Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Zanzibar kwa kutumia mamlaka yao ya ndani imekuwa ikisajili meli za walanguzi wa madawa ya kulevya na kuwaruhusu kutumia bendera ya Tanzania. Hali hii imeiweka Tanzania katika hali mbaya sana...
0 Reactions
1 Replies
5 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
162 Reactions
640K Replies
40M Views
Wakuu, Profesa mwenye, aliyesoma na kuelemiika anapokea teuzi hivi kana kwamba bila huo uteuzi anakufa, hapa Rais si anaonekana kama Mungu! Ndo maana alimwita Magufuli Mungu! Baba ananyeyekea...
2 Reactions
12 Replies
130 Views
Ubora wa kitu chochote huwa ni kati kwa kati.Ukionyesha heshima kupitiliza kwa mtu yeyote unaweza kugeuzwa mtumwa kwa kulazimishwa kuhatarisha maisha yako kwa lengo la kumfurahisha mtu ambaye...
9 Reactions
13 Replies
971 Views
Vita ya mashariki ya kati haiwezi kuwa kisingizio cha mafuta kupanda bei. Tunajua mmeagizwa na aliewateua kusema vita vita vita. Kwenye kila lita moja ya mafuta kuna kodi na tozo mbali mbali za...
1 Reactions
17 Replies
72 Views
Kujadiliana na watu wasioamini uwepo wa Mungu (atheists) kunahitaji hekima, subira, na hoja zenye mashiko ya kimantiki badala ya kunukuu maandiko pekee. Katika mazingira ya Kiislamu, mjadala huu...
4 Reactions
63 Replies
209 Views
Dkt. Eveline Wilbard Munisi, Katibu Mkuu wa NCCR MAGEUZI na Mgombea mwenza wa nafasi ya Urais kupitia tiketi ya NCCR ameteuliwa na Rais kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
4 Reactions
7 Replies
61 Views
Wanaukumbi. 🇺🇸🇮🇷 Iran imetoa wito kwa wafanyakazi wote wa Google, Nvidia, Apple, IBM, Tesla, Intel na Cisco kuondoka kwenye makampuni hayo ifikapo saa nane mchana kwa saa za Tehran siku ya...
9 Reactions
187 Replies
2K Views
Habari Wana JF, Wataalam wa Numerology naomba msaada wenu kwenye hili Ni takribani miezi miwili sasa kuna hii incidence imekuwa ikijirudia mara kwa mara na mwanzoni nilikuwa nikiipuuza ila sasa...
3 Reactions
6 Replies
54 Views
Mtu yupo ndani kwake siku nzima, kama hujamzoea unaweza kuhisi kuna shida ila ukiishi hapo kwa muda mrefu unamgundua wala hana shida, haonyeshi dalili za masikitiko, ndo furaha yake, Anapenda...
12 Reactions
61 Replies
436 Views

FORUM STATS

Threads
2,049,462
Posts
55,185,096
Back
Top Bottom