hendeboy
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 218
- 21
lazima kieleweke sijiondoi chadema ngo, nilisabikia ccm toka enzi za Tanu sasa hivi zamu ya chadema, ndugu yangu hebu jaribu kufikiri ndoka miaka hamsini ya uhuru mpaka leo no changes tukipe chama cha upinzani support kiweze kuchukua dola ili tuone changamoto zake maana hata kama umefunga ndoa na mkeo ipo siku utapiga nje kuonja radha tofauti.