Mlioko DODOMA yule mtumishi wa Mungu wa ukweli mwenye nguvu kubwa moto wa Mungu unaounguza wachawi wote na kuwafungua wale wote waliotupiwa uchawi,majini ,mapepo ,laana na kuibiwa nyota...
Tulia Akson aliyekuwa anaona sifa kutunga sheria mbaya, na kutumika kulinda uovu wa serekali bungeni, alipigwa chini.
Na kabla hajapoa vizuri mumewe naye kapigwa chini Sasa wakae wapitie uovu...
Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku shambulio la kwanza likiripotiwa kutokea karibu na ofisi za Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei.
Vyombo...
Nakumbumbuka baadhi ya majambazi waliotokea kusumbua jamii.
1. Enzi izo ni wilaya ya Tarime, Mathumo, huyu alikuwa mwizi wa ngombe
Alikuwa na uwezo wa kuiba ngombe kisha kuogelea nao akivuka nao...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Mahoteli ni matupuuu,hata zile budget hostels. Utalii unayoyoma kwa kasi aisee.
Uchumi wa Zanzibar ni utalii naa utalii wa Zanzibar umeshambuliwa na Serikali na global instability especially...
Moja kwa moja.
Watu wengi wanadhani vita ikiisha basi maisha yatarudi kawaida na bei za mafuta katika soko la Dunia zitashuka na kurudi katika hali ya kawaida.
Msichokijua kwamba atahari ya hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.