Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nikiangalia maisha ya mastaa wa Kibongo walivyotawaliwa na unafiki, saa zingine nabaki nacheka tu. Picha linaanza. S01E01 Wema ana bifu na Jokate kisa Diamond, S01E02 Wema ana bifu na Penny...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Eti ni mgonjwa wa akili alilaaniwa na mama yake mzazi. Yaweza kua ni kweli, maana mambo anayofanya ni zaidi ya ukichaa.
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Belle 9 amedai kuwa kwenye muziki wake haamini kama collabo ni njia sahihi ya kumfikisha kimataifa zaidi. Akizungumza na Bongo5, Belle amesema wapo wasanii kadhaa walioweza kutoboa bila hata...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Muimbaji mkubwa wa Nigeria, D’Banjamemlalamikia Diamond kwa kumzungusha kufanya naye collabo. Kokomaster amesema kuwa toka walipokutana na Diamond walizungumza na kukubaliana kufanya collabo...
6 Reactions
44 Replies
6K Views
Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C amefungua mlango kwa mwanaume yoyote anayetaka kumuoa ajitokeze ilimradi awe na vigezo 10 ambavyo ameviainisha. Kupitia ukurasa wake wa instagram Ray C...
3 Reactions
140 Replies
57K Views
Tukubaliane kwa pamoja sasa kwamba Nasibu Abdul ‘Diamond' ni habari nyingine. Weka pembeni habari ya nyota, juhudi zake binafsi zimekuwa chachu ya kumfikisha alipo sasa. Inahitaji akili kuwa...
2 Reactions
40 Replies
16K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amempigia simu msanii wa bongo fleva Diamond Platinum kumpongeza kwa kushinda tuzo ya MTV. Rais wetu ni hazina kwa taifa, tutamkumbuka sana. Chanzo...
3 Reactions
54 Replies
12K Views
Mwanamuziki Nassib Abdull (Diamond Platnumz) akipozi kwa picha na mameneja wake mara baada ya kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo. kulia ni Bw. Said Fella na kutoka...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Hakuna ubishi kwamba Davido, msanii kutoka Nigeria, anayewika na kufanya vizuri pengine kuliko msanii yeyote kwa sasa (kizazi kipya) nchini humo na Afrika kwa ujumla, ndiye msanii aliyemrahishia...
3 Reactions
146 Replies
21K Views
Wakuu kujeni hapa tujuzane hivi yule shemeji yetu ZARI kaishia wapi? Maana zilipigwa swaga kibao hapa mara harusi mara ana ujauzito mara hoooo, mara heee sijui Mlimani City mara pete ya uchumba...
0 Reactions
46 Replies
7K Views
Msanii Waje ameeleza jinsi alivyosikitishwa baada ya p-square kuacha kumtaja ktk nyimbo ya 'do me' ambayo ilifanya vizuri afrika nzima.Aliongea hayo ktk mahojiano aliyoyafanya hivi karibuni. Waje...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
-Daaah!...ni kwa Mara nyingine tena wale manguli na mahasimu wa BONGOFLEVA nchini...yani ALIKIBA (Ali Saleh Kiba) na DIAMOND PLATNUMZ(Naseeb Abdul Juma) wamekutana kwenye TUZO ZA KIMATAIFA za...
4 Reactions
350 Replies
28K Views
Nimemsikiliza Faidha Ally kwenye Nirvana akijibu maswali ya nini kimepelekea kukaa uchi, nimejisikia kuogopa na kuamini shetani hana mapembe. Nimeamini Faiza ana alama zote za kishetani. Majibu...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Nimejaribu kuangalia social media za wasanii karibu wote wakubwa wa nijeria lakini hakuna hata mmoja ameshobokea hadi sasa kupost chochote wala kuomba kura kama ilivyokua kwenye nomination za Mtv...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
50 Cent testifies his lifestyle is an illusion: 'I take the jewelry and cars back to the stores' By Aly Weisman9 hours ago     [*=center] [*=center]...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wakuu yupi jembe hapa, kati ya msanii anayetoa single moja tu na kubeba tuzo 6 na yule anayetoa karibia ya single 10 within a week na kuambulia tuzo 2 tu, binafsi nasema aliyebeba tuzo sita kwa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Nimekuwa nikifuatilia utangazaji wa Ivona Kamuntu toka akiwa Star TV, alikuwa akinikosha, ila sasa kaanza kuharibu sijui kwa kuzidiwa na sifa au ulimbukeni. Ni kwamba dada huyu sasa anaiga sauti...
1 Reactions
32 Replies
6K Views
Jaman huyu dada kiukwel hajielewi maana hatakujielezea hawazi kujitetea. Aeleza sababu za kukaa uchi 1. Wazaz wake ndio chanzo kwasababu wamemlea hivo maana baba yake hajawah kufanya ibada. 2...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mshindi huyo wa ‘Best Live Act’ kwenye MTV MAMA baada ya kurejea Tanzania, amejibu shutuma alizozitoa Jojo dhidi yake kuhusu video aliyoipost, ya mrembo huyo aliyewahi kuwa mpenzi wake akifurahia...
15 Reactions
193 Replies
25K Views
Ni tuzo za African entertainment awards za marekani zitakazofanyika October. Diamond amekuwa nominated categories mbili ambazo ni BEST MALE ARTIST Akichuana na Wizkid, Fally ipupa...
9 Reactions
91 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…