MASAI APELEKA BARUA YA UCHUMBA NYUMBANI KWA WAZAZI WA WEMA SEPETU
POINTI YA MSINGI
Shangwe zaidi iliongezeka kwa mama Wema baada ya kusikia Masai huyo ana mji Singida tena kwenye kijiji ambacho...
HALI tete ! Bado vuguvugu la madai ya kuvunjika kwa ndoa ya mtangazaji mahiri Bongo, Gardner Gabriel Fikirini Habash Kapteni na Mbongo Fleva , Judith Daines
Wambura Mbibo Lady Jaydee au Jide...
Staa wa filamu hapa Bongo mwenye mvuto wa kipekee , Elizabeth Michael ' Lulu' amefunguka kuwa kamwe hapendi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na masharobaro akidai kuwa siku zote ni pasua...
Mdogo Wake Beyonce Atia Aibu Katika Harusi Yake
Solange Na Mme Wake Alan Ferguson
Harusi Ya Aina Yake Ambayo Ilikuwa Ni Ya Kawaida Sana Bibi Harusi Hakutaka Mambo Makubwa Mambo...
MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya' amezuiwa kunywa pombe baada ya kuangushiwa maombi mazito na kushauriwa kubadilika kitabia.
Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa...
Linex msanii wa bongo fleva anaetamba kwa sasa na wimbo wa wema kwa ubaya amedai kutapeliwa shiling 11 milion na jamaa ambaye anaitwa Minyamihela ambaye Steve Nyerere alimuunganisha na Linex na...
MTANGAZAJI maarufu wa redio, Gardner G. Habash kwa mara ya kwanza amefichua ukweli wa makubaliano waliyofikia na mwanamuziki maarufu nchini, Judith Wambura ‘Lady Jaydee' ya kutozungumza na...
Say no to domestic violence!
Jana Msanii Lady Jaydee alipost picha akionesha kidole cha Mtu aliyeumizwa. Leo kapost akisema kuwa kile kidole kwenye picha ni chake. So, captain alikua anatoa...
Kim Kardashian Break the Internet Assignment
Kim Kardashian, Break the Internet, assignment is definitely generating headlines. On the PAPER cover mag , Kim perfect oiled booty and the iconic...
BAADA ya kula bata za kutosha Bongo, wakati wakisindikizana kimahaba, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz'na mrembo mkali kutoka Uganda, Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss...
SIKU chache baada ya mtangazaji Penniel Mungilwa ' VJ Penny ' kupatana na Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu , mwigizaji Kajala Masanja ' Kay' naye ameibuka na kuweka bayana kuwa...
Kupitia ukurasa wa Facebook wa Presenter Loveness Love - Diva amesema East Coast Team wako Studio kwa Marco Chali wakiandaa Wimbo Mpyaaa
====AY pia ====
Comedian Amooti Faces Arrest After He Smooches Kimansulo Dancer In Club
Radio presenter and Comedian risks the ruth of Fr. Lokodo after images leaked of the funny man doing Porn things with a...
IRENE KIWIA ALIVYOIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MKUTANO MKUU WA 69 WA UMOJA WA MATAIFA
Rais wa Taasisi ya kijamii ya Wanawake wenye Mafanikio Tanzania (Tanzania Women of...
Ni kolabo la mafundi wawili wa muziki Tanzania Mwana Fa na Alli kiba katika hii nyimbo inayoitwa kiboko yangu.Hakika Ng'ombe hazeeki maini na kwa mbali naona heshima ya bongo flavour inarudi kwa...
ABDALLAH GAMA MPIGA RYTHM MWENYE HISTORIA NDEFU
SINA-shaka wale mashabiki wa DDC Mlimani Park Orchestra Sikinde Ngoma ya Ukae ambao ni vijana wa zamani, watakuwa wanakumbuka mbali kila pale...
Hii imetokea jana katika tamasha maalum la kituo kipya cha kazi cha Gardner E.FM ambapo Gardner alipanda jukwaani kujitambulisha mashabiki waliokuwepo wakamuuliza shemeji Jaydee yuko wapi...