- Thread starter
- #101
Kazi kweli kweli hata wasomi hamjui maana ya Internet au kirefu chake huyo Zena Mbaga yeye anahold hizo Wavuti? Keshasema hata TTCL hawapati Internet mlitaka akailete wapi? Ingekwa Broadband sawa nijukumu lake hata km ni Voda, tigo, airtel hupati Internet sio kazi ya customer care eti Provider wangu mbona hanirushii fb, yahoo, google jf nk
Hebu hamia BlackBerry km utampata hata Mama yake Customer care
Ukwaju, Soma kabla ya kupost!