Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Napenda kumwambia kamanda Kova na kikosi chake, kumwambia mmiliki wa Yamoto band "Mkubwa na wanawe" Said Fela kufunga vifaa maalum vya kuzuia sauti au kutafuta sehemu nyingine ya kufanyia mazoezi...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
In other news, Tanzania's sweetheart ,Wema Sepetu is officially dating mheshimiwa Ivan kutoka Uganda ambae kwa sasa anaishi South Africa. Kwa msiomfahamu IVAN ni ex-husband wa GF wa Tanzania's...
0 Reactions
95 Replies
20K Views
Music has been paying heavily in Nigeria for the past ten years. No wonder average Nigerian youths sees music as the quick means to wealth and fame. Why not! When a good number of artistes have...
0 Reactions
16 Replies
15K Views
Sikuwahi kujua kama evolution bado inaendelea na inaweza kushuhudiwa na mwanadamu wa kizazi hicho hicho ila kwa picha hii nimekubali kweli bado ipo
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wanabodi, Mtangazaji wako wa nguvu,Millard Ayo mfanyakazi wa Clouds Fm kipindi cha Amplifier amefungua studio kubwa ya kisasa iliyomghalimu mamilioni ya shilingi."Ilikuwa si kazi ndogo...
11 Reactions
136 Replies
29K Views
Hello! Hello! Hello! Ladies and gentlemen it is another year for the WOMAN SCREAM FESTIVAL.. La poetista in partnership with AIESEC and Women Poets Internation bring to you another Woman Scream...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima mbele wana jamvi! Ni kitambo kidogo tokea jamaa avute mkwanja baada ya kushinda kwenye yale mashindano ya #BBA , baada ya pale kama sijakosea aliingia kwenye tasnia ya sanaa ya maigizo...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Hbr wakuu hivi haya malalamiko ya mr misifa juu ya baadhi ya wasanii kutohudhuria mazishi ya baba yake na kudai kuwa hawamjali na kusisitiza kuwa wengine wanajifanya kumuita brother lakini...
0 Reactions
133 Replies
20K Views
Kwanza nakupongeza sana mdada kwa kufanya bidii katika muziki na kimaendeleo pia.mimi siko Tanzania kwa muda sasa lakini nafuatilia kwa karibu sana kila kinachotokea huko.Majuzi uliposti katika...
9 Reactions
277 Replies
49K Views
“Sijui kwa nini Cheka hataki tena kwenda shule, tangu alipopewa nafasi alikwenda mara mbili tu kujisajili na kupiga picha lakini kusoma hajawahi,” mama huyo ameiambia Mwanaspoti mjini Morogoro...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Ukitaka kuamini uchawi upo, Wewe soma Uzi wowote unaohusu mafanikio ya celebrity yeyote wa Tanganyika. Hapo ndo utawaona wanavyocoment!! Akinunua range utasikia, Aah labda angenunua Bentley...
12 Reactions
85 Replies
8K Views
Hili ni pigo lingine kwa wasanii wetu hapa nchini. Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema Kash (Jaji Khadija) amefariki dunia katika hopsital ya muhimbili ambapo alikua amelazwa. Kash amewahi...
0 Reactions
73 Replies
20K Views
Katika hali inayoashiria kuwa ukikisapoti CCM ni mkosi mkubwa kwenye maisha yako. Msanii Ommy Dimpoz amepost postaz ya show ilivyoandaliwa na CCM huko marekani. Lakini kaishia kupata matusi na...
0 Reactions
30 Replies
8K Views
Hawa madogo nimeamini kweli ni yamoto Maana jana london kiliwaka. ..waandaaji Pia walitisha sana. .kwanza show ilifanyika Ukumbi 5 star na show ilikuwa Live bila chenga. .sijawai kwenda...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani yamezungumzwa mengi na yataendelea kusambaa mengi kuhusu Lowassa, yule waziri mkuu aliyeamua kuachia ngazi baada ya kukumbwa na kashfa. Moja kali ambayo nimeipokea tangu asubuhi, lakini...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Lady Jay Dee East African popular musician Lady Jay Dee ameamua kuwapa modongo Clouds fm kupitia Twitter leo kutokana na wimbo wake mpya uliotoka hivi karibuni Joto hasira kutopigwa katika...
5 Reactions
174 Replies
33K Views
Sasa hivi ndio mnakumbuka kupiga nyimbo zake akiwa kafa! Mbona hamkupiga akiwa hai?! Hakuna redio ya kinafiki Tanzania Kama clouds!
5 Reactions
45 Replies
8K Views
Rapper mahili na ex-member wa kundi la East Coast Team Hamis mwinjuma a.k.a Mwana Fa sasa amegeukia upande wa pili wa burudani yan Masumbwi(boxing). Star huyo wa 'Yalaiti' amepanga kuzichapa na...
0 Reactions
42 Replies
7K Views
Msanii nguli wa miondoko ya hiphop Tanzania Hamisi Mwinjuma a.k.a Mwana Fa ageukia upande wa pili katka soko la taarabu.Na kwa kuanza leo ameachia kibao chake kipya kinachoitwa 'Yalaiti' ambao...
0 Reactions
47 Replies
10K Views
Umuofia kwenu!Eem let mi kujitutumua kuuliza kizungu becoz ze lugha ya taifa iz hard for forenaz.Zis nearby for Wema Sepetu and ze msanii zis Ommy dimpoz iz kukaaje?zey kupiga picha tata zea Sauz...
2 Reactions
87 Replies
19K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…