Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naona kwenye groups za whatsapp na whatsapp statuses wazanzibari wamefurahi mno huyo ndejembi kupendekezwa kuchukua nafasi ya nchimbi. Wanashangilia sana isiyo kifani na kumsifu samia na kwa...
2 Reactions
7 Replies
222 Views
Je Gwajima amelambishwa asali? Je Gwajima amepata vitisho ? Je Gwajima ameona aliokuwa anawatetea sio watu sahihi no heri ajiunge na wenzake wana ccm kujichotea mali za uma nk? Hatujamzoea hivi...
1 Reactions
5 Replies
16 Views
  • Featured
Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imemfutia uanachama wa Chama hicho leo Agosti 26, 2026 aliyekuwa Makamu wa Rais, Dkt. Emmannuel Nchimbi ambaye alitangaza kujiuzulu nafasi hiyo na...
21 Reactions
408 Replies
8K Views
Friends and Our Enemies, Dante anasema siku zote kuwa ''How you do anything,is how you do everything". Pigo hili la kuondoka kwake na kujiuzulu na hatimae kufukuzwa kwake kwa sababu za kimaadili...
-1 Reactions
26 Replies
251 Views
Askari wawili wa Jeshi la Polisi, Izdory George Michael na Rehema Juma Magawa, wamefariki dunia baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Noah katika barabara kuu ya Dar es salaam - Morogoro kwenye...
12 Reactions
46 Replies
704 Views
Kwa mujibu wa ripoti ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (@nbs.tanzania) iliyotokana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, hii ndio mikoa yenye watu wengi zaidi wasiojua kusoma wala kuandika. Je Mkoa...
3 Reactions
21 Replies
282 Views
Kutoka Maktaba: Alisema Dkt. Emmanueli Nchimbi, punde baada ya kutangazwa kuwa Katika Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mnamo mwezi Januari, 2024 Naona alichokisema kimetimia! Msimamo ndio silaha...
1 Reactions
2 Replies
48 Views
Nakwambia ukijijua we ni kilaza tafuta watu wenye akili,tafuta watu wenye maarifa wakuzunguke wawe washauri wako itakuwa faida kwako. Kama we ndio boss wao hata wakiku-outshine usijali maana Wana...
8 Reactions
11 Replies
44 Views
Na. M. M. Mwanakijiji Ni kweli Emanuel Nchimbi amekuwa kwenye CCM kwa muda mrefu sana. Wengi tunamjua toka akiwa Umoja wa Vijana wa CCM na kwa kweli hakuwa mtu ambaye tulimfikiria hata kwa mbali...
33 Reactions
49 Replies
962 Views
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Mambo ya leo ni mengi. Alichokifanya bwana Nchimbi kutangaza "kujiuzulu" umakamu wa rais ni zaidi ya uhaini. Nasema haya kwa sababu anuai...
30 Reactions
164 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
2,084,963
Posts
56,033,190
Back
Top Bottom