Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Huenda Jux akawa amemfuta kabisa Trey Songz kwenye orodha ya ma-role model wake tangu ashiriki kwenye wimbo mmoja na Vanessa Mdee na kutengeneza ukaribu usio wa kawaida! Japo ameiongea kwa utani...
1 Reactions
31 Replies
8K Views
Mziki wa bongo fleva umepata umaarufu mkubwa sana Barani Afrika na Duniani kwa ujumla. Kitendo hiki cha mziki wetu kuvuka border kimesaidia sana kuongeza Ajira kwa vijana na kukuza vipato vya...
0 Reactions
21 Replies
12K Views
  • Redirect
Muziki wa bongo flavour unazid kushika kasi nje ya mipaka ya Tanzania. Kwa taarifa za kuaminika zinasema mwanamuziki diamond platinumz amealikwa na nguli wa muziki wa miondoko ya R&B kutoka...
0 Reactions
Replies
Views
Habari za kuwepo kwa bifu kati ya Mama mzazi wa Nassib Abduli aka Diamond Platnumz na Zari ambayeni mpenzi wa msanii huyo na Mama wa mtoto wake wa kwanza zilichukua sura mpya. Mwezi uliopita...
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Naona Diddy karudi nafasi yake tena. Na pia drake kamuondoa nadhan alikua 50 cent nafas yake hio ya 5. 5. Drake--Utajiri wa Bilioni 126 Tsh. 4. Birdman--Utajiri wa Bilion 231 Tsh. 3.Jay Z --...
9 Reactions
110 Replies
12K Views
  • Redirect
Happy Birthday Ho. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. Nakuombea heri na baraka tele katika siku hii muhimu na siku zijazo. Nakuombea Mungu azidi kukulinda na kukutunza wewe na familia yako yote.
4 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Nauliza tu waungwana hivi kuna msanii yeyote anaweza akampost magufuli kumpongeza kwa siku yake ya kuzaliwa au kumpa pongezi juu ya jambo lolote? Maana leo nimeona si chini ya wanamuziki na...
0 Reactions
Replies
Views
Shikamoo wakuu Nimekuwa nikifanya utafiti ili kuweza kujua mgawanyiko wa mziki wa Hiphop katika taifa letu la Tanzania Katika pitapita zangu mitaani nimeskia eti kuna tamaduni mziki, hiphop...
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Nmemtumia huyu dada Iphone 7 kwenye siku yake ya kuzaliwa cha ajabu ameenda kunianika instagram kwamba haipendi na atampatia shabiki,nakua kama bwege Hawa maceleb wa kibongo sijui huwa wana...
4 Reactions
24 Replies
4K Views
Lile kundi lililotikisa miaka ya nyuma ambalo lilikuwa na wakali kama AY, king crazy GK, Mwana FA lipo mbioni kurejea kwenye gemu Akizungumza na E newz rapper machachali ambaye pia ni hitmaker...
5 Reactions
27 Replies
4K Views
Mwanadada anayefanya poa kwenye mziki na maigizo Snura Mushi AKA Snu sexy au ukipenda muite malkia wa uswazi hatimaye afanya bonge la party kufurahia kurejea kwa chura kwa mara nyingine Snura...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Alikiba ameitaja sababu iliyomfanya ashindwe kumuoa mwanamke yeyote kati ya watatu aliozaa nao. Hitmaker huyo wa Lupela alisema kuwa hakupenda kulazimisha iwe hivyo.“Unajua hauwezi kumuoa mtu...
3 Reactions
24 Replies
7K Views
Sijajua huo ni ukunga au ni jingle yako kwny kila wimbo.... Usipopayuka "yaaaaah" nyimbo inakuwa nzuri... Ona nyimbo yako ya AJE hujapayuka kidogo ina afadhali lkn mpayuko wako kwny Mapela na...
9 Reactions
73 Replies
8K Views
Wimbo wa salome ulioimbwa kwa kukutanisha mafundi wawili kutokea lebo ya WCB Diamond Platnumz AKA Simba Jini na Rayvanny umekimbiza ile mbaya huku nchini Kenya kwa kushika namba moja kati ya...
4 Reactions
28 Replies
4K Views
Nimekaa nikiwaza yani msanii akigombana na clouds kwanini inakua ngumu sana kusimama tena kimuziki? angalia Jay dee karudi na ndindindi katamba kidogo tu kaja na ngoma yake mpya jiiiiiii imebuma...
9 Reactions
47 Replies
9K Views
Hatimaye Tecno wamezindua Phantom 6 na Phantom 6 Plus ambazo zinaleta mapinduzi ya Teknolojia Kampuni inayoongoza kwa mauzo ya simu Afrika, Tecno Mobile imezindua simu mbili matata za Phantom 6...
5 Reactions
47 Replies
7K Views
Msanii Snura Mushi amesema neno chura sio kama linavyotafsiriwa sasa hivi ambapo watu wanamaanisha ni makalio ya mwanamke, amesema chura linamaanisha mwanamke anayetangatanga kubadilisha wanaume...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
  • Redirect
Habari ndugu zangu, Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia watangazaji ambao awali waliikimbia clouds au hata walifukuzwa, sasa wanarudi. Mfano mkubwa ni Kepten Gadner habash na poul james...
0 Reactions
Replies
Views
“Kwa mfano, ninaweza nikawa misingi yangu ya kazi inaniambia baada ya show inabidi niingie kwenye gari niwahi hoteli. Shabiki anataka nishuke, nipige picha, aniombe namba ya simu,” Ray alimweleza...
7 Reactions
19 Replies
3K Views
Shughuli hiyo ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali pamoja na marais wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mkali wa masauti Christian Bella alikuwa mmoja kati ya wasanii ambao walialikwa na...
8 Reactions
73 Replies
12K Views
Back
Top Bottom