CHADEMA hamtabaki salama na dhambi hii mnayoitenda-itawarudia kwa kasi ya 5g

Dan Zwangendaba

JF-Expert Member
Apr 25, 2014
5,482
7,459
Hakuna ubishi kuwa CHADEMA iliishi maisha ya mateso sana mara baada ya uchaguzi wa Rais 2015. Hakuna rangi ambayo hawakuiona, kuanzia chama chenyewe hadi wanachama na viongozi wake. Tunaopenda na kujali utu, tulisikitishwa sana na mateso waliokuwa wakiyapata CHADEMA. Waswahili wanasema Mungu si Athumani. Baada ya kifo cha JPM, na aliyekuwa Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan kuchukua hatamu za urais, pamekuwepo na mabadiliko makubwa sana na kurejesha uhai wa Chama. Waliokimbia nchi wamerudi, waliofungwa wamefunguliwa, mikutano yao imefunguliwa, biashara zao zimerejea na Kila kitu chao kimerudi normal.

Sidhani kama ilikuwa kazi rahisi kwa Samia kushawishi chama chake na vyombo vya ulinzi na usalama kufanya big u-turn ya namna ya kudeal na vyama vya upinzani hasa CHADEMA. Mama wa watu akaja na slogan iitwayo 4Rs akikusudia kujenga Taifa lenye staha na stara. Kwamba wao CCM na CHADEMA ni kitu kimoja na wanajenga nyumba moja. Mama amesema kukosoa RUKSAA ila akosolewe kistaarabu. Kushauriwa RUKSAA, ila kistaarabu.

Ogopa mtu mweusi. Narudia tena ogopa mtu mweusi. Ubongo wake unasahau haraka kuliko kiumbe hai yoyote duniani. CHADEMA wakaota pembe. Likaja saga la Bandari. Majibu ya Serikali kwa wanaohoji mkataba wa Bandari ni kuwa Serikali imesikia maoni ya wananchi na itayafanyia kazi.

Busara ya kawaida ni kusubiri hicho Serikali ilichoahidi. Lakini wapiii, si kwa mtu mweusi. CHADEMA kwa kushirikisha na washirika wake imekuwa mstari wa mbele kumtukana Rais Samia kwa kila aina ya matusi, dharau, kejeli hadi vitisho. Utadhani sio wao walioombwa kukosoa kistaarabu na kushauri pale inapo budi. Leo wao ndio wamefikia hatua hadi ya kuomba Mungu "Aingilie Kati" ili wao "waishike nchi". Najua wahafidhina huko CCM na Serikalini wanamcheka mama kwa meno yote 32. Huenda wanajua rangi halisi ya mtu mweusi, rangi halisi ya CHADEMA. Ndiyo, kama si akili ya kuku huenda wakoloni wasingetutawala. H.M. Stanley anakiri katika kitabu chake kuwa alilazimika kuwabebesha waafrika nguo za Kaniki (mashuka meusi) na Marekani (mashuka meupe) ili kuwahonga machifu ili wampe ruhusa na ulinzi apitapo katika tawala zao. Ogopa mtu mweusi.

Hakuna ubishi kuwa chini ya uhai wa chuma, JPM hakuna pua ingeinuka na kusema chochote kuhusu Mkataba (kama ungeingiwa katika uongozi wake). Nadhani JPM alikuwa na uwezo wa akili sawa na wakoloni kiasi alijua watanzania tu karibu zaidi na punda au ng'ombe. Tunahitaji kuchungwa kupelekwa malishoni na kurudishwa zizini. Mimi si Mshabiki wa JPM na si Mshabiki wa nguvu popote pale, ila JPM nilimuelewa sana unapodili na mtu mweusi.

