Zena wa TTCL Customer Service yake Hovyo - Soma haya majibu!

Hivi inakuwaje unapoenda kwenye ofisi halafu unahudumiwa na mwanaume mwenzako lakini ana nyodo hata wadada hawaoni ndani, manake bora nyodo akufanyie mwanamke unaweza ukamezea lakini kwa mwanaume unashindwa kumuelewa kabisa :frusty::frusty::frusty:, mfano hai wa hili nenda pale HESLB aka loan bodi yani kama huna uvumilivu wa ziada unaweza kupata kesi....
inakera sana...:angry::angry::mad2::mad2::mad2:
 
mtoa mada
jana ttcl ilipata tatizo ambalo liliathiri asilimia kubwa kwa muda hata BOT CRDB EXIM BANK M walitupigia tukawaeleza kuna tatizo wakaelewa zena alichokujibu ni kuna tatizo linashulikiwa na mafundi wetu kitendo cha kumtuhumu kwa maneno yako hayo naona unania ya kumchongea sijui afukuzwe kazi au afanywaje mana si yeye aliyeleta tatizo ilo kazi yake ni kureport fault tu unasema we mteja wa broadband wakati ni kibarua wa UMOJA switch acha unakimbilia kuandika mambo ambayo hayana maana na kutoa shutuma tena kwa kutaja jina lake kabisa mbona hao wengine ambao walijibiwa kwamba kuna tatizo hawakukurupuka kuja kuandika

Comrade, inaelekea wewe ni mfanyakazi wa TTCL ama shoga/mshikaji wa Zena. Badala ya kuangalia tatizo lililopo unaanza kumshambulia mteja kwa kauli chafu kuliko hata za Zena Mwenyewe. Miaka 10 iliyopita nilikuwa nikifanya kazi TTCL na walianzisha vituo walivyoita One Stop Costumer Care Service.

Miongoni mwa kazi kubwa ya hivi vituo ilikuwa ni kuhakikisha kuwa matatizo yote ya mteja yanaishia kwa afisa costumer care kwa maana ya kwamba mteja akija kuuliza form yake ya maombi ya simu na kuuliza atafungiwa lini line aliyolipia, afisa wa CC aliyempokea hakutakiwa kumuelekeza mteja huyo kwa mafundi ama kutoa maelezo ambayo yalikuwa ya yeye kujivua kwenye tatizo na kulielekeza kwa kitengo husika!!
Hili lililikuwa likisisitizwa sana na wa-Canada waliokuwa wakitoa mafunzo. Kama ilikuwa hujui jibu la jambo ulilokuwa ukiulizwa ulikuwa unatakiwa kuchukua no ya simu ya mteja na KUMPA MUDA utakaompigia na majibu ya Swali lake!! Ulikuwa hutakiwi kusema 'mi sio injinia', 'Mi sio fundi'! Hizo ni internal affairs za TTCL ambazo mteja hana haja nazo. Yeye anataka solution ya Tatizo lake, basi.

Badala ya Zena kumuambia mteja kuwa yeye sio injinia, angeweza kumtaka radhi na kumuomba amuachie no ya simu na atacheki na mafundi na kumpigia baada ya muda tu kumjulisha walichosema mafundi! Hilo tu.
Kumbuka unapokwenda kwa Mhindi kununua kitu anavyokutetemekea na kukubembeleza hata kama moyoni anakutukana.
Lakini kama hukuwa na njia njema ya kuwasilisha ujumbe wako bila kumuambia mteja wako kuwa ni Kibarua tu, haishangazi basi hata Zena kutamka aliyotamka! Ndio Costumer Care yetu hiyo.
Kesho na keshokutwa kazi hiyo akipewa Mkenya wewe na Zena mnakuwa wa kwanza kulalama...!
 
tatizo kubwa ni hawa hr wetu maana wao waajiri kupitia facebook na akishapewa hongo ya nyuchi. Fanya utafiti utakuta ni mbovu sana na kasomea vyuo vya yombo huko. Even the law of how to treate the customer she don't i.e(treat the customer the way you want to be treated). Unaleta jeuri kazini kwa kuwa aliyekuleta hakutaki tena yaani kisima pumbafuu weeeeeee!

welcome to tanzania! The home of customer careless!!
 
ha ha ha...mimi avatar yako nimeipenda:A S 465:
Hii ndio Tanzania.
Zena aliona kama anakufanyia favor.
Hajui kwamba wewe ndio unampa mshahara.

