Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kwa hapa mi naonaa efm sio wabunifu wameshindwaje nao kuandaa tamasha lao siku ya leo?? Yaan kama wao wangekuwa ni washindani wa biasharaa nao wangeaandaa tamasha lao wamwalike #mondi wachukue na...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
mkanganyiko huu bado unafatiliwa kwa umakini nitawajuza kinachoendelea ================== ni kweli tukio hilo limetokea arusha,makumira. Huyu binti aliyefariki amefananishwa tu na huyo...
0 Reactions
27 Replies
11K Views
Zari ameonesha hana kinyongo hata kidogo kwa wifi yake queen darleen ingawa pale mwanzoni queen darleen alimlia bati Zari kwa kugoma kumtakia heri ya kuzaliwa wifi yake huyo na kuongea mbovu...
2 Reactions
18 Replies
5K Views
Kama ww mkoani hii haikuhusu kabisa tena kaa mbali sana. Jamani muliosoma zile shule za serikali zilizokua noma wakati huo hapa Dar kuanzia Forodhani,Azania,Jangwani,Kibasila na...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Kama ulidhani Alikiba atapotea kwenye ramani ya muziki baada ya kusaini mkataba na kampuni ya Sony Music kama ilivyowahi kuwatokea baadhi ya wasanii wa Afrika – imekula kwako, mwenyewe amefunguka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Dogo janja inasemekana anatoka na masogange baada ya picha zao kuonekana wakiwa kwenye mahaba mazito, ila dogo janja anadai ni masuala ya kazi tu
3 Reactions
72 Replies
27K Views
Mkali wa wimbo ‘Salome’ na mkurugenzi wa WCB, Diamond Platnumz amewataka mashabiki wa muziki kukaa mkao wa kula kwa ajili ya ujio mpya wa Rich Mavoko. Diamond amesema Rich Mavoko ana nyimbo...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama mtanzania natumia nafasi hii kukupongeza Diamond Platinumz kwa kufikisha Followers millioni tatu katika mtandao wa Instagram. Hakika wewe si mtu wa sport sport.
4 Reactions
29 Replies
4K Views
Rapa mkali kutoka Weusi Joh Makini amewachana wanaoanzisha label hapa nchini kuwa wengi wao hawajui vigezo vya kumiliki label na badala yake wanazitumia label kama kiki katika muziki wao. Maneno...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Ile show kabambe ambayo huwakutanisha wasanii kibao pale stejini (FIESTA) inafanyika muda si mrefu hapa Tz lakini katika hali ya kuudhi na kuhuzunisha ni kwamba msanii Diamond hatokwepo kabisa...
17 Reactions
92 Replies
14K Views
Leo mida fulani hivi ya saa nane mchana nilikuwa nasikiliza Clouds fm kwenye kipindi cha XXL kuna segment inaitwa 255 ndipo nikamsikia Barnaba anasema eti anamuomba rais Magufuli aende kwenye...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii clip si mchezo,I love this game!!!
1 Reactions
2 Replies
825 Views
kashfa kubwa unamwandama bia masogange ya kuwachanganya mastaa wa kinaijeria Davido And Tekno Have Allegedly Been Sleeping With The Same Girl [PICS] - Celebrities - Nigeria Davido And Tekno...
1 Reactions
62 Replies
17K Views
Warembo wapo katika dance ya ufunguzi , kuna wengine wanapatia steps wengine wanaenda tofauti ila wamependeza sana. Warembo wameshamaliza kupita na mavazi ya ubunifu, vazi la kitenge limetawala...
4 Reactions
901 Replies
121K Views
Kama umebahatika kuisikiliza hii ngoma....ni moja ya ngoma hatari sana za hip hop sema utimu ndo unafanya ngoma kama hizi zissikike maana jamaa kaflow vizuri sana
6 Reactions
86 Replies
10K Views
Kiukweli kabisa mimi nimekuja mjini mwaka jana tu, yaani sikuzote nilikuwa nakaa kwetu Tandahimba ndanindani, Redio niliyokuwa nasikiliza ni RTD sasahivi inaitwa TBC Taifa. Na hata kiswahili...
1 Reactions
48 Replies
12K Views
Mshindi wa maisha plus ni mdada kutoka Kenya. Jamani naombeni kujua wanatumiaga vigezo gan kumpata mshindi maana naonaga wanakaaga porini tu mimi. KWELI MAISHA HAYANA FOMULA MKENYA KAONDOKA NA M 30
6 Reactions
162 Replies
14K Views
Washabiki wenye mapenzi ya dhati na Wema Sepetu wamekwazwa na tabia za Wema na maisha yake yasiyokuwa na muelekeo hivyo kuamua kuzindua kampeni ya bring back our Wema Sepetu. Kampeni hii...
5 Reactions
67 Replies
12K Views
Back
Top Bottom