Kwa kadri nijuavyo, Muomba shari hupata haraka kuliko Muomba Heri. CHADEMA wanaomba Shari, tena kwa spidi kubwa. Najua wataipata. Mungu yuleyule wa miaka 7 iliyopita ndiye Mungu huyohuyo aliyopo sasa. Kama Mungu hataingilia ugomvi wao (kama wanavyoomba), basi tarehe zitafika. Tutapata KIONGOZI wamtakao CHADEMA. Huyu hatakuwa "muuzaji" wa mali za watanganyika. Mimi naungana na Chama changu cha CHADEMA katika maombi. Naomba mmoja kati ya hawa awe Rais chaguo la maombi yetu.
1. Mwigulu Nchemba
2. Paul Makonda
3. Lengai Ole Sabaya.
4 Au hata PM wa sasa.
Naam, CCM si wajinga. Wanatujua vizuri watu weusi. CCM wakituletea hawa, sisi CHADEMA tutakuwa na furaha sana.

Nimalize kwa kusema Dhambi Mnayoifanya CHADEMA haitawaacha salama. Haitawaacha salama kwasababu pia inawapa muono wana CCM kujua ni aina gani ya kiongozi atawafanya wa relax kama walivyo relax kwa miaka 7 iliyopita. Lengai Ole Sabaya, Paul Makonda Mwigulu Nchemba, sisi CHADEMA tunawataka baada ya mzanzibari.

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Point yako ni ipi? Kwa sababu waliteseka wakati wa JPM so wakiona baya kwenye serikali ya sasa wasiseme?
Akili za watu wengine ni za ajabu.

Mtu kama Tundu Lissu hajaacha kusema, alisema kwa jpm akapata alichokipata na hadi sasa anaendelea kusema.
 
Tukosoe kwa staha matusi yanaonyesha uchanga wetu.

Ni ushauri mzuri kutoka kwa mwandishi.

Mimi pia huwa na ghadhabu sana na jinsi nchii hii inavyoendeshwa ripoti ya CAG imepuuzwa,mchakato wa katiba unapelekwa kwa spidi ya konokono,maridhiano hayaeleweki.

Lakini sijawahi kutukana matusi ya jumla jumla.
 
Tukosoe kwa staha matusi yanaonyesha uchanga wetu.

Ni ushauri mzuri kutoka kwa mwandishi.

Mimi pia huwa na ghadhabu sana na jinsi nchii hii inavyoendeshwa ripoti ya CAG imepuuzwa,mchakato wa katiba unapelekwa kwa spidi ya konokono,maridhiano hayaeleweki.

Lakini sijawahi kutukana matusi ya jumla jumla.
Na kwa jinsi approach ya ukosoaji wa saga la Bandari ilivyoendeshwa hasa namna CHADEMA walivyojipambanua nalo, sahau katiba mpya au tume huru kutoka CCM. Samia aliomba mwenyewe akosolewe lakini kistaarabu, leo matusi, kashfa, kejeli na vitisho. Aagh wapi hatakuwa Samia yule. Amechukia sana mama wa watu. Unajua mtu anayependa na kuamini katika ustaarabu ukimfanyia kinyume chake anaumia sana.
 
Na kwa jinsi approach ya ukosoaji wa saga la Bandari ilivyoendeshwa hasa namna CHADEMA walivyojipambanua nalo, sahau katiba mpya au tume huru kutoka CCM. Samia aliomba mwenyewe akosolewe lakini kistaarabu, leo matusi, kashfa, kejeli na vitisho. Aagh wapi hatakuwa Samia yule. Amechukia sana mama wa watu. Unajua mtu anayependa na kuamini katika ustaarabu ukimfanyia kinyume chake anaumia sana.
Lakini matusi nimeyaona twitter, humu Jf hakuna matusi yeyote dhidi ya Samia, napia kwenye majukwaa ya Chadema sijasikia matusi yeyote zaidi ya "Spana" na kama una video clip ya matusi kutoka Chadema please usisite kuiweka hapa.
 
