Michelle Rodriguez mwigizaji wa Amerika, nyota wa mfululizo wa Tamthiliya Waliopotea, Haraka na hasira,Uovu wa Makazi, Avatar.
Wasifu
Alizaliwa mnamo Julai 12, 1978 huko Texas katika mji wa San...
Muda mwingine unaweza ukashangaa kwa nini nimeumbwa hivi,kumbe kuna makusudi ya dhati kabisa usiyoyajua ili kukupungizia spidi ya aidha ya roho nzuri au mbaya uliyonayo dhidi ya mwanadamu mwenzako.
Nimeona video irene kapost insta akipokea baraka kutoka kwa wakwe zake, video inagusa sana, amejishusha mwenyewe na kujinyenyekesha kama mtu vile, ila bongo movie kwa kuigiza tu hamjambo, mxiew...
Msanii wa mikato ya bongo fleva juma-jux,kupitia account yake ya mtandao wa kijamii uitwao instagram ameweka picha inayoonesha mjengo wake mpya...
Swali langu; kumbe siku hizi mziki wa bongo...
Mwanamitindo huyo maarufu kutoka uingereza aitwae Naomi ameibua hisia kubwa kwa mashabiki wa Tanzania baada kupost akisikiliza wimbo wa mkali kutoka tz diamond uitwao inama issue aikuwa hii issue...
Kwako Kilewo wangu,
Kwanza kabisa nakushukuru sana kwa uwepo wako katika Maisha yangu, UPENDO wako wa awali ulinifanya nione hakuna kama wewe hapa duniani. Ulinipenda, ulinidekeza, ulinijali...
hiv huyu kijana anashindwaje kun'gaa wakati ana anatoaga ngoma kali na zenyeh unique ambapo uwezi ukapata kwa msanii yoyote kiukwel kabisa sijaona Tanzania msanii mwenye kufika hata robo ya uwezo...
The only thing I know for sure , If Zari was cheap and local , Diamond wouldn’t dare to buy a mansion in Pretoria for her, the way diamond ako stingy , imagine? Wanawake wote aliowalala achilia...
hakutakiiiii hakutakiiii bado wamng'ang'ania lako hilo mwenyewe utajijuaaaaaa ×2 utajijua mkondobwee utajijuaaaa
kiko katika clip anaimba nargis.mohamed instagram.nimeseaech you tub sijpata...
Mwimbaji Aubrey O'Day(35) amesema ndoto yake ni Barack Obama(57) aje kumchangia mbegu zake za kiume(sperm donor) ili apate mtoto, huku akimsifia Obama kuwa ni handsome, anayejielewa, mkarimu...
➡ Ukikaa na kufikilia kwa mbali unaweza usipate jibu la moja kwa moja ila maisha lazima yaendelee.
Mwanamuziki wa nyimbo za kuruka ruka a.k.a rege Luck Dube alifariki kwa kupigwa risasi na jamaa...
Wakuu habari za mda Leo nimeona niwasogezee top 30 list ya wasanii wa muziki wenye record ya mauzo makubwa dunian
The beatles-united kingdom-usd 600million
Elvis Presley_united state_USD...