Namkubali sana huyu binti jinsi anavyoripoti matukio mapya na alivyo "committed" kwenye kibarua chake; jinsi anavyoibua habari mitaani. Ni kama Jerry Muro wakati uleeee kabla ya kukwaa kisiki. Big...
Naomba msaada wa kujulishwa maendeleo ya ujauzito wa huyu 'former classmate' wangu. Ni muda tangu nimesikia ana kibendi na tangu hapo sijapata taarifa kama ameshajifungua au bado.
Bonge la track kati ya jcb na prof jay. Ngoma inaitwa drive slow. Prof.jay kazungumzia kifo cha mamake jinsi alivyogongwa na gari naJCB kazungumzia washkaji zake. Iko pouwa sana. Hiphop for life!
Habari za chini ya carpet ni kwamba Lady Jay dee # ANACONDA... Atamleta bwana mdogo Lil wayne, Tarehe moja na tamasha la fiesta.... Tusubirie Clouds watamdaka msanii gani atakayekua ana show South...
Kuna tetesi za chinichini hapa mjini kumhusu Bibie Mh Halima Mdee kwamba yu mjamzito..........
sina kinyongo na Mh na ikiwa ni kweli napenda kumtakia kila la heri, nakumbuka katika mahojiano...
Kwa uku kwetu bongo ukimuuliza mr blue msanii anayemkubali pande za obama atakwambia ni JAYZEE,na angetamani siku moja awe kama yeye au hata kuimba nae tu(japokuwa ni ndoto),wema sepetu atakwambia...
habari wana jf,
Jijini Dsm kuna mengi ndugu zangu, mi nimejitokea zangu mwanza, najisemesha nina kipaji kwenye sanaa ya uigizaji!
Nimeishia kuingizwa mjini na huyu mama wa buguruni (ana kundi...
Mara nyingi huwa najiuliza sababu ya wasanii wa kike kushindwa kufanya vizuri katika muziki wa hapa nyumbani almaarufu kama Bongo Flava. Wasanii wengi wa kike wamekuwa wakiibuka na kupotea, ni...
Kwa wapenzi nn mashabik wa music wa Tanzania mjini Guangzhou China....for the first time.
WCB president,Diamond weekend ijayo atakuwa na maonyesho ya music mjini humo.
Tarehe na detail zingne...
Sijui ni kwangu tu,naona kama wananiboa,mfano kuna movies za mzee majuto kuna jamaa anajiita zumbekuku,kuna movie nyingine ya "garage" anajiita chilisosi.
Wapo wengi sijui ndo sauti zao halisi au...
Diamond akiwa na Wema na binamu yake aitwae Romeo
Kuna sababu zaidi ya 100 kuwa ile inayoitwa movie ya Diamond na Wema Sepetu iliyopewa jina na Diamond, Temptations haipo na kama...
Nawazungumzia Judith Wambura Mbibo au Lady Jaydee (ANACONDA) na Naseeb Abdul au Diamond (MNYAMA),kwa sasa ukitaka kutaja jina la mwanamuziki bora wa kiume basi listi itaongozwa na bwana mdogo...
Yaani kuna nyimbo moja ambayo Jidee anaimba," yote mliosema" kuna melodi ambazo Diamond kaiga zote,kaweka kwenye wimbo wake wa my no one! Ha kumbe ukubwa dawa!
Jumamosi tarehe 26/01/2013 nikiwa ofisini mida ya saa mbili usiku mie na jamaa zangu tukisubiri kusikiliza taarifa ya habari (StarTv) jamaa yetu mmoja akingia na watu watatu (mwanamke mmoja)...