Hakuna ubishi kuwa CHADEMA iliishi maisha ya mateso sana mara baada ya uchaguzi wa Rais 2015. Hakuna rangi ambayo hawakuiona, kuanzia chama chenyewe hadi wanachama na viongozi wake. Tunaopenda na kujali utu, tulisikitishwa sana na mateso waliokuwa wakiyapata CHADEMA. Waswahili wanasema Mungu si Athumani. Baada ya kifo cha JPM, na aliyekuwa Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan kuchukua hatamu za urais, pamekuwepo na mabadiliko makubwa sana na kurejesha uhai wa Chama. Waliokimbia nchi wamerudi, waliofungwa wamefunguliwa, mikutano yao imefunguliwa, biashara zao zimerejea na Kila kitu chao kimerudi normal.

Sidhani kama ilikuwa kazi rahisi kwa Samia kushawishi chama chake na vyombo vya ulinzi na usalama kufanya big u-turn ya namna ya kudeal na vyama vya upinzani hasa CHADEMA. Mama wa watu akaja na slogan iitwayo 4Rs akikusudia kujenga Taifa lenye staha na stara. Kwamba wao CCM na CHADEMA ni kitu kimoja na wanajenga nyumba moja. Mama amesema kukosoa RUKSAA ila akosolewe kistaarabu. Kushauriwa RUKSAA, ila kistaarabu.

Ogopa mtu mweusi. Narudia tena ogopa mtu mweusi. Ubongo wake unasahau haraka kuliko kiumbe hai yoyote duniani. CHADEMA wakaota pembe. Likaja saga la Bandari. Majibu ya Serikali kwa wanaohoji mkataba wa Bandari ni kuwa Serikali imesikia maoni ya wananchi na itayafanyia kazi.

Busara ya kawaida ni kusubiri hicho Serikali ilichoahidi. Lakini wapiii, si kwa mtu mweusi. CHADEMA kwa kushirikisha na washirika wake imekuwa mstari wa mbele kumtukana Rais Samia kwa kila aina ya matusi, dharau, kejeli hadi vitisho. Utadhani sio wao walioombwa kukosoa kistaarabu na kushauri pale inapo budi. Leo wao ndio wamefikia hatua hadi ya kuomba Mungu "Aingilie Kati" ili wao "waishike nchi". Najua wahafidhina huko CCM na Serikalini wanamcheka mama kwa meno yote 32. Huenda wanajua rangi halisi ya mtu mweusi, rangi halisi ya CHADEMA. Ndiyo, kama si akili ya kuku huenda wakoloni wasingetutawala. H.M. Stanley anakiri katika kitabu chake kuwa alilazimika kuwabebesha waafrika nguo za Kaniki (mashuka meusi) na Marekani (mashuka meupe) ili kuwahonga machifu ili wampe ruhusa na ulinzi apitapo katika tawala zao. Ogopa mtu mweusi.

Hakuna ubishi kuwa chini ya uhai wa chuma, JPM hakuna pua ingeinuka na kusema chochote kuhusu Mkataba (kama ungeingiwa katika uongozi wake). Nadhani JPM alikuwa na uwezo wa akili sawa na wakoloni kiasi alijua watanzania tu karibu zaidi na punda au ng'ombe. Tunahitaji kuchungwa kupelekwa malishoni na kurudishwa zizini. Mimi si Mshabiki wa JPM na si Mshabiki wa nguvu popote pale, ila JPM nilimuelewa sana unapodili na mtu mweusi.

Kwa kadri nijuavyo, Muomba shari hupata haraka kuliko Muomba Heri. CHADEMA wanaomba Shari, tena kwa spidi kubwa. Najua wataipata. Mungu yuleyule wa miaka 7 iliyopita ndiye Mungu huyohuyo aliyopo sasa. Kama Mungu hataingilia ugomvi wao (kama wanavyoomba), basi tarehe zitafika. Tutapata KIONGOZI wamtakao CHADEMA. Huyu hatakuwa "muuzaji" wa mali za watanganyika. Mimi naungana na Chama changu cha CHADEMA katika maombi. Naomba mmoja kati ya hawa awe Rais chaguo la maombi yetu.
1. Mwigulu Nchemba
2. Paul Makonda
3. Lengai Ole Sabaya.
4 Au hata PM wa sasa.
Naam, CCM si wajinga. Wanatujua vizuri watu weusi. CCM wakituletea hawa, sisi CHADEMA tutakuwa na furaha sana.

