ALBAMU ya reggae ya mfalme wa muziki wa reggae, hayati Bob Marley, ‘One Love’, imetunukiwa Tuzo ya Albamu Bora ya Reggae katika Tuzo za Grammy za 67, zilizofanyika usiku wa jana huko Los Angeles...
KISA CHA 'ALPHA BLONDY' KUANDIKA NGOMA YA "SWEET FANTA DIALLO."
--------------------------------------------------
Katika kitabu chenye list ya wanamuziki bora wa muda wote wa rege barani Africa...
▪️Kura 8.3 IMDb
▪️Kuachiliwa: 2024
▪️Maudhui: Family/Adventure
_________________________
Baada ya Roz kudondoka duniani na kujikuta katikati ya maskani ya viumbe tofauti na vile alivyovizoea...
Ethan na mpenzi wake Nola ni wafanyakazi Airport Ethan kazi yake ilikuwa kuwapokea wageni na kuwaelekeza nini Cha kufanya. Lakini mpenzi wake Nora yeye alikuwa kitengo chenye hadhi na mshahara...
Katika mambo yanayozua mijadala sana hivi karibuni hasa ndani ya jamii ya watu weupe ndani ya nchi ya marekani ni jinsi ambavyo wanaitizama jamii ya weusi.
Jamii ya watu weusi imekuwa kila...
MATRIX SIO TU FILAMU, NI UTANGULIZI WA UJUMBE WA KISIRI
"Ulimwengu tunaouona ni udanganyifu tu, gereza la kiakili linalotuzuia kugundua uwezo wetu wa kweli."
Filamu hii ni kioo cha ubinadamu...
Episode 1: Safari ya Maisha (Safari of Life)
Nilifika mjini nikiwa na ndoto kubwa mfukoni na shilingi chache mkononi. Nilikuwa nimekimbia maisha magumu kijijini, nikiamini mjini ndio mahali penye...
Black Star 01
Mtunzi: Tariq H Haji
Mawasiliano: 0624065911
Watu waliendelea kushangilia kwa nguvu baada vishindo kadhaa kusikika. "Mshkaji hajui kupiga kidogo, anabutuwa kisawasawa" alisikika mtu...
hivi karibuni nimetokea kuupenda sana huu music. ningependa kuujua zaidi kutoka kwa wapenzi wa hizi ngoma za kina Calvin Harris, David Guetta, Tiesto, Dash Berlin etc.
ni dj gani unamkubali zaidi...
Habari ndugu zangu wapenda muziki wa dansi!
Ninatafuta wimbo wa zamani wa bendi ya dansi, uliosikika sana miaka ya 2002/2003 kwenye redio. Sikumbuki jina la wimbo wala bendi, lakini mashairi yake...
Huuu wimbo wa miaka mingi sana. miaka ile ya 90 ilikuwa maarufu sana
"Sunday eeeeh....pole sana sunday eeeeh......."
Kuna sehemu wanaimba wana sema alivaa viatu huyo mdada vinalia kooh kooh...
Kitabu hiki kinapatikana BURE ndani ya app ya Maktaba Sauti. Ipo playstore.
Somo la kwanza
Kisa cha Vimbwenelehi
Nilipokuwa bado mdogo nilipata kusikia habari za vijitu vya kutisha, vyenye...
Na: Mwalimu Makoba
Tazama nikamuita mwanangu mpendwa, naye nikamtuma aende mjini akalete vitumbua ili tupate kushtua matumbo. Nilimwelekeza aende kwa Mama Abdul, mama muungwana, mtenda haki na...
Nilikuwa kwenye daladala jioni moja kutoka kwenye pirika zangu mara ndani ya gari Kuna wimbo ukawa unapigwa nakumbuka kiitikio tu " Wivu mama" ulinivutia sana ule wimbo hasa sauti ya mwimbaji na...
Mwimbaji hodari kutoka nchini Kenya Bien-Aime Baraza amesema, Wasanii wa Tanzania wangeweka nguvu na bidii kwenye muziki wa Singeli kama ambavyo waliweka bidii kwenye Amapiano, basi muziki wa...
Filamu ya katuni (uhuishaji) ya Kichina "Nezha 2", ambayo ni muendelezo wa "Nezha 1: Kuzaliwa kwa Mtoto wa Shetani" hivi karibuni imefuatiliwa sana kote duniani. Baada ya kuingia kwenye nafasi ya...