Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

KW/RB /8441 /2014 imemshikilia Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania , Hashimu Lundenga kwa madai ya kuzichapa na Miss Tanga 1997 , Mona Faraja ambaye pia ni mke wake na kumsababishia majeraha...
1 Reactions
45 Replies
8K Views
Hii imetokea kwa mwanasiasa machachari na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Mh. Zitto Kabwe baada ya kutokea sintofahamu kati yake na mpenzi wake Diva. Zitto alitoa kauli ya kukana kuwa na mahusiano ya...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Siku ya leo mwanamuziki nguli wa Bongo fleva , Diamond Platnumz yupo nchini Africa Kusini akishoot kipindi na Televisheni ya MTVBase ya nchini humo. Bado haikuweza kujulikana kipindi hicho...
0 Reactions
30 Replies
8K Views
Jipya! Baada ya kimya cha muda mrefu, imefichuka kwamba kesi ya kuuawa kwa aliyekuwa staa mkubwa wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Charles Kanumba ' The Great' imechukua sura mpya baada...
0 Reactions
71 Replies
11K Views
Inside Late Comedian Joan Rivers Luxury New York Apartment Camera's have been allowed to capture the extremely luxurious home of late comedian Joan Rivers. The limestone mansion which was...
4 Reactions
10 Replies
3K Views
Sherehe ya kicheni pati ya staa wa filamu Bongo, Lucy Komba imewashangaza waalikwa wengi baada ya kutawaliwa na vitu vingi vya kiasili tofauti na matarajio ya wengi. Sherehe hiyo ilifanyika...
2 Reactions
63 Replies
30K Views
Nimeshangaa sana leo kwenye friday night live kumuona baghdad kuwa mwembamba sana kubadilika toka unene wa Sean Kingston.
0 Reactions
44 Replies
16K Views
Nafahamu ni mambo ya mtu binafsi ila kwa interval ya umri kwa kweli nimeshangaa. Dabota yupo na age ya 20+ wakati Prince Sunny Aku yupo na age ya 60+. Ukweli ni mtu na mwanae Wadada embu...
2 Reactions
58 Replies
8K Views
ALMOST I LOSE IT COVER_-Abby Jewel
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Once again, Nollywood drama queen, Mercy Johnson has declared her love for star actress, Genevieve Nnaji, whom she says is her role model. Speaking with City People magazine, Mercy Johnson said...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani sikilizeni hivi vitu vya wasanii wa Tanzania maana nimecheka lugha zinazoongelewa mhm kwanini tusizungumze Kiswahili kama kingereza hatukiwezi?? Tanzama weka nawewe mawazo yako!!TAKE ONE...
0 Reactions
35 Replies
16K Views
STAA wa muziki wa Bongo Fleva , Meninah Abdulkareem ' Meninah' amefunguka juu ya tetesi zinazoenea kuwa na uhusiano wa chinichini na Nasib Abdul ' Diamond ' kwa kusema kuwa siyo levo...
0 Reactions
39 Replies
9K Views
Kwa faida yenu wasanii wa hip hop bongo ni na sehemu nyingine Afrika kuna utafiti niliofanya unaonyesha hakuna msanii yoyote wa hip hop ambaye si wa America. Amewahi ku heat na kua...
2 Reactions
36 Replies
5K Views
Siku chache baada ya gazeti pacha la hili , Ijumaa Wikienda, toleo la Jumatatu iliyopita kuripoti juu ya utajiri mkubwa wa staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘ K’ , mumewe Faraji Agustino...
1 Reactions
27 Replies
9K Views
Yote Yanayosemwa ikiwemo Issue ya Kuajiriwa na Kajala. sikiliza Wema Sepetu Akizungumzia Yote Yanayosemwa ikiwemo Issue ya Kuajiriwa na Kajala. Kupitia mitandao na magazeti siku chache...
1 Reactions
39 Replies
10K Views
"Comedian Joan Rivers has died in a New York hospital, her daughter says." -- CNN CNN.com - Breaking News, U.S., World, Weather, Entertainment & Video News Comedian Joan Rivers lost her life...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
STAA wa Mduara , Zuwena Mohamed ' Shilole' amefungua kinywa chake na kusema mpenzi wake wa sasa , Nuh Mziwanda ndiye anayemtibu vizuri kunako ' sita kwa sita. Japokuwa watu wengi...
1 Reactions
100 Replies
16K Views
Msanii wa filamu na muziki , Ummy Wenceslaus ' Dokii ' ambaye pesa imemtembelea ameonyesha kuwa na ushoga uliopitiliza na msanii mwenzake Lucy Komba baada ya kumzawadia kiwanja kwenye...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Ni wazi kuwa wanaocheza miziki hii hii mahakama ni ya kwao,wajiandae kwa tifu zitoooo!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom