Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hii kauli huwa naitafakari sana, hivi Hamisa akili zake sijui zipo sawa kichwani yaani anapenda kumpa Diamond power kwenye maisha yake utadhani yeye Ndio Mungu wake. Mtu hajawahi kuwa your...
13 Reactions
49 Replies
7K Views
Inasemekana aliyekuwa msanii wa kundi la ya moto band amejiunga freemason
5 Reactions
109 Replies
28K Views
Linah apokea kichambo kwa picha hizi Msanii wa muziki Bongo Linah Sanga, wiki hii ameamua kutoa picha za muonekano wa tumbo lake lilivyo kwa sasa. Katika moja ya picha, baadhi ya watu na wadau...
10 Reactions
263 Replies
57K Views
Baada ya kutoka video ya “Natafuta Kiki” pamekuwa na zengwe, kwa kile kilichoonekana kuwa ni mahaba juu ya Snura na Rayvanny kwa lile denda zito lililopigwa kitandani. Akipiga stori na eNewz...
3 Reactions
19 Replies
10K Views
Video mpya ya kundi la muziki kutoka Kenya Sauti Sol ft Patoranking 'Melanin', imefungiwa na serikali ya nchi hiyo chini ya bodi ya filamu Kenya (Kenya Film Classification Board KFCB) Mkurugenzi...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kifo cha msanii kanumba kimegubikwa na utata mkubwa. Riport ya postmoterm (iliyosomwa na daktari kwenye hearing ya kesi ya Jamuhuri v/s Lulu) haioneshi kama Kanumba alikutwa na aina yeyote ya...
0 Reactions
22 Replies
9K Views
Kesi ya kuua bila kukusudia inayomkabili muigizaji wa filamu bongo Elizabeth Michael, (Lulu) imeendelea leo katika mahakama kuu jijini Dar es salaam, ambapo upande wa utetezi umeshindwa kuendelea...
1 Reactions
110 Replies
27K Views
Mel B na Eddie Murphy walibahatika kupata mtoto wa kike Angel mwenye umri wa miaka 10 sasa. Miaka tisa iliyopita walifikia makubaliano Eddie awe anampa Mel B £21,000 kwa mwezi kwa malezi ya mtoto...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Kautafiti kadogo nilikofanya chinichini kanaonyesha kuwa watu wengi maarufu hapa nchini ni "pipiro" aka andunje... yaani ni wafupi wa kimo. Ukianzia kwa wasanii wetu wa muziki, bongofleva...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Huyu mwanamke sijui ni stress ama ni nini... Katika hali inaonesha kupanick au kutojiamini na anachokifanya, amekuwa akijibu tena kwa kejeli kila comment ya mtu anayemcriticise, hii ni baada ya...
3 Reactions
79 Replies
29K Views
JINA lake kamili anajulikana kama Happiness Millen Magese. Ni mshindi wa Shindano la Miss Tanzania Mwaka 2001.Happiness Magese (35), alikuwa akifanya kazi zake za uanamitindo nchini Afrika Kusini...
3 Reactions
155 Replies
34K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia Eat Africa radio na Tv, wamekuwa ni walimu kwa watangazaji wanaotoka pale yaani watangazaji wanatoka wamekwiva ki maadili hadi utendaji. Lakini ni kama swali...
5 Reactions
91 Replies
20K Views
MFAHAMU KWA UFUPI DONNIE YEN "wale wa season mtupishe kidogo" Donnie yen mcheza sinema maarufu katika tasnia hii ya filamu Duniani. Mcheza sinema huyu ambae amezaliwa 27/7/1963 jimbo la...
39 Reactions
130 Replies
22K Views
Nashangaa sana,tena nashangaaa sana,kila shughuli ya serikali huyu mzee ndio anakuwa Mc,hivi mikoani hakuna watu wa kufanya hizi kazi mpaka awe anasafirishwa na serikali? Au ameajiliwa na...
3 Reactions
37 Replies
6K Views
hivi ni kweli hii dunia imekwenda hivi??
2 Reactions
63 Replies
11K Views
Wakuu Wasanii wa Nigeria ni watu wenye akili sana ukitaka kujua hilo angalia muziki wao unavotamba dunia nzima. Angalia nyimbo zao hata hapa Tanzania zinavopendwa hata club zinachezeka tofauti...
19 Reactions
111 Replies
8K Views
Habari zenu wakuu wa humu jamiiforums Picha hapo chini ni mwana mama Zamaradi Mketema (Kushoto) pamoja na Sonia binti wa Monalissa Cherrie (Kulia). NB: Mimi Infantry Soldier sio msomaji sana...
0 Reactions
37 Replies
6K Views
Naona jamaa hataki utani amemuwashia kweli moto mwanamuziki wa hiphop kutoka Nigeria Blackbone. Na ninachoona mpaka sasa mchezo keshautawala yeye #Respect OGs, wanigeria lazima waelewe tu...
5 Reactions
80 Replies
11K Views
Umofia Kwenu wana JF, Imeniladhimu nimuandikie waraka mfupi ndugu yetu Tonny Aka Tbway360 ili watu walio karibu nae au yeye akipitia humu JF aweze kuusoma.Nimeshawahi kukutana na Huyu jamaa mara...
9 Reactions
200 Replies
38K Views
Elton John na Renate Blauel walifunga ndoa mwaka 1988 iliyodumu kwa miaka minne. Wakati wana achana walikubaliana kuwa kila mmoja hataongelea tena ndoa yao hiyo na walifunga mjadala. Mwaka 2019...
7 Reactions
49 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…