Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Huyu Ndugu nnimemsikia kwenye tangazo la E fm muda si mrefu, inaelekea ndio kashamaliza mkataba wake na times fm. Sijamsikia muda sasa kwenye Maskani. Habari ndio hiyo wadau wa Maskani!
0 Reactions
37 Replies
8K Views
Baada ya kuanzisha mashindano ya mbio kati ya farasi(Dimond) na kobe(kiba) na kutaka kuiaminisha dunia kuwa kobe ana mbio kushinda farasi, hatimaye ile miradi iliyotangazwa kwa nderemo na vifijo...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Hii ni kutoka kwa kamati ya miss Tanzania kwamba kuepusha utata wa umri na udanganyifu kamati imeamua kuanzia sasa warembo wote wanaotaka kugombea taji hilo maarufu waonyeshe pia na kadi zao za...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
STAA wa filamu Bongo, Halima Yahaya ‘Davina' amefunguka kuwa yuko katika mateso makali baada ya kuzuiwa kumuona mwanaye kwa takriban miezi mitatu na mzazi mwenzake. Akizungumza na mwandishi...
0 Reactions
54 Replies
10K Views
Sikupata fursa ya kutazama shindano la Miss Tanzania.Hivyo kwangu hii ni habari nyingine ambayo sikuwa nikiifahamu kuhusiana na mlimbwende wetu Miss Tanzania Sitti A.Mtemvu.Pengine wapo baadhi...
4 Reactions
54 Replies
11K Views
Wakuu. Kuna vitu nimekaa na kuvifikiria kuhusu hili sakata la umri wa Miss Tanzania Sitti Mtemvu.,Hebu tujiulize, mamiss Tanzania waliopita ambao walikuwa watoto( wadogo kiumri) waliifanyia nini...
1 Reactions
120 Replies
10K Views
Nimekusifu diamond kwa kukaa kimya,tukio la fiesta watu walijua utapagawa na kuongea hovyo na media.naamini sasa wamechokoza moto. Diamond fungua macho maadui zako ni wengi na si Kiba...
7 Reactions
38 Replies
5K Views
kwani miss Tanganyika si ni yule bibi bomba,sasa mbona Jana kahojiwa mwingine na amesema a naenda,Miss world? kwani Sitti wamempora chance? sikuangalia sana kipindi kwani lugha aliyokua...
4 Reactions
65 Replies
10K Views
Habari ambazo zinasambaa hasa kwa whatsapp ni kwamba Sitti Mtemvu,miss Tanzania (bibi bomba) anamzidi mdogo wake miezi 7.Hii imesemwa na marafiki wa mdogo wake na miss Lundenga. Taarifa zaidi...
0 Reactions
34 Replies
9K Views
(Zimeambatanishwa) Mie ni mmoja wa wale wa Tanzania tuliokua tukipenda mashindano ya Miss World. Na nchi yetu ilipoanza kupeperushwa huko duniani tena katika mashindano haya tulifurahia sana...
4 Reactions
24 Replies
8K Views
Msanii nyota wa filamu nchini Sherry Charles Magali akiwa hoi hospitalini Wodi Namba 8 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro katika picha hii iliyopigwa na mwandishi wetu Ijumaa...
0 Reactions
37 Replies
21K Views
Chanzo: Facebook
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Imekuwa ni kawaida yenu vijana wa TZ kuwachukia wenzenu wanapopata mafanikio. Ninayo mifano ya Mr Nice, Daz B n.k ambao mliwavunja nguvu na kuwakatisha tamaa hadi kupelekea frustratration...
5 Reactions
19 Replies
3K Views
Kuna msanii anaitwa IMAAM ABAS mbona kimya saana
0 Reactions
0 Replies
891 Views
Katika kile kinachoonyesha kwa wasanii wa bongo kuanza kujitambua na kutumia brand zao vizuri katika kujipatia kipato, Msanii kinara katika muziki wa Tanzania ambaye haishi kutajwa katika vinywa...
10 Reactions
125 Replies
23K Views
Licha ya kupata zomea zomea wakati wa fiesta kijana diamond ameonekana kutojali na kuwa na confidence ya kupanda jukwaani tena bila kuhofia buu buu alizopata wakati wa fiesta na kufanya shoo ya...
0 Reactions
43 Replies
8K Views
Mi naamini hakuna ubaya kumsifia Diomond kwa jitihada alizozifanya mpaka kufika alipo sasa na anazoendelea kuzifanya kuendelea kusonga mbele. Pia kwa m2 yeyote asiye na chuki binafsi na dogo hata...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Madansa wa mwanamuziki Diamond Platinumz (Nassib Abdul) wamekamatwa na Jeshi la Polisi mkoa wa Kinondoni kwa kosa la kuvaa mavazi yanayofanana na yale ya JWTZ wakati wa onyesho/tamasha la Fiesta...
2 Reactions
32 Replies
6K Views
team diamond ya kweli haya ?
0 Reactions
145 Replies
31K Views
Mwaka 2010 CCM walimtumia msanii MALLOW mzee wa bembeleza aliyekuwa hot kwa wakati huo kwenye kampeni za uchaguzi,baada ya uchaguzi jamaa kapotea kabisa kwenye game kwa sababu watz 70% chama hiki...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…