Nimalize kwa kusema Dhambi Mnayoifanya CHADEMA haitawaacha salama. Haitawaacha salama kwasababu pia inawapa muono wana CCM kujua ni aina gani ya kiongozi atawafanya wa relax kama walivyo relax kwa miaka 7 iliyopita. Lengai Ole Sabaya, Paul Makonda Mwigulu Nchemba, sisi CHADEMA tunawataka baada ya mzanzibari.

Mungu Ibariki Tanzania.
Tena hao uliowataja asiwe mmoja wao rais, bali wote wawe marais kwa wakati mmoja ili wafanye hicho unachoona ni sifa kwako. Cdm haihitaji hisani toka kwa yoyote wala haijawahi kuhitaji hisani wakati wa Magufuli. Hayo mabavu yatafika mwisho siku moja, tena ni katika hali ambayo hutaamini. Hao walevi wa madaraka unaowasifia hapa, mbeleko ya vyombo vya dola haitakuwa upande wao. Ukitaka kuwajua hao unaowasifia hawana lolote nje ya vyombo vya dola, tazama Sabaya alivyowekwa magereza alivyokuwa mpole.
 
Na kwa jinsi approach ya ukosoaji wa saga la Bandari ilivyoendeshwa hasa namna CHADEMA walivyojipambanua nalo, sahau katiba mpya au tume huru kutoka CCM. Samia aliomba mwenyewe akosolewe lakini kistaarabu, leo matusi, kashfa, kejeli na vitisho. Aagh wapi hatakuwa Samia yule. Amechukia sana mama wa watu. Unajua mtu anayependa na kuamini katika ustaarabu ukimfanyia kinyume chake anaumia sana.
Kwa taarifa yako Samia hataki, wala hana uwezo wa kuleta katiba mpya, maana yeye na chama chake katiba hii ndio silaha yao kuu. Ingekuwa anahitaji katiba mpya, mwaka huu ndio ilikuwa wakati muafaka. Lakini anachofanya Samia ni siasa na maridhiano ya Hadaa ili atawale bila pressure.

Toka mwanzo tulisema hayo maridhiano ni Hadaa ili Samia atawale atakavyo kwa hadaa kuwa ana nia nzuri. Sasa hivi cdm wanafanya kazi yao ya siasa, mnataka wajipendekeze? Na kwa taarifa yako ni nadra kwa nchi hizi za kiafrika kupatikana katiba mpya ya wananchi bila machafuko. Hiyo katiba itakayoletwa kwa maridhiano fake itakuwa ni hii hii mbovu tunayoilalamikia.
 
Hakuna ubishi kuwa CHADEMA iliishi maisha ya mateso sana mara baada ya uchaguzi wa Rais 2015. Hakuna rangi ambayo hawakuiona, kuanzia chama chenyewe hadi wanachama na viongozi wake. Tunaopenda na kujali utu, tulisikitishwa sana na mateso waliokuwa wakiyapata CHADEMA. Waswahili wanasema Mungu si Athumani. Baada ya kifo cha JPM, na aliyekuwa Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan kuchukua hatamu za urais, pamekuwepo na mabadiliko makubwa sana na kurejesha uhai wa Chama. Waliokimbia nchi wamerudi, waliofungwa wamefunguliwa, mikutano yao imefunguliwa, biashara zao zimerejea na Kila kitu chao kimerudi normal.

Sidhani kama ilikuwa kazi rahisi kwa Samia kushawishi chama chake na vyombo vya ulinzi na usalama kufanya big u-turn ya namna ya kudeal na vyama vya upinzani hasa CHADEMA. Mama wa watu akaja na slogan iitwayo 4Rs akikusudia kujenga Taifa lenye staha na stara. Kwamba wao CCM na CHADEMA ni kitu kimoja na wanajenga nyumba moja. Mama amesema kukosoa RUKSAA ila akosolewe kistaarabu. Kushauriwa RUKSAA, ila kistaarabu.

