Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Uyo jamaa kulia ni Raisi wa shirikisho wa Filam Tanzana na kushoto kabsa ni jamaa muigizaji kutika Ghana
0 Reactions
59 Replies
7K Views
Namkubali sana huyu binti jinsi anavyoripoti matukio mapya na alivyo "committed" kwenye kibarua chake; jinsi anavyoibua habari mitaani. Ni kama Jerry Muro wakati uleeee kabla ya kukwaa kisiki. Big...
3 Reactions
54 Replies
9K Views
Naomba msaada wa kujulishwa maendeleo ya ujauzito wa huyu 'former classmate' wangu. Ni muda tangu nimesikia ana kibendi na tangu hapo sijapata taarifa kama ameshajifungua au bado.
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Mbwiga wa Mbwiguke ndiye anayepokia hela ndogo kuliko watangazaji wote. Unajua anakula mtonyo gani? Milioni moja na nusu babake.
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Bonge la track kati ya jcb na prof jay. Ngoma inaitwa drive slow. Prof.jay kazungumzia kifo cha mamake jinsi alivyogongwa na gari naJCB kazungumzia washkaji zake. Iko pouwa sana. Hiphop for life!
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari za chini ya carpet ni kwamba Lady Jay dee # ANACONDA... Atamleta bwana mdogo Lil wayne, Tarehe moja na tamasha la fiesta.... Tusubirie Clouds watamdaka msanii gani atakayekua ana show South...
0 Reactions
31 Replies
7K Views
  • Closed
Kuna tetesi za chinichini hapa mjini kumhusu Bibie Mh Halima Mdee kwamba yu mjamzito.......... sina kinyongo na Mh na ikiwa ni kweli napenda kumtakia kila la heri, nakumbuka katika mahojiano...
0 Reactions
24 Replies
11K Views
Kwa uku kwetu bongo ukimuuliza mr blue msanii anayemkubali pande za obama atakwambia ni JAYZEE,na angetamani siku moja awe kama yeye au hata kuimba nae tu(japokuwa ni ndoto),wema sepetu atakwambia...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
habari wana jf, Jijini Dsm kuna mengi ndugu zangu, mi nimejitokea zangu mwanza, najisemesha nina kipaji kwenye sanaa ya uigizaji! Nimeishia kuingizwa mjini na huyu mama wa buguruni (ana kundi...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Mara nyingi huwa najiuliza sababu ya wasanii wa kike kushindwa kufanya vizuri katika muziki wa hapa nyumbani almaarufu kama Bongo Flava. Wasanii wengi wa kike wamekuwa wakiibuka na kupotea, ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wapenzi nn mashabik wa music wa Tanzania mjini Guangzhou China....for the first time. WCB president,Diamond weekend ijayo atakuwa na maonyesho ya music mjini humo. Tarehe na detail zingne...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Sijui ni kwangu tu,naona kama wananiboa,mfano kuna movies za mzee majuto kuna jamaa anajiita zumbekuku,kuna movie nyingine ya "garage" anajiita chilisosi. Wapo wengi sijui ndo sauti zao halisi au...
2 Reactions
33 Replies
5K Views
Diamond akiwa na Wema na binamu yake aitwae Romeo Kuna sababu zaidi ya 100 kuwa ‘ile inayoitwa’ movie ya Diamond na Wema Sepetu iliyopewa jina na Diamond, ‘Temptations’ haipo na kama...
0 Reactions
94 Replies
15K Views
Nawazungumzia Judith Wambura Mbibo au Lady Jaydee (ANACONDA) na Naseeb Abdul au Diamond (MNYAMA),kwa sasa ukitaka kutaja jina la mwanamuziki bora wa kiume basi listi itaongozwa na bwana mdogo...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Yaani kuna nyimbo moja ambayo Jidee anaimba," yote mliosema" kuna melodi ambazo Diamond kaiga zote,kaweka kwenye wimbo wake wa my no one! Ha kumbe ukubwa dawa!
0 Reactions
7 Replies
3K Views
toa maon yako kuhusu hii segment ndan ya XXL.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
  • Closed
Jumamosi tarehe 26/01/2013 nikiwa ofisini mida ya saa mbili usiku mie na jamaa zangu tukisubiri kusikiliza taarifa ya habari (StarTv) jamaa yetu mmoja akingia na watu watatu (mwanamke mmoja)...
7 Reactions
175 Replies
25K Views
Haka ka binti kametengenezwa vilivyo; yaani ni kakali. Kwa mastaa wa kibongo bado sijaona zaidi ya hapa.
0 Reactions
97 Replies
31K Views
Wadau wa movie vipi jamani...captain phillips ya tom hanks ishaanza kuoneshwa theatre....mwenye info atuambie
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mshindi wa redds miss Tanzania 2013 ametangazwa muda huu ni Happiness Watimanywa toka Dodoma
1 Reactions
102 Replies
16K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…