EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Haya mambo ya katiba inaruhusu ndiyo yanayotufanya tupate viongozi kama kina Lusinde, kama ni kuruhusiwa na katiba ni watanzania wote tunaruhusiwa, lakini tujiulize, je wote tunafaa kuwa viongozi?malecela,william
acha tu aende anastahili kwa nafasi hiyo kupitia katiba yetu ya tanzania inatoa haki sawa kwa mtu yeyote yule,awe mtoto wa rais ama mkulima ana haki ya kuchagua ama kuchaguliwa