Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 4,744
- 18,002
Jina langu Ni la Kimasai. Nilipiga simu customer service Airtel akapokea maza Mwenye lafudhi ya kichaga, nikaeleza shida yangu. Akaniambia nitaje namba ya simu, nikamuambia sijaishika maana lain bado mpya. Nikamuuliza wewe si unaona hapo lakini?
Akaniuliza wewe ni Masai wa wapi hujui hata namba yako?🙄 Nikamuuliza umasai unahusikaje hapa? Akanipandishia sauti, akaanza akanifokea hadi nikachukia. Nikamumbia acha kunikashifu mimi siyo Mtoto wako. Akaniambia ahsante kwa kuchagua Airtel, Nakutakia mchana mwema. Nikamuambia fala Wewe 😅
Alafu siyo Mara ya kwanza kuzinguana nao.
Kuna kipindi nilikuwa napewa vocha (elfu 30 kila mwezi) na Ofisini nilipokuwa nafanya kazi na ilikuwa inawekwa Kama muda wa maongezi. Sasa ikawa Mara nyingi kila nikiwekewa hiyo vocha, baada ya sekunde chache nikijiunga kifurushi naambiwa salio lako halitoshi! Kuangalia salio nakuta 29,600(wamekata 400).
Awali Niliwapigia wakaniambia Kuna huduma ya burudani umejiunga wakanielekeza namna ya kujitoa, nikapiga menyu yao Nashangaa inaonyesha hakuna huduma niliyojiunga! Nikawa mpole, nikatafuta Tsh 400 ili ifike elfu 30 nijiunge kifurushi cha mwezi.
Mwezi uliyofuata Airtel wakarudia Tena kukata Tsh 400, nilpowapigia sababu Ni zilezile. Kwa ufupi Ndiyo ukawa Mchezo wao.
Mara mwisho nikawapigia wakaniambia Nilikuwa nimewasha data kabla ya kujiunga. Nikawaambia Siyo kweli Maana hii lain haikuwa hewani na sasaiv ipo kwenye Simu ndogo isiyo na internet, Sasa data nimeiwasha saa ngapi? Huyo dada akaanza kunifokea, Hadi nikaamua kubadilishana lain ya kupokelea vocha ofisni.
Kwa ufupi Airtel ni kampuni isiyo na customer service Representatives na ni wezi wakubwa.
Akaniuliza wewe ni Masai wa wapi hujui hata namba yako?🙄 Nikamuuliza umasai unahusikaje hapa? Akanipandishia sauti, akaanza akanifokea hadi nikachukia. Nikamumbia acha kunikashifu mimi siyo Mtoto wako. Akaniambia ahsante kwa kuchagua Airtel, Nakutakia mchana mwema. Nikamuambia fala Wewe 😅
Alafu siyo Mara ya kwanza kuzinguana nao.
Kuna kipindi nilikuwa napewa vocha (elfu 30 kila mwezi) na Ofisini nilipokuwa nafanya kazi na ilikuwa inawekwa Kama muda wa maongezi. Sasa ikawa Mara nyingi kila nikiwekewa hiyo vocha, baada ya sekunde chache nikijiunga kifurushi naambiwa salio lako halitoshi! Kuangalia salio nakuta 29,600(wamekata 400).
Awali Niliwapigia wakaniambia Kuna huduma ya burudani umejiunga wakanielekeza namna ya kujitoa, nikapiga menyu yao Nashangaa inaonyesha hakuna huduma niliyojiunga! Nikawa mpole, nikatafuta Tsh 400 ili ifike elfu 30 nijiunge kifurushi cha mwezi.
Mwezi uliyofuata Airtel wakarudia Tena kukata Tsh 400, nilpowapigia sababu Ni zilezile. Kwa ufupi Ndiyo ukawa Mchezo wao.
Mara mwisho nikawapigia wakaniambia Nilikuwa nimewasha data kabla ya kujiunga. Nikawaambia Siyo kweli Maana hii lain haikuwa hewani na sasaiv ipo kwenye Simu ndogo isiyo na internet, Sasa data nimeiwasha saa ngapi? Huyo dada akaanza kunifokea, Hadi nikaamua kubadilishana lain ya kupokelea vocha ofisni.
Kwa ufupi Airtel ni kampuni isiyo na customer service Representatives na ni wezi wakubwa.