Ogopa mtu mweusi. Narudia tena ogopa mtu mweusi. Ubongo wake unasahau haraka kuliko kiumbe hai yoyote duniani. CHADEMA wakaota pembe. Likaja saga la Bandari. Majibu ya Serikali kwa wanaohoji mkataba wa Bandari ni kuwa Serikali imesikia maoni ya wananchi na itayafanyia kazi.

Busara ya kawaida ni kusubiri hicho Serikali ilichoahidi. Lakini wapiii, si kwa mtu mweusi. CHADEMA kwa kushirikisha na washirika wake imekuwa mstari wa mbele kumtukana Rais Samia kwa kila aina ya matusi, dharau, kejeli hadi vitisho. Utadhani sio wao walioombwa kukosoa kistaarabu na kushauri pale inapo budi. Leo wao ndio wamefikia hatua hadi ya kuomba Mungu "Aingilie Kati" ili wao "waishike nchi". Najua wahafidhina huko CCM na Serikalini wanamcheka mama kwa meno yote 32. Huenda wanajua rangi halisi ya mtu mweusi, rangi halisi ya CHADEMA. Ndiyo, kama si akili ya kuku huenda wakoloni wasingetutawala. H.M. Stanley anakiri katika kitabu chake kuwa alilazimika kuwabebesha waafrika nguo za Kaniki (mashuka meusi) na Marekani (mashuka meupe) ili kuwahonga machifu ili wampe ruhusa na ulinzi apitapo katika tawala zao. Ogopa mtu mweusi.

Hakuna ubishi kuwa chini ya uhai wa chuma, JPM hakuna pua ingeinuka na kusema chochote kuhusu Mkataba (kama ungeingiwa katika uongozi wake). Nadhani JPM alikuwa na uwezo wa akili sawa na wakoloni kiasi alijua watanzania tu karibu zaidi na punda au ng'ombe. Tunahitaji kuchungwa kupelekwa malishoni na kurudishwa zizini. Mimi si Mshabiki wa JPM na si Mshabiki wa nguvu popote pale, ila JPM nilimuelewa sana unapodili na mtu mweusi.

Kwa kadri nijuavyo, Muomba shari hupata haraka kuliko Muomba Heri. CHADEMA wanaomba Shari, tena kwa spidi kubwa. Najua wataipata. Mungu yuleyule wa miaka 7 iliyopita ndiye Mungu huyohuyo aliyopo sasa. Kama Mungu hataingilia ugomvi wao (kama wanavyoomba), basi tarehe zitafika. Tutapata KIONGOZI wamtakao CHADEMA. Huyu hatakuwa "muuzaji" wa mali za watanganyika. Mimi naungana na Chama changu cha CHADEMA katika maombi. Naomba mmoja kati ya hawa awe Rais chaguo la maombi yetu.
1. Mwigulu Nchemba
2. Paul Makonda
3. Lengai Ole Sabaya.
4 Au hata PM wa sasa.
Naam, CCM si wajinga. Wanatujua vizuri watu weusi. CCM wakituletea hawa, sisi CHADEMA tutakuwa na furaha sana.

Nimalize kwa kusema Dhambi Mnayoifanya CHADEMA haitawaacha salama. Haitawaacha salama kwasababu pia inawapa muono wana CCM kujua ni aina gani ya kiongozi atawafanya wa relax kama walivyo relax kwa miaka 7 iliyopita. Lengai Ole Sabaya, Paul Makonda Mwigulu Nchemba, sisi CHADEMA tunawataka baada ya mzanzibari.

Mungu Ibariki Tanzania.
Naona CDM wanashambuliwa pindi wanapokosoa but wengi humu niliwaomba warejeze hapa jamvini hayo matusi. Pia nakuuliza mtoa mada kweny siasa kukosoa kwa staha ni kitu gan? Ni kwann mnataka mtu akikosoa atoe ukosoaji ulioambata na maneno matam kama asali? Siasa hazipo ivo dunia nzima. Angalia Ruto anavyopigwa spana , mi Nadhan upinzani ni kama hautakiw Tanzania ni bora muiambie jumuia ya kimataifa kua hamuhitaji vyama vingi!! NB: Ni mjinga tu ndie ataeshangilia uvunjaji wa katiba wa kuwapiga, kuwatesa na kuwafunga wapinzani!!!
 