Sio peke yeke, wako wengi sana kama yeye....
 
majibu mabaya yapo uhamiaji kule kamata utachoka kama hujala lunch bora ule kabisa ndio uende kufwatilia vitu vyako.
 
haya yanasababishwa na mambo mengi,kutokuwa na uelewa juu ya nini haswa huduma kwa mteja, mishahara mibovu, nyodo za kijinga,dharau, ulimbukeni, kutokuwa na uvumilivu na namna mtu alivyoipata hiyo kazi ama kawekwa na nani au nani anamlinda.
kwa kweli ni tatizo
 
Hivi inakuwaje unapoenda kwenye ofisi halafu unahudumiwa na mwanaume mwenzako lakini ana nyodo hata wadada hawaoni ndani, manake bora nyodo akufanyie mwanamke unaweza ukamezea lakini kwa mwanaume unashindwa kumuelewa kabisa :frusty::frusty::frusty:, mfano hai wa hili nenda pale HESLB aka loan bodi yani kama huna uvumilivu wa ziada unaweza kupata kesi....
inakera sana...:angry::angry::mad2::mad2::mad2:

hawa wapumbavu kuna siku nilienda kuulizia wananidai pesa ngapi niwalipe wakawa wanaongea kwa nyodo kweli. Yaani utadhani nilikwenda kuomba huo mkopo.
 
mtoa mada
jana ttcl ilipata tatizo ambalo liliathiri asilimia kubwa kwa muda hata BOT CRDB EXIM BANK M walitupigia tukawaeleza kuna tatizo wakaelewa zena alichokujibu ni kuna tatizo linashulikiwa na mafundi wetu kitendo cha kumtuhumu kwa maneno yako hayo naona unania ya kumchongea sijui afukuzwe kazi au afanywaje mana si yeye aliyeleta tatizo ilo kazi yake ni kureport fault tu unasema we mteja wa broadband wakati ni kibarua wa UMOJA switch acha unakimbilia kuandika mambo ambayo hayana maana na kutoa shutuma tena kwa kutaja jina lake kabisa mbona hao wengine ambao walijibiwa kwamba kuna tatizo hawakukurupuka kuja kuandika

Aye, Pole sana kwa hasira! (hapo kwenye red inaelekea wewe ni mfanyakazi mwenzake) you guys need to up your game, matarajio ya wateja wenu wa sasa sio sawa na matarajio ya wateja wenu wa miaka ya 70, huduma mbofumbofu kama niliyopata kwa Z na inaonyesha hata wewe uko hivo hivo tu (kutokana na lugha yako humu) hazifurahishi wateja wenu.

Moja, TTCL ni shirika zuri, nimekua mteja wa TTCL nikiwa na kampuni tofauti tofauti nyingi na ninajua uwezo wa TTCL.

Mbili, Ukisoma post yangu hakuna sehemu nimemtukana Zena, Yes ninataja Jina, hakuna sehemu nimemtukana Zena, lakini kuna vitu lazima mkubali kujifunza, huwezi kukata simu ya mteja wakati mteja hajamaliza kukuuliza, kumbuka yeye ndiye alopiga HILO SI SAHIHI.

Tatu, Lugha yako inaonyesha wewe ni mtu wa aina gani, maneno kama. '
unasema we mteja wa broadband wakati ni kibarua wa UMOJA switch acha' mawazo kama haya ndiyo yanayowafanya watu kama wewe na zena kuwa na huduma mbaya kwa wateja, mmetanguliza sana dhararu, hata kama mimi ni kibarua lakini ninalipia huduma TTCL na hivyo ninahitaji kudumiwa vizuri.
 
Mkuu wangu tafadhali.... Hivi kama hajui ulitegemea aseme nini zaidi?. bila shaka kisha kwambai ahajui wewe bado unataka akueleze approx. itachukua muda gani wakati hajui. Je ulitaka akudanganye?..au afanye guess work!
hatakikwete hajui kwanini watanzania ni maskini.....mkuu ulipoandika hili bandiko ulikuwa umevuta sigara bwegge?
 
