ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,283
- 538
Hii ni ya mbezi kimara
asante kupeng'e....
Hii ni ya mbezi kimara
Hii hoja nilileta mwaka jana mod wakainyofoa
ilikuwa lile ghorofa lake la mbezi ya kimara nitaweka picha soon
Wanajamvi,
Nimepigiwa simu na Ndugu yangu anayeishi Dodoma mjini akinihabarisha kuwa Mheshimiwa Zitto Kabwe anajenga Hoteli kubwa sana ya Nyota 5 Mjini Dodoma, eneo liitwalo KISASA.
Hili ni jambo jema na la maendeleo sana, lakini Je Zitto, hili jambo ni kweli?
Umekuwa unapinga hata kuwa na magari ya kifahari, huku ukisema kuwa hushabikii UTAJIRI, je fedha za kupandisha jengo kubwa na la kifahari kama hilo ni hizihizi za posho zenu, au umekopa benki, au umepewa na mfadhili, au una vyanzo vingine vilivyofichama?
Tafadhali sana Zitto, njoo ujibu kwa kauli yako mwenyewe!
Nawasilisha!
Hii ni ya mbezi kimara
Sasa hivi mimi nawaunga mkono mafisadi wote wanaoliibia taifa hili na kuwekeza hapahapa nchini ili ile ahadi ya JK ya ajira kwa vijana itimie!
Wanajamvi,
Nimepigiwa simu na Ndugu yangu anayeishi Dodoma mjini akinihabarisha kuwa Mheshimiwa Zitto Kabwe anajenga Hoteli kubwa sana ya Nyota 5 Mjini Dodoma, eneo liitwalo KISASA.
Hili ni jambo jema na la maendeleo sana, lakini Je Zitto, hili jambo ni kweli?
Umekuwa unapinga hata kuwa na magari ya kifahari, huku ukisema kuwa hushabikii UTAJIRI, je fedha za kupandisha jengo kubwa na la kifahari kama hilo ni hizihizi za posho zenu, au umekopa benki, au umepewa na mfadhili, au una vyanzo vingine vilivyofichama?
Tafadhali sana Zitto, njoo ujibu kwa kauli yako mwenyewe!
Nawasilisha!
nimekumisi kupeng'e..Hii hoja nilileta mwaka jana mod wakainyofoa
Mi nyota saba!!Yeah! na pale pembeni ya Hotel hiyo mimi najenga nyota 6..
Hii ni ya mbezi kimara
Ni vizuri umekanusha uzushi lakini kama unataka kujenga hata kuwa na eka 20 za shamba ni hiari yako,hakuna mtu anapaswa kukuingia kwenye maisha yako eti kisa Naibu Katibu Mkuu chadema, au Naibu Kiongozi upinzani au Mbunge wewe ni mtanzania unahaki kama watu wengine kufanya mambo yako halali watu wengine wanaudhi sana bana yaani mtu asifanye maendeleo yake binfsi halali chaaWakati mwingine uongo na uzushi wa kipuuzi Kama huu ukiachwa kuna watakaoamini. Sio tu kujenga Hotel, sina hata kiwanja Dodoma. Sitegemei kuwa na kiwanja Dodoma wala kujenga Dodoma.
Nimezushiwa mengi sana
1. Nina nyumba Masaki
2. Nina 900m StanBic
3. Nina kiwanda cha kokotoNa mengine mengi sana.
Yote hayo sio ya kweli na kuna watu wanayaamini.
1. Sina biashara yeyote hapa Tanzania
2. Sina nyumba yeyote Dar. Nina shamba la Ekari tatu tu Mbutu na halijaendelezwa toka mwaka 2004.
3. Ninaishi flats za kupanga Tabata
4. Sina na wala sijwahi kuwa na tamaa ya utajiri katika maisha yangu. Property isn't my thing kabisa.JFMtu akileta accusations dhidi ya mtu mwingine tafadhali aje na ushahidi wa mfano picha ya nyumba, ushahidi wa umiliki ambao ni rahisi sana kupata CDA kwa DODOMA au Wizara ya Ardhi.