Hakuna ubishi kuwa CHADEMA iliishi maisha ya mateso sana mara baada ya uchaguzi wa Rais 2015. Hakuna rangi ambayo hawakuiona, kuanzia chama chenyewe hadi wanachama na viongozi wake. Tunaopenda na kujali utu, tulisikitishwa sana na mateso waliokuwa wakiyapata CHADEMA. Waswahili wanasema Mungu si Athumani. Baada ya kifo cha JPM, na aliyekuwa Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan kuchukua hatamu za urais, pamekuwepo na mabadiliko makubwa sana na kurejesha uhai wa Chama. Waliokimbia nchi wamerudi, waliofungwa wamefunguliwa, mikutano yao imefunguliwa, biashara zao zimerejea na Kila kitu chao kimerudi normal.

Sidhani kama ilikuwa kazi rahisi kwa Samia kushawishi chama chake na vyombo vya ulinzi na usalama kufanya big u-turn ya namna ya kudeal na vyama vya upinzani hasa CHADEMA. Mama wa watu akaja na slogan iitwayo 4Rs akikusudia kujenga Taifa lenye staha na stara. Kwamba wao CCM na CHADEMA ni kitu kimoja na wanajenga nyumba moja. Mama amesema kukosoa RUKSAA ila akosolewe kistaarabu. Kushauriwa RUKSAA, ila kistaarabu.

Ogopa mtu mweusi. Narudia tena ogopa mtu mweusi. Ubongo wake unasahau haraka kuliko kiumbe hai yoyote duniani. CHADEMA wakaota pembe. Likaja saga la Bandari. Majibu ya Serikali kwa wanaohoji mkataba wa Bandari ni kuwa Serikali imesikia maoni ya wananchi na itayafanyia kazi.

Busara ya kawaida ni kusubiri hicho Serikali ilichoahidi. Lakini wapiii, si kwa mtu mweusi. CHADEMA kwa kushirikisha na washirika wake imekuwa mstari wa mbele kumtukana Rais Samia kwa kila aina ya matusi, dharau, kejeli hadi vitisho. Utadhani sio wao walioombwa kukosoa kistaarabu na kushauri pale inapo budi. Leo wao ndio wamefikia hatua hadi ya kuomba Mungu "Aingilie Kati" ili wao "waishike nchi". Najua wahafidhina huko CCM na Serikalini wanamcheka mama kwa meno yote 32. Huenda wanajua rangi halisi ya mtu mweusi, rangi halisi ya CHADEMA. Ndiyo, kama si akili ya kuku huenda wakoloni wasingetutawala. H.M. Stanley anakiri katika kitabu chake kuwa alilazimika kuwabebesha waafrika nguo za Kaniki (mashuka meusi) na Marekani (mashuka meupe) ili kuwahonga machifu ili wampe ruhusa na ulinzi apitapo katika tawala zao. Ogopa mtu mweusi.

Hakuna ubishi kuwa chini ya uhai wa chuma, JPM hakuna pua ingeinuka na kusema chochote kuhusu Mkataba (kama ungeingiwa katika uongozi wake). Nadhani JPM alikuwa na uwezo wa akili sawa na wakoloni kiasi alijua watanzania tu karibu zaidi na punda au ng'ombe. Tunahitaji kuchungwa kupelekwa malishoni na kurudishwa zizini. Mimi si Mshabiki wa JPM na si Mshabiki wa nguvu popote pale, ila JPM nilimuelewa sana unapodili na mtu mweusi.

