College Top Model na Actor Faraja Thomas ni mmoja kati ya watanzania wanne ambao wataiwakilisha Tanzania kwenye Reality Tv show ambayo inategemewa kuanza mwanzoni mwa mwezi wa nne huko nchini...
College Top Model na Actor Faraja Thomas ni mmoja kati ya watanzania wanne ambao wataiwakilisha Tanzania kwenye Reality Tv show ambayo inategemewa kuanza mwanzoni mwa mwezi wa nne huko nchini...
Wadau habarini za jioni,
Nimekuwa nikiangalia movies nyingi kati ya Nigeria na Tanzania.Wanigeria wamekuwa wakijivunia na kuweka vionjo vingi vya utamaduni wao tofauti na watanzania.Hii inatokana...
Wakuu kwa wale wapenzi wa horror movie nani anaweza kunipa horror movie hapa DSM nijaze kwenye flash yangu nina interest nazo nataka nikazicheki chuo ninaondoka jtano apa DSM
Movie kama
_Annabel...
SIMULIZI HII IMEKAMILIKA
IMEANDIKWA NA : NYEMO CHILONGANI
CHANZO : BURE SERIES
SEHEMU YA KWANZA
Glorious Worship Event (GWE) lilikuwa moja ya matamasha ya kusifu na kuabudu yaliyokuwa...
Huyu bwana mdogo anajiona anajua sana hip hip,yaani anajiona kama vile kazaliwa new york.anatakiwa ajue hip hop ni utamaduni wa waafrika waliopelekwa america kipindi cha slave trade,so katika...
Leo kwa Mara kwanza nimepata fursa ya kuangalia Tamthilia ya "Huba" Kwa Kell wanajitahidi sana na wanastahili pongezi!
Lakini kuna jambo moja wanatakiwa mbele ya safari walirekebishe. Kuna...
Umofia
Haya ni baadhi ya Matamasha nayotamani sana kuja kwenda yashuhudia Tanzania. Na hizi ni long term goals za miaka 3 ijayo nilizojiwekea lazimma nije hudhuria matamasha yake:
Zanzibar...
Achananeni na vipaji nendeni mkasomee kazi yenu. Kipaji kitakufanya upatie kidogo na kukosea sana kwenye kazi.
Tamthilia za waphilipino na wahindi kwenye luninga zetu zinatofautisha vipaji vyenu...
Kama uliwahi kucheza mziki kwa kuigiza wanavocheza kwenye TV halafu ukaenda kucheza mbele ya kioo, njoo tufanye mazoezi ya huu wimbo. Halafu jumamosi tukutane beach party kuoneshana maufundi...
Kwanza nitoe rai kwa Basata na TCRA hii video ndani ya wiki isionekane hewani ni kinyume kabisa na maadili ya mtanzania
Na pia video zote kutoka nje zisizo na maadili ya nchi yetu zipigwe...