Tuache umbeya tuseme kweli. Sikatai Kusemwa kwa ya kweli. Ninajifunza sana kwa critics za ukweli. Lakini uzushi Kama huu unaumiza
Kila la kheri
Hii itakuwa ya nyota moja tu kakaHii ni ya mbezi kimara
asante kupeng'e....
KISASA - Dodoma Mjini?
Labda kama Dodoma Mjini sipafahamu vizuri!!!
Mimi ili nikubaliane na hii issue kuna jina limetajwa kisasa huko dodoma je ni kweli eneo hilo lipo ? Na je kuna ujenzi wa hotel unafanyika kwa sasa ?Tuanzie hapa but again nampongeza Zitto kama anajenga .
Zito pole kwa kuzushiwa,Wakati mwingine uongo na uzushi wa kipuuzi Kama huu ukiachwa kuna watakaoamini. Sio tu kujenga Hotel, sina hata kiwanja Dodoma. Sitegemei kuwa na kiwanja Dodoma wala kujenga Dodoma.
Nimezushiwa mengi sana
1. Nina nyumba Masaki
2. Nina 900m StanBic
3. Nina kiwanda cha kokotoNa mengine mengi sana.
Yote hayo sio ya kweli na kuna watu wanayaamini.
1. Sina biashara yeyote hapa Tanzania
2. Sina nyumba yeyote Dar. Nina shamba la Ekari tatu tu Mbutu na halijaendelezwa toka mwaka 2004.
3. Ninaishi flats za kupanga Tabata
4. Sina na wala sijwahi kuwa na tamaa ya utajiri katika maisha yangu. Property isn't my thing kabisa.JFMtu akileta accusations dhidi ya mtu mwingine tafadhali aje na ushahidi wa mfano picha ya nyumba, ushahidi wa umiliki ambao ni rahisi sana kupata CDA kwa DODOMA au Wizara ya Ardhi.
Tuache umbeya tuseme kweli. Sikatai Kusemwa kwa ya kweli. Ninajifunza sana kwa critics za ukweli. Lakini uzushi Kama huu unaumiza
Kila la kheri
Hii itakuwa ya nyota moja tu kaka
Hiyo picha ndio Hotel ya nyota tano? Ha! Ha! Ha! Ha!
Jenga kaka pesa ikipungua sema tukuongezeWakati mwingine uongo na uzushi wa kipuuzi Kama huu ukiachwa kuna watakaoamini. Sio tu kujenga Hotel, sina hata kiwanja Dodoma. Sitegemei kuwa na kiwanja Dodoma wala kujenga Dodoma.
Nimezushiwa mengi sana
1. Nina nyumba Masaki
2. Nina 900m StanBic
3. Nina kiwanda cha kokotoNa mengine mengi sana.
Yote hayo sio ya kweli na kuna watu wanayaamini.
1. Sina biashara yeyote hapa Tanzania
2. Sina nyumba yeyote Dar. Nina shamba la Ekari tatu tu Mbutu na halijaendelezwa toka mwaka 2004.
3. Ninaishi flats za kupanga Tabata
4. Sina na wala sijwahi kuwa na tamaa ya utajiri katika maisha yangu. Property isn't my thing kabisa.JFMtu akileta accusations dhidi ya mtu mwingine tafadhali aje na ushahidi wa mfano picha ya nyumba, ushahidi wa umiliki ambao ni rahisi sana kupata CDA kwa DODOMA au Wizara ya Ardhi.
Tuache umbeya tuseme kweli. Sikatai Kusemwa kwa ya kweli. Ninajifunza sana kwa critics za ukweli. Lakini uzushi Kama huu unaumiza
Kila la kheri