Kwa kadri nijuavyo, Muomba shari hupata haraka kuliko Muomba Heri. CHADEMA wanaomba Shari, tena kwa spidi kubwa. Najua wataipata. Mungu yuleyule wa miaka 7 iliyopita ndiye Mungu huyohuyo aliyopo sasa. Kama Mungu hataingilia ugomvi wao (kama wanavyoomba), basi tarehe zitafika. Tutapata KIONGOZI wamtakao CHADEMA. Huyu hatakuwa "muuzaji" wa mali za watanganyika. Mimi naungana na Chama changu cha CHADEMA katika maombi. Naomba mmoja kati ya hawa awe Rais chaguo la maombi yetu.
1. Mwigulu Nchemba
2. Paul Makonda
3. Lengai Ole Sabaya.
4 Au hata PM wa sasa.
Naam, CCM si wajinga. Wanatujua vizuri watu weusi. CCM wakituletea hawa, sisi CHADEMA tutakuwa na furaha sana.

Nimalize kwa kusema Dhambi Mnayoifanya CHADEMA haitawaacha salama. Haitawaacha salama kwasababu pia inawapa muono wana CCM kujua ni aina gani ya kiongozi atawafanya wa relax kama walivyo relax kwa miaka 7 iliyopita. Lengai Ole Sabaya, Paul Makonda Mwigulu Nchemba, sisi CHADEMA tunawataka baada ya mzanzibari.

Mungu Ibariki Tanzania.
Unatudanganya utadhani tulihama nchi hiyo miaka 5 ya Magufuli? Kwamba watu walikaa kimya wapi? Kuna Rais ameitwa majina ya ovyo kama Magufuli? Hatukumuogopa na hata hangaya hatumwogopi tunamheshimu Sana. Ila hili la Bandari akubali amekosea aanze upya utaona kama kuna Mtu atamsema vibaya.
 
Hakuna ubishi kuwa CHADEMA iliishi maisha ya mateso sana mara baada ya uchaguzi wa Rais 2015. Hakuna rangi ambayo hawakuiona, kuanzia chama chenyewe hadi wanachama na viongozi wake. Tunaopenda na kujali utu, tulisikitishwa sana na mateso waliokuwa wakiyapata CHADEMA. Waswahili wanasema Mungu si Athumani. Baada ya kifo cha JPM, na aliyekuwa Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan kuchukua hatamu za urais, pamekuwepo na mabadiliko makubwa sana na kurejesha uhai wa Chama. Waliokimbia nchi wamerudi, waliofungwa wamefunguliwa, mikutano yao imefunguliwa, biashara zao zimerejea na Kila kitu chao kimerudi normal.

Sidhani kama ilikuwa kazi rahisi kwa Samia kushawishi chama chake na vyombo vya ulinzi na usalama kufanya big u-turn ya namna ya kudeal na vyama vya upinzani hasa CHADEMA. Mama wa watu akaja na slogan iitwayo 4Rs akikusudia kujenga Taifa lenye staha na stara. Kwamba wao CCM na CHADEMA ni kitu kimoja na wanajenga nyumba moja. Mama amesema kukosoa RUKSAA ila akosolewe kistaarabu. Kushauriwa RUKSAA, ila kistaarabu.

Ogopa mtu mweusi. Narudia tena ogopa mtu mweusi. Ubongo wake unasahau haraka kuliko kiumbe hai yoyote duniani. CHADEMA wakaota pembe. Likaja saga la Bandari. Majibu ya Serikali kwa wanaohoji mkataba wa Bandari ni kuwa Serikali imesikia maoni ya wananchi na itayafanyia kazi.

Busara ya kawaida ni kusubiri hicho Serikali ilichoahidi. Lakini wapiii, si kwa mtu mweusi. CHADEMA kwa kushirikisha na washirika wake imekuwa mstari wa mbele kumtukana Rais Samia kwa kila aina ya matusi, dharau, kejeli hadi vitisho. Utadhani sio wao walioombwa kukosoa kistaarabu na kushauri pale inapo budi. Leo wao ndio wamefikia hatua hadi ya kuomba Mungu "Aingilie Kati" ili wao "waishike nchi". Najua wahafidhina huko CCM na Serikalini wanamcheka mama kwa meno yote 32. Huenda wanajua rangi halisi ya mtu mweusi, rangi halisi ya CHADEMA. Ndiyo, kama si akili ya kuku huenda wakoloni wasingetutawala. H.M. Stanley anakiri katika kitabu chake kuwa alilazimika kuwabebesha waafrika nguo za Kaniki (mashuka meusi) na Marekani (mashuka meupe) ili kuwahonga machifu ili wampe ruhusa na ulinzi apitapo katika tawala zao. Ogopa mtu mweusi.