mtoa mada
jana ttcl ilipata tatizo ambalo liliathiri asilimia kubwa kwa muda hata BOT CRDB EXIM BANK M walitupigia tukawaeleza kuna tatizo wakaelewa zena alichokujibu ni kuna tatizo linashulikiwa na mafundi wetu kitendo cha kumtuhumu kwa maneno yako hayo naona unania ya kumchongea sijui afukuzwe kazi au afanywaje mana si yeye aliyeleta tatizo ilo kazi yake ni kureport fault tu unasema we mteja wa broadband wakati ni kibarua wa UMOJA switch acha unakimbilia kuandika mambo ambayo hayana maana na kutoa shutuma tena kwa kutaja jina lake kabisa mbona hao wengine ambao walijibiwa kwamba kuna tatizo hawakukurupuka kuja kuandika
haya ndio mambo ambayo yananikera keraa sana mijitu kama wewe hivi....kila mtu anafanya brada kudadadadadadadadadaddadadadeki zenu mnaonena huruma ati asifukuzwse...mmamae ndio maana mpaka leo wakina chenge wanadunga tu.....umenikera sana
 
hatakikwete hajui kwanini watanzania ni maskini.....mkuu ulipoandika hili bandiko ulikuwa umevuta sigara bwegge?
Duh imekuwa miye tena...Mkuu wangu hakuna mtumishi wa customer service anaweza kumwabia jibu asiolijua ktk simu. Hilo swali la itachukua muda gani na approx.. kukisia wakati yupo mktk simu na wewe, sio fundi wala hayupo ktk sehemu ya bmatengenezo ni kumwonea bure.

Kama huyu jamaa yetu angeenda Ofisini yule bibie angechukua simu akapiga kwa mafundi kuulizia pengine angepata jibu. Hivyo maadam yeye sio fundi na upo naye kwenye simu na hajui itachukua muda gani ataweza vipi kukisia kitu asichokijua?
- Ujinga mwingine pengine mnatakiwa nayi mvute sigara ile muondoe wingu kichwani..
 
Comrade, inaelekea wewe ni mfanyakazi wa TTCL ama shoga/mshikaji wa Zena. Badala ya kuangalia tatizo lililopo unaanza kumshambulia mteja kwa kauli chafu kuliko hata za Zena Mwenyewe. Miaka 10 iliyopita nilikuwa nikifanya kazi TTCL na walianzisha vituo walivyoita One Stop Costumer Care Service.

Miongoni mwa kazi kubwa ya hivi vituo ilikuwa ni kuhakikisha kuwa matatizo yote ya mteja yanaishia kwa afisa costumer care kwa maana ya kwamba mteja akija kuuliza form yake ya maombi ya simu na kuuliza atafungiwa lini line aliyolipia, afisa wa CC aliyempokea hakutakiwa kumuelekeza mteja huyo kwa mafundi ama kutoa maelezo ambayo yalikuwa ya yeye kujivua kwenye tatizo na kulielekeza kwa kitengo husika!!
Hili lililikuwa likisisitizwa sana na wa-Canada waliokuwa wakitoa mafunzo. Kama ilikuwa hujui jibu la jambo ulilokuwa ukiulizwa ulikuwa unatakiwa kuchukua no ya simu ya mteja na KUMPA MUDA utakaompigia na majibu ya Swali lake!! Ulikuwa hutakiwi kusema 'mi sio injinia', 'Mi sio fundi'! Hizo ni internal affairs za TTCL ambazo mteja hana haja nazo. Yeye anataka solution ya Tatizo lake, basi.

Badala ya Zena kumuambia mteja kuwa yeye sio injinia, angeweza kumtaka radhi na kumuomba amuachie no ya simu na atacheki na mafundi na kumpigia baada ya muda tu kumjulisha walichosema mafundi! Hilo tu.
Kumbuka unapokwenda kwa Mhindi kununua kitu anavyokutetemekea na kukubembeleza hata kama moyoni anakutukana.
Lakini kama hukuwa na njia njema ya kuwasilisha ujumbe wako bila kumuambia mteja wako kuwa ni Kibarua tu, haishangazi basi hata Zena kutamka aliyotamka! Ndio Costumer Care yetu hiyo.
Kesho na keshokutwa kazi hiyo akipewa Mkenya wewe na Zena mnakuwa wa kwanza kulalama...!

