Huenda Jux akawa amemfuta kabisa Trey Songz
kwenye orodha ya ma-role model wake tangu
ashiriki kwenye wimbo mmoja na Vanessa Mdee
na kutengeneza ukaribu usio wa kawaida!
Japo ameiongea kwa utani...
Mziki wa bongo fleva umepata umaarufu mkubwa sana Barani Afrika na Duniani kwa ujumla.
Kitendo hiki cha mziki wetu kuvuka border kimesaidia sana kuongeza Ajira kwa vijana na kukuza vipato vya...
Muziki wa bongo flavour unazid kushika kasi nje ya mipaka ya Tanzania.
Kwa taarifa za kuaminika zinasema mwanamuziki diamond platinumz amealikwa na nguli wa muziki wa miondoko ya R&B kutoka...
Habari za kuwepo kwa bifu kati ya Mama mzazi wa Nassib Abduli aka Diamond Platnumz na Zari ambayeni mpenzi wa msanii huyo na Mama wa mtoto wake wa kwanza zilichukua sura mpya.
Mwezi uliopita...
Naona Diddy karudi nafasi yake tena. Na pia drake kamuondoa nadhan alikua 50 cent nafas yake hio ya 5.
5. Drake--Utajiri wa Bilioni 126 Tsh.
4. Birdman--Utajiri wa Bilion 231 Tsh.
3.Jay Z --...
Happy Birthday Ho. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. Nakuombea heri na baraka tele katika siku hii muhimu na siku zijazo. Nakuombea Mungu azidi kukulinda na kukutunza wewe na familia yako yote.
Nauliza tu waungwana hivi kuna msanii yeyote anaweza akampost magufuli kumpongeza kwa siku yake ya kuzaliwa au kumpa pongezi juu ya jambo lolote? Maana leo nimeona si chini ya wanamuziki na...
Shikamoo wakuu
Nimekuwa nikifanya utafiti ili kuweza kujua mgawanyiko wa mziki wa Hiphop katika taifa letu la Tanzania
Katika pitapita zangu mitaani nimeskia eti kuna tamaduni mziki, hiphop...
Nmemtumia huyu dada Iphone 7 kwenye siku yake ya kuzaliwa cha ajabu ameenda kunianika instagram kwamba haipendi na atampatia shabiki,nakua kama bwege
Hawa maceleb wa kibongo sijui huwa wana...
Lile kundi lililotikisa miaka ya nyuma ambalo lilikuwa na wakali kama AY, king crazy GK, Mwana FA lipo mbioni kurejea kwenye gemu
Akizungumza na E newz rapper machachali ambaye pia ni hitmaker...
Mwanadada anayefanya poa kwenye mziki na maigizo Snura Mushi AKA Snu sexy au ukipenda muite malkia wa uswazi hatimaye afanya bonge la party kufurahia kurejea kwa chura kwa mara nyingine
Snura...
Alikiba ameitaja sababu iliyomfanya ashindwe kumuoa mwanamke yeyote kati ya watatu aliozaa nao.
Hitmaker huyo wa Lupela alisema kuwa hakupenda kulazimisha iwe hivyo.“Unajua hauwezi kumuoa mtu...
Sijajua huo ni ukunga au ni jingle yako kwny kila wimbo.... Usipopayuka "yaaaaah" nyimbo inakuwa nzuri... Ona nyimbo yako ya AJE hujapayuka kidogo ina afadhali lkn mpayuko wako kwny Mapela na...
Wimbo wa salome ulioimbwa kwa kukutanisha mafundi wawili kutokea lebo ya WCB Diamond Platnumz AKA Simba Jini na Rayvanny umekimbiza ile mbaya huku nchini Kenya kwa kushika namba moja kati ya...
Nimekaa nikiwaza yani msanii akigombana na clouds kwanini inakua ngumu sana kusimama tena kimuziki? angalia
Jay dee karudi na ndindindi katamba kidogo tu kaja na ngoma yake mpya jiiiiiii imebuma...
Hatimaye Tecno wamezindua Phantom 6 na Phantom 6 Plus ambazo zinaleta mapinduzi ya Teknolojia
Kampuni inayoongoza kwa mauzo ya simu Afrika, Tecno Mobile imezindua simu mbili matata za Phantom 6...
Msanii Snura Mushi amesema neno chura sio kama linavyotafsiriwa sasa hivi ambapo watu wanamaanisha ni makalio ya mwanamke, amesema chura linamaanisha mwanamke anayetangatanga kubadilisha wanaume...
Habari ndugu zangu,
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia watangazaji ambao awali waliikimbia clouds au hata walifukuzwa, sasa wanarudi. Mfano mkubwa ni Kepten Gadner habash na poul james...
“Kwa mfano, ninaweza nikawa misingi yangu ya kazi inaniambia baada ya show inabidi niingie kwenye gari niwahi hoteli. Shabiki anataka nishuke, nipige picha, aniombe namba ya simu,” Ray alimweleza...
Shughuli hiyo ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali pamoja na marais wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mkali wa masauti Christian Bella alikuwa mmoja kati ya wasanii ambao walialikwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.