Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Baby Joseph Madaha amenusurika kubakwa nchini Kenya baada ya kupanda jukwaani akiwa ametinga kivazi cha nusu utupu.
Tukio hilo lilitokea Jumamosi...
Picha ya mwanamuziki wa nyimbo za mduara nchini, Shilole Mohamed aka SHISHI BABY iliyozua gumzo kwenye mitandao ya kijamii kama Insta.
Na kuwaacha mashabiki midomo wazi wakijiuliza kama huyu ni...
AliKiba amewataka watu kuachana na tabia ya kuwagombanisha Diamond ili wafanye muziki mzuri.
"Kila mtu anaandika anachotaka juu ya mimi na Diamond, mpaka wengine wanatumia akaunti fake za...
Niliwahi kuambiwa zamani kuwa,wasanii huwa hawana tofauti na mabaamed kitabia nikawa siamini,sasa nimepata taarifa nzito za siri kuhusu Odama kuwa,pamoja na kutokuwa na skendo kwenye vyombo vya...
Baada ya timu Wema kumzodoa Diamond kwa kumkatisha miuno kwenye tamasha la fiesta,Diamond kawajibu punde na kutoa msimamo wake!!!
Picha soon inakuja!!!
*****************************************
NYOTA wa Bongo Fleva, Herry Samir maarufu kama Mr. Blue amesema wasichana warembo, Wema Sepetu na Najma ambao aliwahi kutoka nao kimapenzi kwa nyakati tofauti miaka ya nyuma, walimfilisi...
Akihojiwa na watoto wa Five connetc EATV, kuhusu issue yake na Chameleon wa Uganda, amesema comment za JF hazimnyimi usingizi coz ni Mtandao wa kijingkijinga...
Nimemsikiliza Eric Shigongo kupitia...
Mabinti hawa wameshindikana kabisa,uhuni wanaofanya wao wanaona sifa, Ndikumana alileta ushamba wa Kinyarwanda hapa bongo akaparamia dege lisiloliwa,mwisho wa siku anajuta hana hata pa kushika...
Pastor Myamba na Mkewe Praxceda wakionyesha pete zao za ndoa
Sio muvi wala maigizo bali ukweli ni kwamba Mwigizaji machachari wa Bongo Movie anayezitendea haki scene za uchungaji, Pastor Myamba...
Baada ya kuwa kimya muda mrefuu bila kusikika kwenye vyombo vya habari, hakika kimya kingi kina mshindo mkubwa,
Hussein machozi Akiwa mombasa kwa ajili ya kushoot video yake msanii hussein...
Comedian Robin Williams dead, sheriff says
By Alan Duke, CNN
updated 7:47 PM EDT, Mon August 11, 2014
(CNN) -- Comedic actor Robin Williams died at his Northern California home Monday, law...
kutoka kushoto,Linex,Zitto Kabwe
Msanii Linex :
Katika hali ya kushangaza na ya kustua wengi,msanii maarufu wa muziki wa bongoflava kutokea mkoani Kigoma Linex, Ametangaza nia ya kuwania...
Ni hatua nzuri waliyofikia na hii inatuonyesha ni jinsi gani tunapaswa kuweka vinyongo pembeni na kusameheana.Hii wameonesha warembo wawili machachari wema a.k.a beautiful onyinye na jokate a.k.a...
MKALI wa Bongo Fleva, Emanuel Elibariki maarufu kama Nay wa Mitego, amesema kuwa aliwahi kushuhudia staa mmoja wa filamu Bongo (jina tunalo) akijiuza kwa mgeni mmoja kutoka nje ya nchi na kwamba...
Stori: Erick Evarist na Sifael Paul
HII ni exclusive! Kwa mara ya kwanza, staa anayeitikisa nchi kwa sasa na wimbo wake wa Mwana, Ali Kiba amefunguka kuwa mwigizaji kiwango Bongo, Elizabeth...
Katika kuonesha ukaribu na vijana na utayari wa kutoa msaada wa hali na mali, Mbunge wa Kigoma Kasikazini Mh Zitto Zuber Kabwe amemtungia mashairi msanii wa muziki wa Bongo fleva hapa Tzee Linex...
Umofia Kwenu JF,
Kuna habari nyingi kuhusu huyu pedejhee kusaidia sana wasanii wa bongo flavor na mambo mengi yanayofanana na hayo,leo kupitia mkasi amekiri kwamba amekaa sana MOMBASA na huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.