Kwangu mimi ni chapati sizichoki asee af za mama ntilie hapana nimekuwa affected siwez kula chakula ame pika mwingine na simuamin mtu kwenye swala la kupika ata kama nimechoka kuliko kununua bora...
Wahusika katika secretariat ya Ajira Tanzania kitengo cha Huduma kwa Wateja Kuna. changamoto ya kimawasiliano hawatoi Huduma kabisa vijana tuna pata changamoto kwenye mfumo wa ajira lakini ukipiga...
Marekani na Iran zimeshindwa kufikia makubaliano ya amani baada ya mazungumzo ya hali ya juu yaliyofanyika katika mji mkuu wa Pakistan, Islamabad. Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance, alisema...
Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu.
Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya...
Habari wandugu
Tukiwa tumemka salama huku tukisubiri mlejesho wa kikao kutoka Pakistan,nimeona kila mtu akishuka kwenye ndege na makablasha kwapani kila upande umesheheni security expert maalumu...
Benjamin Netanyahu:
“Iran inaingia kwenye mazungumzo ikiwa ni dhaifu kuliko wakati wowote katika historia ya utawala wa Kiislamu. Walitaka kutunyonga, lakini sasa sisi ndio tunawanyonga wao.”...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
This is simple mathematics , umezaa mtoto yes that's ur responsibility na responsibility is like uniform hata kama uniform hauipendi ila lazima uivae tu .
Kuzaa au kuzalisha that's parent's...
Aprili 2, 2026 Mkurugenzi wa Taasisi ya Tulia Trust ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani(IPU) na Mbunge wa Jimbo la Uyole Mhe. Dkt. Tulia Ackson amesema nyumba zinazojengwa kwaajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.