AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 180
Imekuwa kawaida sasa kwa vijana wengi kushabikia mno CHADEMA.Hii inapelekea hata kusahau pale chama hiki kinapo boronga,wao hufumba macho na kutanguliza ushabiki mbele.
Jambo hili ni baya kwa mustakabali wa taifa letu,kwani pale ambapo CHADEMA itafanikiwa kuchukua dola,itakumbana na wakati mgumu kwani imezoea kujiona sahihi wakati wote.
Mbaya zaidi wengi wa mashabiki ni wale wasio hata na kadi ya chama,nao wanajiita wana CHADEMA.
Jambo la msingi kukumbushana ni kuwa sisi ni watanzania.Nawasihi mashabiki wa CHADEMA ni bora wakajiondoa CHADEMA na kujiona kama watanzania neutral ambao watashabikia maslahi ya taifa,na chama kinacho yatekeleza ndicho kiungwe mkono.
Hii itawawezesha kuikosoa chadema pale inapo kosea,na hivyo CHADEMA itakuwa imara na kupata nguvu zaidi.
TANZANIA:Nakupenda sana.
BANGE BANGE BANGE ZIMESABABISHA NISOTE JELA,BANGE BANGE BANGEEEEEEEEEEE ZITAPELEKEA USOTE SANAAAAA,AAAAAAAAAAH AAAAAAAAAAAH AAAAAAAAAAAAAAH,TUMECHOKA MIAKA HAMSINI YA UVUMILIVU TUMEICHOKA SASA TuMEFIKA MWISHO ALIEKUTUMA MWAMBIE WATZ WAMECHOKA UVUMILIVU SASA WANATAKA MABADILIKO