiko dhidi ya Miley Cyrus yanadai kwamba wimbo 'Flowers' usingekuwepo bila wimbo wa 'When I was Your Man' wa Bruno Mars na kutaka uzalishaji na usambazaji wa wimbo huo Aidha, kesi hii...
0 Reactions
1 Replies
740 Views
Una Safari ya takriban saa 10, ni Msanii gani utamsikiliza mwanzo hadi mwisho wa Safari? Mimi nitamskiliza Nicki Minaj non stop. Am her biggest fan
6 Reactions
97 Replies
4K Views
Skin head, dead head Everybody gone bad Situation, aggravation Everybody, allegation In the suit, on the news Everybody, dog food Bang bang, shock dead Everybody's gone mad All I wanna say is...
2 Reactions
4 Replies
530 Views
Wimbo wameimbia mshikaji na demu unapoanza anaanza kuimba dada anasema "ana stress siku mbili hajala" sina hakika kama nimepatia. Ahsanteni
3 Reactions
62 Replies
2K Views
Nimeangalia hii series ya wenzetu wa KOREA Nimegundua yafuatayo 1. Wenzetu wana wekeza sana kwenye teknolojia na futuristic/ kutafuta solution ya maisha ya baadae na kugundua teknolojiaa mpya ...
5 Reactions
12 Replies
781 Views
Rapa na mfanyabiashara ‘Diddy’ ameripotiwa kunyimwa dhamana baada ya kudai kuwa Hana hatia katika mashtaka ya kingono yanayomkabili na hivyo ataendelea kubaki rumande hadi pale kesi yake...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom