EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Kwa sasa hoteli hii imefikia ghorofa ya 3, na inakwenda kwa kasi!....
Tunaandaa picha kamili za nyumba hiyo ili wabishi muone!
N asiku moja tutamphotoa akiwa ameenda kuangalia maendeleo!
Labda amsusie nduguye!
Acha usanii mkuu. Jiheshimu angalao kidogo basi. Kwa vile nyumba imefikia ghorofa ya 3 na inakwenda kwa kasi basi automatically ni ya Zitto? Tokea lini picha za nyumba zikadhibitisha mmiliki wa nyumba? Halafu hii habari is completely hearsay. Unadai umepigiwa simu na ndugu yako anayeshi Dodoma. Bila hata kutumia ubongo wako uka-login JF na kuandika this hearsay bila hata kufanya utafiti wa aina yoyote. Respect yourself brother. Vitu kama hivi vinahitaji evidence na sio kupayuka tuu. Hata kama hiyo nyumba ni ya Zitto, huoni kama umeshaharibu hata kupata ushahidi? Watu wengine mnakera yaani basi tuu.