Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

From Halis Max Facebook Page. Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa ✍️ Watu wa football mpo wapi? Wanahabari na Majukwaa yetu mmelala...
5 Reactions
60 Replies
520 Views
Mwanaume ukisha make it, usikubali kusettle na mwanamke ambaye hana kipato chake, hana direction, na hana abundant mindset. Sio kwamba kila mwanamke lazima awe tajiri au awe na pesa nyingi kuliko...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Hizi dini zinatuvuruga sana. Tunaambiwa tuamini Biblia, tumefundishwa Amri za Mungu kabla ya Ubatizo wala kuwa Mkiristo unaambiwa uzitaje kwa Kukariri. Tukija kwenye Maisha ya kawaida, amri moja...
2 Reactions
12 Replies
100 Views
Kwanza wameonyesha UNYENYEKEVU kama WATUMISHI wa Mungu Kwa watawala kuwatafuta Ili kuwaambia ukweli Tangu zamani kazi ya makuhuni na MANABII ilikuwa ni kuonya watawala walipokuwa wanakosea njia...
9 Reactions
45 Replies
529 Views
Wakuu mliopo Dar kijan wenu hapa nilikuw naomb mwny connection yyte ya kazi ya kibarua anisaidie 🙏🙏
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wanaukumbi. Iran imeanzisha mashambulizi dhidi ya mataifa ya Ghuba na kutangaza Mlango-Bahari wa Hormuz kufungwa baada ya Marekani kufanya mashambulizi yake ya tatu katika wiki moja, katika...
10 Reactions
585 Replies
8K Views
Mfano una miaka 27 Hujaoa wala huna mtoto Una shahada Huna kitanda wala asset yoyote Huna fani yoyote Je ungetafuta fani gani, ingeishia wapi?? Vipi kuhusu mahusiano. Naandika hivi kwa sababu...
5 Reactions
48 Replies
297 Views
REINCARNATION IS REAL Reincarnation wazo kwamba consciousness au utambulisho wa mtu unaweza kuendelea baada ya kifo na kuonekana katika maisha mengine imejadiliwa kwa maelfu ya miaka. Lakini...
3 Reactions
9 Replies
40 Views
Naomba Ushauri na Msaada wa Mawazo Wakuu, nimeamua kuandika hapa kwa unyenyekevu kabisa. Kuna changamoto ninayopitia kwa sasa na nimeona ni bora kushirikisha wenzangu kuliko kukaa nayo kimya...
0 Reactions
11 Replies
46 Views

FORUM STATS

Threads
2,081,308
Posts
55,956,998
Back
Top Bottom