Samahani kwa ku-Quote post nzima, nataka mtu apate mwendelezo.

kwa mtu mwenye busara ataelewa haraka anachosema BabaDesi, mtu mshari na asiyetaka kujifunza atakuja kukubehi kwa maneno kama'' na wewe kibarua ushaanza kutetea vibarau wenzako'' hawa ndio tuliowakabidhi shirika letu la TTCL, nimependa tu kwamba Aye amejianika hadharani wakati Zena ilikua kwenye simu, nikisoma maneno ya Aye na nikikumbuka conversation yangu na Zena, tofauti ya hawa watu wawili, kama ipo, basi itakua ndogo sana
 

Samahani kwa ku-Quote post nzima, nataka mtu apate mwendelezo.

kwa mtu mwenye busara ataelewa haraka anachosema BabaDesi, mtu mshari na asiyetaka kujifunza atakuja kukubehi kwa maneno kama'' na wewe kibarua ushaanza kutetea vibarau wenzako'' hawa ndio tuliowakabidhi shirika letu la TTCL, nimependa tu kwamba Aye amejianika hadharani wakati Zena ilikua kwenye simu, nikisoma maneno ya Aye na nikikumbuka conversation yangu na Zena, tofauti ya hawa watu wawili, kama ipo, ni ndogo sana

msamehe tu based on her name ''ZENA''
kaaaazi kweli kweli
 
Duh imekuwa miye tena...Mkuu wangu hakuna Mtu wa customer service anaweza kukuambia jibu ktk simu itachukua muda gani wakati yuppo mktk simu na wewe. kama angeenda Ofisini yule bibie angechukua simu akapiga kwa mafundi kuulizia pengine angepata jibu. Maadam yeye sio fundi na upo naye kwenye simu na hajui itachukua muda gani ataweza vipi kukisia kitu asichokijua?
- Ujinga mwingine pengine mnatakiwa nayi mvute sigara ile muondoe wingu kichwani..

Sikia Mkandara.
  1. If you are a Customer Service Officer - NEVER HANG UP A CALLER, na hiki ndicho exactly Zena alifanya
  2. Ni kweli anaweza asijue nini tatizo na itachukua muda gani, lakini 'mimi sio injia' au 'nimeshakwambia hata sisi wenyewe hatuna hiyo internet' siyo majibu ya kwenda kwa mteja
  3. Tatu, ilikua saa 12 na nilikua na kazi nyingi bado (nimekwishasema hili) nilitaka kujua ili niweze kujipanga, maana yake ni kwamba nilitaka Zena aende extra mile, asiishie kusema sijui, apate taarifa kwa wahusika na anijuze, unapokua TTCL unakua na wateja wengi, wegine ukiwaambia tunas shida hakuna tabu hata kama hiyo shida itakukua siku moja, mbili, tatu au nne, kwa wengine kutokana na nature ya kazi zetu ukiniambia uko na shida nataka kujua hiyo shida itachukua muda gani ili kama natafuta alternative B basi nifanye hivo, sasa huu utetezi wa kwamba alishamwambia kuwa kuna shida ni utoto.
 
Zena wa ttcl ameshakuwa celebrity tena supastaa wa kibongo..big up dada, tupia majibu mengine mbofumbofu zaidi
 
haya yanasababishwa na mambo mengi,kutokuwa na uelewa juu ya nini haswa huduma kwa mteja, mishahara mibovu, nyodo za kijinga,dharau, ulimbukeni, kutokuwa na uvumilivu na namna mtu alivyoipata hiyo kazi ama kawekwa na nani au nani anamlinda.
kwa kweli ni tatizo

Si umemsikia Aye alivokuja na kebehi nyingi wakati akimtetea mfanyakazi mwenzake, eti ananishutumu kwamba ninataka Zena afukuzwe kazi, Sasa mtu timamu unajiuliza, sasa mi niko ofisi ingine, hakuna tunachogombania, wala hatujuani, akifukuzwa kazi au akiachwa mie wale sitajua, mie naishia tu kuwa mteja sasa kutaka kwangu Zena afukuzwe kunatokana na nini? Inashangaza!

Ukisoma post Aye utagundua ni kwa kiasi gani hawa jamaa wana dharau ni hizo dharau zao ndio zinapelekea kutoa huduma mbovu kwa wateja, inawezekana ni kwa sababu TTCL ni shirika la Uma kwa hiyo hakuna wa kuwagusa, lakini hata mashirika ya umma yanatakiwa yashindane kibiashara, lakini pia kushindina kibiashara ili haki uko na huduma za kina Zena na makebehi ya kina Aye is a tough ask!
 
