Sakata la P-Square limechukua sura mpya baada ya Peter Okoye, maarufu kama Mr P, kuamua kufunguka hadharani kuhusu kile anachodai kuwa ndicho kilichosababisha kuvunjika kwa moja ya duo kubwa zaidi...
Mshangazi wa taifa Janepher Sanga mwenye views na followers zaidi ya million 8 kwenye mitandao ya kijamii, katoa onyo kwa ukali kwa madalali wa wanawake ambao wana posti namba zake kwenye page zao...
Mfanyabiashara na mjasiriamali wa teknolojia kutoka Tanzania, Isaya Yunge, amefunga ndoa ya kimila na Charlene Ruto, binti wa Rais wa Kenya William Ruto. Sherehe hiyo ilifanyika Kilgoris, Kaunti...
FAMILIA YA MUZIKI TUUNGANE : MSANII G . POP WA CREW YA PLANET 2000 ANAHITAJI MSAADA WETU
Habari za wakati huu Ndugu, jamaa na Marafiki pia kwa heshima na taadhima kwa niaba ya Familia ya Ndugu...
Ukizungumzia wasanii ambao hawajawahi kupewa heshima inayolingana na mchango wao kwenye muziki wa Tanzania, kwangu jina la kwanza ni Rashidi Ziada (KR).
KR alianza muziki tangu miaka ya 90...
Watu wameshindana kutoa pesa kwenye baby shower ya mtoto tarajiwa wa Zuchu pia wameshindana kutoa pesa baada ya kujifungua.
Sasa hapa kuna watu kulingana na status walizonazo ni ngumu kwa Zuchu...
MR SUGU & BALOZI - BONGO FLEVA
VERSE. 1
Bongo Fleva kama fani ni treni basi
Mimi ni dreva/
Na nitabaki hivi forever/
Najua nifanye nini ili nibaki kuwa super/
Nilishasema mimi ni zaidi ya...
Nyuma ya mafanikio makubwa ya Lil Wayne kwenye Hip Hop, kuna upande wa maisha yake ambao watu wengi hawaujui; upande wa kutafakari, kukubali makosa na kujitafuta mwenyewe. Huu ndio ujumbe...
Kwa upande wa Hip Hop, imekuwa ni kawaida sana kukuta msanii ana zaidi ya miaka 20 kwenye game, lakini ukichunguza vizuri utakuta ngoma iliyompa heshima ndiyo ileile iliyomtoa kwenye game. Baada...
1. Zali la mentali – Profesa Jay ft Juma Nature
2. Starehe – Ferouz ft Profesa Jay
3. Latifa – MB Dogg
4. Bongo Dar es Salaam – Profesa Jay ft. Lady Jaydee
5. Darubini kali – Afande Sele ft Ditto...
Blogger Mange Kimambi wa u-turn Blog ametiwa mbaroni na Jeshi la Polisi leo jijini Dar es Salaam.
Polisi wamemkamata wakati ameenda kuchukua fomu ya kutia nia kuomba ridhaa ya kugombea ubunge...
TMK MAJITA - FIRST BORN LB GENIUS "TUNADATISHA"
Unachonizidi ni promo/
Usijiite mkali zaidi yangu/
Ujiulize, ingekuwa vipi meneja wako angekuwa wangu?/
Umahiri wa mashairi ndio kisa unajenga...
Muonekano wa hivi karibuni wa rapa mkongwe wa Marekani Lil’ Kim umezua mjadala mkubwa mitandaoni, huku baadhi ya mashabiki wakionyesha wasiwasi na wengine wakikosoa tabia ya wanawake kukataa miili...
PROFESSOR JAY - SAUTI YA GHETTO
PRODUCER : Q THE DONE
STUDIO : MO RECORDS
Intro:
Aaah
Eeeh bwana eeh..!!
Unapima kisha Unakimbia majibu
Wewe..!!!
Chorus:
Ni Sauti ya Gheto
Kwa Watu Wangu wa...
Katika Hali ya kushangaza show ya mwandada Zuchu imedoda baada ya watu kutokutokea kwenye show , unaambiwa kulikuwa na maraia kama 20 tuu hv , na wako busy na mambo Yao , huku wakimpiga picha...
Licha Ya Kupigana Na Mfungwa Mwenzake Gerezani Hivi Karibuni, Lakini Rapa Sean 'Diddy' Combs Amepunguziwa Kifungo Kwa Mara Nyingine Tena. Kwa Sasa Diddy Ataachiwa Huru January 24, 2028.
Diddy...
SIRI YA FICHUKA
MR. SUGU KUTOKUSHIRIKI MIAKA 30 YA BONGO FLEVA
Mr. II Sugu amevunja ukimya! 😱
Anasimulia:
"Walianza kuniita kwenye wimbo, Madee alinipigia simu tuende studio. Baada ya kutoka...
FANANI AFUNGUKA WAZI, JINSI HARD BLASTERS CREW (H.B.C) ILIVYOMJENGA PROFESSOR JAY, "1990s"..
"HARD BLASTERS ndio kundi lililombeba na kumsaidia Prof. Jay, siyo Prof. Jay kuisaidia Hard...
BONGO LEGENDARY MUSIC FESTIVAL YA 2022
: UKURASA UNAOSAHAULIWA KATIKA MJADALA WA BONGO FLEVA HONOURS NA MIAKA 30 YA BONGO FLAVA
Kadiri mijadala kuhusu Bongo Fleva Honours na maadhimisho ya Miaka...
Nimeona mwanaharakati Cherry Hollister amechapisha ujumbe mzito unaomlenga Dotto Magari, ambapo ametoa madai mbalimbali dhidi yake. Miongoni mwa madai hayo, ni kuwa Dotto anaishi na virusi vya...