Mbwiga_Plus
Senior Member
- Jan 5, 2011
- 163
- 42
- Thread starter
- #101
Hakika siamini kama mtu anaweza kuiruka property yake mchana kweupe kiasi hiki!...Siku tukileta ushahidi nasikitika tutaweka wapi sura zetu!...
Kwa sasa hoteli hii imefikia ghorofa ya 3, na inakwenda kwa kasi!....
Tunaandaa picha kamili za nyumba hiyo ili wabishi muone!
N asiku moja tutamphotoa akiwa ameenda kuangalia maendeleo!
Labda amsusie nduguye!
Hakika siamini kama mtu anaweza kuiruka property yake mchana kweupe kiasi hiki!...Siku tukileta ushahidi nasikitika tutaweka wapi sura zetu!...
Mkuu wangu unajua sasa hivi Tanzania tupo ktk njia panda. Ukiwasoma sana Watanzania utajua ya kwamba wana shida kubwa ya kiongozi Mwanamapinduzi mfano wa kina CHE, Chavez au Kagame na ktk sifa za mtu kama huyu mara zote hazitokani na mtu mwenye mtazamo wa Kibepari isipokuwa Mjamaa, na ktk Ujamaa ni swala la Kimaskini ambalo lazima kiongozi atazame na kusimamia maslahi yao..Watanzania tukubali tukatae tuna wivu ..sana.mkapa hakukosea kusema watu wana wivu sana!!.....
Hivi kuna jinai gani kwa Zitto kuchuma mali yake halali ...isitoshe ni kijana ......,nyie ndio kesho na keshokutwa akishuka kisiasa [if that will happen at all] ndio mtaanza kumcheka ....akianza kutembelea feroza au mark two..za milioni 4.......,yaani wabongo mnataka mfanane fanane tu..!! hata vidole havifanani....kwenu ni raha akiwekeza Manji ...ila akiwekeza Zitto ..au hata kudhaniwa basi kosa......tujiangalieni tukiwa na roho za aina hii tukizeeka tutakuwa wachawi....
Mimi namshauri Zitto kuwa kama akipata kipato chake ...asiogope kujiandalia maisha yake kwa ajili maneno ya watu........ni muhimu awe na nyumba Dar,Kigoma Na Dodoma ....na pia ni muhimu kuwa na miradi miwili mitatu tena ya wazi ie Kilimo,usindikaji wa mazao...,stocks etc...kipato cha mbunge si kikubwa au kidogo ..lakini kinatosha kujiandalia maisha......TENA SIKU UKIJALIWA KUWA NA NYUMBA..USIWEKE SIRI PIGA PICHA TUWEKEE HAPA......BAADAYE HAWA NDIO WATAKAOKUCHEKA KUWA ULICHEZEA MAISHA
MSIMAMO WA KIUCHUMI NI MSINGI WA MWANASIASA BORA NA ASIYEYUMBISHWA!!!!
Nimeyaleta ile anipe majibu maana kule hajatokea kunipa majibu
Sasa mbona gorofa moja na ni nyumba ya kawaida kuliko maneno uliyo kuwa ukisema!! Mbongo kweli nuksi
Mkuu wangu unajua sasa hivi Tanzania tupo ktk njia panda. Ukiwasoma sana Watanzania utajua ya kwamba wana shida kubwa ya kiongozi Mwanamapinduzi mfano wa kina CHE, Chavez au Kagame na ktk sifa za mtu kama huyu mara zote hazitokani na mtu mwenye mtazamo wa Kibepari isipokuwa Mjamaa, na ktk Ujamaa ni swala la Kimaskini ambalo lazima kiongozi atazame na kusimamia maslahi yao..
Hivyo wakiona mtu kama Zitto amejenga Hotel na Ghorofa humwondoa ktk kundi la Wanamapinduzi..Mtu kama Mkapa ni Bepari na kila anachokitaza ni ktk Ubepari hivyo hata Ufisadi haoni haramu isipokuwa ni disdvantage zinazokuwepo ktk Ubepari lazima tuzikubali..ndio maana alisisitiza wivu kwa mtazamo wa kibepari..Na hili ndilo tatizo kubwa sana ktk vyama vyetu ambavyo unawakuta viongozi wameridhika na mfumo wa Ubepari lakini wakati huo huo wanapinga mtu kujilimbikiza mali hata kama analipa kodi zake..
Kwa hiyo kuna mchanganyiko mkubwa wa kisiasa nchini, kina sisi tunasubiri mageuzi kupitia Mapinduzi ya kifikra na wapo wengine wanategemea mageuzi kupitia samnduku la kura na wengine wanamtafuta mwokozi wao mwanamapinduzi Che ambaye hadi leo hajapatikana. Na nakuhakikishia kama atakuja tokea mtu yeyote kutetea maslahi ya Wakulima na Wafanyakazi kwa njia ya Mapinduzi ya Kiuchumi kifikra, basi huyu mtu atakuwa maarufu na ndiye pekee atakae weza kuiondoa CCM madarakani na sio kupitia sanduku la kura.. Mark my word!
Wakuu, taarifa hizi ni za Uhakika kabisa, maana mleta habari anaelewa kwa undani ishu nzima...
Kwa Zitto hili ni jambo rahisi tu, aeleze wanajamvi kama ni hoteli yake ya kihalali...basi!
Zitto mm naamini kabisa atakuwa anajenga, yule ni fisadi mkubwa sana sema watu hawajashtukia kwa kuwa yupo cdm. cku za mbele mambo yote yatakuwa wazi watu mtashangaa