Hakuna ubishi kuwa chini ya uhai wa chuma, JPM hakuna pua ingeinuka na kusema chochote kuhusu Mkataba (kama ungeingiwa katika uongozi wake). Nadhani JPM alikuwa na uwezo wa akili sawa na wakoloni kiasi alijua watanzania tu karibu zaidi na punda au ng'ombe. Tunahitaji kuchungwa kupelekwa malishoni na kurudishwa zizini. Mimi si Mshabiki wa JPM na si Mshabiki wa nguvu popote pale, ila JPM nilimuelewa sana unapodili na mtu mweusi.

Kwa kadri nijuavyo, Muomba shari hupata haraka kuliko Muomba Heri. CHADEMA wanaomba Shari, tena kwa spidi kubwa. Najua wataipata. Mungu yuleyule wa miaka 7 iliyopita ndiye Mungu huyohuyo aliyopo sasa. Kama Mungu hataingilia ugomvi wao (kama wanavyoomba), basi tarehe zitafika. Tutapata KIONGOZI wamtakao CHADEMA. Huyu hatakuwa "muuzaji" wa mali za watanganyika. Mimi naungana na Chama changu cha CHADEMA katika maombi. Naomba mmoja kati ya hawa awe Rais chaguo la maombi yetu.
1. Mwigulu Nchemba
2. Paul Makonda
3. Lengai Ole Sabaya.
4 Au hata PM wa sasa.
Naam, CCM si wajinga. Wanatujua vizuri watu weusi. CCM wakituletea hawa, sisi CHADEMA tutakuwa na furaha sana.

Nimalize kwa kusema Dhambi Mnayoifanya CHADEMA haitawaacha salama. Haitawaacha salama kwasababu pia inawapa muono wana CCM kujua ni aina gani ya kiongozi atawafanya wa relax kama walivyo relax kwa miaka 7 iliyopita. Lengai Ole Sabaya, Paul Makonda Mwigulu Nchemba, sisi CHADEMA tunawataka baada ya mzanzibari.

Mungu Ibariki Tanzania.
Uwe mkweli ni kiongozi gani wa ccm kitaifa anayeunga mkono makubaliano dhalimu na DP? Sasa kwa nini waiandama chadema? Shughuli za vyama zimetolewa kwa vyama vyote si chadema pekee.
 
Uwe mkweli ni kiongozi gani wa ccm kitaifa anayeunga mkono makubaliano dhalimu na DP? Sasa kwa nini waiandama chadema? Shughuli za vyama zimetolewa kwa vyama vyote si chadema pekee.
Kwani hoja yangu mkuu nimesema CHADEMA wakubaliane na mkataba wa DP? Soma vizuri uielewe hoja yangu. Watoe hoja zao bila kuogooa kwani haki yao ila watoe kwa njia zilizo sawa bila kumtusi, kashfa, dhihaka kwani hakuna ubishi huyu Mama kwa kutumia hiyohiyo katiba mbovu iliyotumiwa na mtangulizi wake, amefanya hisani na Ukomavu mkubwa kwa CHADEMA. Kwani Samia angepita njia za JPM, CHADEMA wangefanya nini?
 
Unatudanganya utadhani tulihama nchi hiyo miaka 5 ya Magufuli? Kwamba watu walikaa kimya wapi? Kuna Rais ameitwa majina ya ovyo kama Magufuli? Hatukumuogopa na hata hangaya hatumwogopi tunamheshimu Sana. Ila hili la Bandari akubali amekosea aanze upya utaona kama kuna Mtu atamsema vibaya.
Thubutuuuu, sio nyie mliohama nchi?
 
Back
Top Bottom