Sikia Mkandara.
  1. If you are a Customer Service Officer - NEVER HANG UP A CALLER, na hiki ndicho exactly Zena alifanya
  2. Ni kweli anaweza asijue nini tatizo na itachukua muda gani, lakini 'mimi sio injia' au 'nimeshakwambia hata sisi wenyewe hatuna hiyo internet' siyo majibu ya kwenda kwa mteja
  3. Tatu, ilikua saa 12 na nilikua na kazi nyingi bado (nimekwishasema hili) nilitaka kujua ili niweze kujipanga, maana yake ni kwamba nilitaka Zena aende extra mile, asiishie kusema sijui, apate taarifa kwa wahusika na anijuze, unapokua TTCL unakua na wateja wengi, wegine ukiwaambia tunas shida hakuna tabu hata kama hiyo shida itakukua siku moja, mbili, tatu au nne, kwa wengine kutokana na nature ya kazi zetu ukiniambia uko na shida nataka kujua hiyo shida itachukua muda gani ili kama natafuta alternative B basi nifanye hivo, sasa huu utetezi wa kwamba alishamwambia kuwa kuna shida ni utoto.
Mkuu nimekuelewa na nimemwelewa Zena pia na ndio maana nimesema hakuna sababu kabisa ya kugombana.. maelezo yakoa ya mwisho yalionyesha umeshamaliza baada ya kusema Ahsante.. yaani umemwelewa na yeye kakuelewa japokuwa hukuridhika. hata mimi ningekata baada ya wewe kujibu yale maandishi mekundu. Ni mtazamo wangu na kusema kweli sioni kosa kubwa sana maana Bongo nawajua customer service ni wabaya kumshinda Zena mara mia kidogo. Kwa Bongo na nchi maskini wewe ndio mhitaji sio wao wala shirika. Maadam alikwambia hajui na sii kazi yake kujua hili swala ungelipeleka Utawala ili Tel Operators wao wapewe majibu ya kazi zinazofanywa ili kuweka ufanisi wa kazi zao.
 
Miongoni mwa kazi kubwa ya hivi vituo ilikuwa ni kuhakikisha kuwa matatizo yote ya mteja yanaishia kwa afisa costumer care kwa maana ya kwamba mteja akija kuuliza form yake ya maombi ya simu na kuuliza atafungiwa lini line aliyolipia, afisa wa CC aliyempokea hakutakiwa kumuelekeza mteja huyo kwa mafundi ama kutoa maelezo ambayo yalikuwa ya yeye kujivua kwenye tatizo na kulielekeza kwa kitengo husika!!
Hili lililikuwa likisisitizwa sana na wa-Canada waliokuwa wakitoa mafunzo. Kama ilikuwa hujui jibu la jambo ulilokuwa ukiulizwa ulikuwa unatakiwa kuchukua no ya simu ya mteja na KUMPA MUDA utakaompigia na majibu ya Swali lake!! Ulikuwa hutakiwi kusema 'mi sio injinia', 'Mi sio fundi'! Hizo ni internal affairs za TTCL ambazo mteja hana haja nazo. Yeye anataka solution ya Tatizo lake, basi.

Mkuu umenena point sana...!
Huko nilipo-bold natamani na customer care wa AIRTEL wangesoma nao wangejifunza jambo!
Naomba kuwasilisha.
 
Mkuu nimekuelewa na nimemwelewa Zena pia na ndio maana nimesema hakuna sababu kabisa ya kugombana.. maelezo yakoa ya mwisho yalionyesha umeshamaliza baada ya kusema Ahsante.. yaani umemwelewa na yeye kakuelewa japokuwa hukuridhika. hata mimi ningekata baada ya wewe kujibu yale maandishi mekundu. Ni mtazamo wangu na kusema kweli sioni kosa kubwa sana maana Bongo nawajua customer service ni wabaya kumshinda Zena mara mia kidogo. Kwa Bongo na nchi maskini wewe ndio mhitaji sio wao wala shirika. Maadam alikwambia hajui na sii kazi yake kujua hili swala ungelipeleka Utawala ili Tel Operators wao wapewe majibu ya kazi zinazofanywa ili kuweka ufanisi wa kazi zao.

Njia pekee nayofahamu ya kuifikia TTCL ni kupiga customer service ambayo ni 100.

Nakubaliana na baadhi ya hoja zako, lakini kwamba Zena alikua hajui na si kazi yake kujua nafikiri hapo ndio tupo tofauti, mtu wa customer service must be informed, na hata kama ni kitu hafahamu kwa wakati huo, basi anafanyia kazi afu anampigia mteja kumfahamisha, sasa Yeye aisema hajui halafu anakata simu, mimi ninafikaje kwa hao wanaojua? napata wapi nambari zao, kwanza hata kujua ni flani anahusika, ntajuaje?
 
EA
Customer tuwaachie - Uganda
Marketing tuwaachie - Kenya
Kazi tufanye - Tanzania

Mtaumizana vichwa bureeee hapa customer care TZ is "0"
 
Back
Top Bottom