Nimesikiliza hii video hadi nikatamani kulia, humu ndani ameeleza pia project Yao ya kutaka kumiliki dhahabu za maeneo yetu kama ufaransa anavyo fanya kwa yaliyo kuwa makoloni yake.
Edwin Odemba: unaamini kwamba Chama cha Mapinduzi ndicho kilikuwa ni chama sahihi eh ya wewe kuwepo kwa wakati ule?"
Peter Msigwa: "In a way ndio na in a way no. Uh lakini kwa..."
Edwin Odemba...
Niaje waungwa
Iran huwa hailali na deni, ikiahidi inalipa kwa muda sahihi. Leo hii wanajeshi wa Marekani hawatolala kwenye kambi zao kamwe.
Njia nyingine ya bahari ya Bab el Mandeb kufungwa, na...
Deadline day shoking transfer
Naam wakati people wapo bize kufatilia siku ya mwisho ya usajili wa majira ya baridi kwenye soka mara inaibuka taarifa bingwa mara 7 wa mashindano ya mbio za magari...
Breaking news Israel inaishambulia iran mda huu kama kujibu mashumbulizi ya iran ambapo, chombo Cha habari Cha israel Cha chanel 14 kimelipoti kuwa milipuko ya mabomu imesikika mda huu nchini iran...
Natafuta musaada kubadili combination kwa kijana wangu.
Ndoto yake ni kusoma HGE ama EGM.
Kwa sasa amechaguliwa HGL lakini shule hakuna combination za HGE na EGM.
Natanguliza shukrani.
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.
Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
KAFULILA AAHIDI MASTERS YA PPP UDOM
Dodoma – Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha PPP, Bw. David Kafulila, ameahidi kwamba Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kitakuwa miongoni mwa taasisi chache duniani...
🏆 FIFA World Cup 2026 Finals Uzi Maalum.
2026 FIFA World Cup itakuwa toleo la kihistoria la Kombe la Dunia kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa mashindano.
🌍 Waandaaji
Mashindano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.