Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kazi yangu ni bodaboda, na nilijuana na huyu single maza kupitia kazi yangu hii, maana yeye anafanya kazi bar hivyo uwa anatoka usiku sana, basi akachukua namba yangu ikawa kila usiku anapiga simu...
25 Reactions
252 Replies
2K Views
My Take Sgr ikifika Mwanza & Kigoma Tanzania ndio itakuwa Gulio Kuu la Nchi za Afrika. Hakuna tena kwenda China Wala Dubai Bali Tanzania. Hongera SSH Kwa kazi nzuri,pia soma Ndani ya Miaka 4...
1 Reactions
4 Replies
67 Views
Habari za jumapili! 1. Wiki kadhaa zilizoisha taarifa za kuuawa mchina zilizagaa mitandaoni. 2. Mshukiwa wa mauaji hayo akiwa ni mtu mmoja ambaye jina lake halikutajwa isipokuwa kabila lake la...
2 Reactions
32 Replies
89 Views
Huenda kada ya walimu ni kada yenye laana, masikini na isiyo jielewa, hii ndio kada pekee inayo tumiwa na CCM kuwekwa madarakani, Oktoba 29 wao pia walichangia kwa asilimia kubwa sana, vipande...
3 Reactions
20 Replies
51 Views
Israel imehusika kwa kiwango kikubwa katika teknolojia ya chips (ubongo wa simu) nyingi zilizotumika kwenye iPhone kwa miaka mingi, hasa kupitia vituo vya utafiti vya Apple Inc. nchini Israel...
5 Reactions
36 Replies
357 Views
Wanabodi, Hii ni ile the JF Advantage of "Be The First To Know", kuna habari njema kutoka Vatican City, ile sala ya Litania ya Bikira Maria ambayo huwa inasomwa kwenye Jumuiya Ndogo Ndogo zote...
1 Reactions
2 Replies
6 Views
eFootball ni mchezo wa simu unaohusisha mpira wa miguu, na hapa kuna habari muhimu kuhusu mchezo huo: ▫️Jina na Kurekebishwa: Mchezo huu awali ulijulikana kama "Pro Evolution Soccer" (PES)...
26 Reactions
15K Replies
257K Views
I don't have much to to talk but Hopes ndio always zinaleta maumivu. Ngoja nikale zangu bia.
6 Reactions
89 Replies
272 Views
Hizi hapa ndio Nchi 12 zenye idadi kubwa zaidi ya watu maskini Duniani 1.Nigeria - 95mln 2.DRC Congo-82 3.India-75 4.Pakistan-58 5.Ethiopia-47 6.Tanzania-29 7.Msumbiji-27 8.Uganda-26 9.Kenya-25...
4 Reactions
14 Replies
72 Views
Single mother wote wakiingia kwenye mahusiano mapya huwa hawawaongelei vizuri wazazi wenzao. Hauwezi kusikia anasema "baba mtoto yupo anampenda na kumjali sana mwanae" . Mara zote utasikia "hata...
25 Reactions
157 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
2,060,808
Posts
55,452,937
Back
Top Bottom