Kazi yangu ni bodaboda, na nilijuana na huyu single maza kupitia kazi yangu hii, maana yeye anafanya kazi bar hivyo uwa anatoka usiku sana, basi akachukua namba yangu ikawa kila usiku anapiga simu...
My Take
Sgr ikifika Mwanza & Kigoma Tanzania ndio itakuwa Gulio Kuu la Nchi za Afrika.
Hakuna tena kwenda China Wala Dubai Bali Tanzania.
Hongera SSH Kwa kazi nzuri,pia soma Ndani ya Miaka 4...
Habari za jumapili!
1. Wiki kadhaa zilizoisha taarifa za kuuawa mchina zilizagaa mitandaoni.
2. Mshukiwa wa mauaji hayo akiwa ni mtu mmoja ambaye jina lake halikutajwa isipokuwa kabila lake la...
Huenda kada ya walimu ni kada yenye laana, masikini na isiyo jielewa, hii ndio kada pekee inayo tumiwa na CCM kuwekwa madarakani, Oktoba 29 wao pia walichangia kwa asilimia kubwa sana, vipande...
Israel imehusika kwa kiwango kikubwa katika teknolojia ya chips (ubongo wa simu) nyingi zilizotumika kwenye iPhone kwa miaka mingi, hasa kupitia vituo vya utafiti vya Apple Inc. nchini Israel...
Wanabodi,
Hii ni ile the JF Advantage of "Be The First To Know", kuna habari njema kutoka Vatican City, ile sala ya Litania ya Bikira Maria ambayo huwa inasomwa kwenye Jumuiya Ndogo Ndogo zote...
eFootball ni mchezo wa simu unaohusisha mpira wa miguu, na hapa kuna habari muhimu kuhusu mchezo huo:
▫️Jina na Kurekebishwa: Mchezo huu awali ulijulikana kama "Pro Evolution Soccer" (PES)...
Hizi hapa ndio Nchi 12 zenye idadi kubwa zaidi ya watu maskini Duniani
1.Nigeria - 95mln
2.DRC Congo-82
3.India-75
4.Pakistan-58
5.Ethiopia-47
6.Tanzania-29
7.Msumbiji-27
8.Uganda-26
9.Kenya-25...
Single mother wote wakiingia kwenye mahusiano mapya huwa hawawaongelei vizuri wazazi wenzao. Hauwezi kusikia anasema "baba mtoto yupo anampenda na kumjali sana mwanae" . Mara zote utasikia "hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.