Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

,Ni kijana wa kitanzania mwenye upeo wa hali ya juu mimi na umri wangu wote sisikilizi nyimbo za kitanzania ila huyu jamaa acha mwanangu ukirudi mjini ptia kwangu na uniletee album yake huyu...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
BARUA KWA DIAMOND PLATINUMZ na MAMA YAKE MZAZI mbeya region P.O.BOX 0759209081 MBEYA dear diamond.... sina imani we ni mzima wa afya kutokana hasa na mambo unayofanya kiukweliii katika wasanii...
0 Reactions
27 Replies
10K Views
Ivi ili ni jukwaa la celebrities au jukwaa la diamond!!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni ya kufikisha miaka 18 ya kuzaliwa. MY TAKE: Whom dose she think she is still fooling hata kama wote tunajua hafungwi tena? Angekaa kimya tu ingemsaidia zaidi kuliko kutonesha madonda...
1 Reactions
28 Replies
10K Views
jamani, tuna masiku sasa hatumsikii muzee mujanja a.k.a. PJ.. tulisikia tu kapata matatizo j3 alipokuwa akielekea kazini, matatizo gani? alipatwa na nini? yuko wapi sasa? wadau, kuna mwenye kujua...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Fuatilia matangazo ya Clouds Fm, jinsi walivyoamua kutumia umaarufu wa Bi Kidude kumfanyia biashara. Wanaweka vionjo vya Bi Kidude, kisha wanasema 'made in Tanzania' kwa hisani ya 'Maxi Malipo' ...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
hivi wana JF, nani anajuwa Fikiri Madinda yuko wapi na ana hali gani kwa sasa? Na anafanya shughuri gani kwa sasa? Na wakati anapaishwa na bendi za muziki ilikuwaje? Dunia hadaa ulimwengu shujaa
0 Reactions
19 Replies
4K Views
huyu jamaa ana watu kila kona ya nchi hii,ndiyo maana CCM washashitukia hilo siku nyingii,so nao wanamtumia kwenye SHOW zao ilikuwa ni leo kwenye mkutano wa CCM Moro.
0 Reactions
25 Replies
4K Views
There's good news and bad news for Lauryn Hill. The good -- she wasn't sentenced to prison on Monday for tax evasion. The bad -- she has to come up with more than $500,000 before May 3 to stay out...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mr Nice back and says not HIV positive Nairobi, Kenya | By Cate Mukei - The Standard | April 20, 2013 Mr Nice has re-launched his career in Kenya under Grandpa Records. In 2004, the Tanzanian...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau, nimekuwa nikisikiliza Jahazi takribani siku kadhaa sasa bila kusikia Arnold Kayanda wa jahazi la Kibonde wala Gereld Hando wa PB. Hawa watu (top in town) wako wapi? mapumziko au ndio...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Naomba kujuzwa hivi huyu mtangazaji wa KISS FM Mwanza ni wa kike au wa kiume au wa jinsia Boflo maana nashindwa kuelewa maana sauti yake ni ya ki-SHE kabisa japo nasikia jina lake anaitwa SHAABAN...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Msanii Elizabeth Michael, maarufu kama Lulu (Hot Lulu), ameepuka adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa tuhuma za kumuua msanii mwezake, R.I.P Steven Kanumba baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP)...
0 Reactions
220 Replies
22K Views
Huyu Mtangazaji hivi anatangaza bbc au bado yupo sahara media?
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Na Saleh Ally MGOGORO wa kimuziki kati ya msanii Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’ na kituo kimoja cha redio umezidi kuchukua kasi huku makundi mawili, kila moja likitengeneza ngome yake na...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
naona kila wiki kwenye origino komedi masanja lazima amalize kwa kusema jamaa anaumwa.
0 Reactions
56 Replies
15K Views
Wakuu ningependa kuuliza ,hivi huyu Arnold Kayanda mbona cku hizi simsikii kwenye JAHAZI ,kulikoni....?
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Nimeukubali sana wimbo wa Afande sele Dini tumeletewa jamaa ameandka mambo ya msingi sana wasanii wengne igeni mfano huu Big up afande
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tajiri Nambari Moja Duniani Atua Arusha Kimyakimya TAJIRI namba moja duniani, Bw. Mukesh Ambani (53) (pichani) raia wa India amewasili nchini jana alfajiri kimyakimya kwa safari ya kitalii...
0 Reactions
25 Replies
8K Views
This was shocking to me, Beyonce's Baby Blue Ivy Carter has turned into a beautiful princess who closely resembles YMCMB rapper Drake. And the question now here is could he be the father not Jay Z...
0 Reactions
21 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…