Nikiangalia maisha ya mastaa wa Kibongo walivyotawaliwa na unafiki, saa zingine nabaki nacheka tu. Picha linaanza.
S01E01 Wema ana bifu na Jokate kisa Diamond,
S01E02 Wema ana bifu na Penny...
Belle 9 amedai kuwa kwenye muziki wake haamini kama collabo ni njia sahihi ya kumfikisha kimataifa zaidi. Akizungumza na Bongo5, Belle amesema wapo wasanii kadhaa walioweza kutoboa bila hata...
Muimbaji mkubwa wa Nigeria, DBanjamemlalamikia Diamond kwa kumzungusha kufanya naye collabo. Kokomaster amesema kuwa toka walipokutana na Diamond walizungumza na kukubaliana kufanya collabo...
Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C amefungua mlango kwa mwanaume yoyote anayetaka kumuoa ajitokeze ilimradi awe na vigezo 10 ambavyo ameviainisha. Kupitia ukurasa wake wa instagram Ray C...
Tukubaliane kwa pamoja sasa kwamba Nasibu Abdul ‘Diamond' ni habari nyingine. Weka pembeni habari ya nyota, juhudi zake binafsi zimekuwa chachu ya kumfikisha alipo sasa. Inahitaji akili kuwa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amempigia simu msanii wa bongo fleva Diamond Platinum kumpongeza kwa kushinda tuzo ya MTV.
Rais wetu ni hazina kwa taifa, tutamkumbuka sana.
Chanzo...
Mwanamuziki Nassib Abdull (Diamond Platnumz) akipozi kwa picha na mameneja wake mara baada ya kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo. kulia ni Bw. Said Fella na kutoka...
Hakuna ubishi kwamba Davido, msanii kutoka Nigeria, anayewika na kufanya vizuri pengine kuliko msanii yeyote kwa sasa (kizazi kipya) nchini humo na Afrika kwa ujumla, ndiye msanii aliyemrahishia...
Wakuu kujeni hapa tujuzane hivi yule shemeji yetu ZARI kaishia wapi?
Maana zilipigwa swaga kibao hapa mara harusi mara ana ujauzito mara hoooo, mara heee sijui Mlimani City mara pete ya uchumba...
Msanii Waje ameeleza jinsi alivyosikitishwa baada ya p-square kuacha kumtaja ktk nyimbo ya 'do me' ambayo ilifanya vizuri afrika nzima.Aliongea hayo ktk mahojiano aliyoyafanya hivi karibuni.
Waje...
-Daaah!...ni kwa Mara nyingine tena wale manguli na mahasimu wa BONGOFLEVA nchini...yani ALIKIBA (Ali Saleh Kiba) na DIAMOND PLATNUMZ(Naseeb Abdul Juma) wamekutana kwenye TUZO ZA KIMATAIFA za...
Nimemsikiliza Faidha Ally kwenye Nirvana akijibu maswali ya nini kimepelekea kukaa uchi, nimejisikia kuogopa na kuamini shetani hana mapembe. Nimeamini Faiza ana alama zote za kishetani. Majibu...
Nimejaribu kuangalia social media za wasanii karibu wote wakubwa wa nijeria lakini hakuna hata mmoja ameshobokea hadi sasa kupost chochote wala kuomba kura kama ilivyokua kwenye nomination za Mtv...
50 Cent testifies his lifestyle is an illusion: 'I take the jewelry and cars back to the stores' By Aly Weisman9 hours ago




[*=center]
[*=center]...
wakuu yupi jembe hapa, kati ya msanii anayetoa single moja tu na kubeba tuzo 6 na yule anayetoa karibia ya single 10 within a week na kuambulia tuzo 2 tu, binafsi nasema aliyebeba tuzo sita kwa...
Nimekuwa nikifuatilia utangazaji wa Ivona Kamuntu toka akiwa Star TV, alikuwa akinikosha, ila sasa kaanza kuharibu sijui kwa kuzidiwa na sifa au ulimbukeni.
Ni kwamba dada huyu sasa anaiga sauti...
Jaman huyu dada kiukwel hajielewi maana hatakujielezea hawazi kujitetea.
Aeleza sababu za kukaa uchi
1. Wazaz wake ndio chanzo kwasababu wamemlea hivo maana baba yake hajawah kufanya ibada.
2...
Mshindi huyo wa Best Live Act kwenye MTV MAMA baada ya kurejea Tanzania, amejibu shutuma alizozitoa Jojo dhidi yake kuhusu video aliyoipost, ya mrembo huyo aliyewahi kuwa mpenzi wake akifurahia...
Ni tuzo za African entertainment awards za marekani zitakazofanyika October.
Diamond amekuwa nominated categories mbili ambazo ni
BEST MALE ARTIST
Akichuana na Wizkid, Fally ipupa...