Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A very impressive CV and a good template too....next time na mimi ntatumia hii template kuombea kazi......who needs dates and places in a CV?
Nimekuwa nikisikia kuwa kuna watu wamepita kwenye mchujo wa kwanza wa CCM katika kupata mwakilishi wao kwenye Bunge letu la EA na mmoja wao ni huyu W.J. Malechela, swali langu hivi huyu mtu ni kweli anastahili japo hata kugombea? Au ni kweli ndo walewale wanaotumia kofia za wazee wao kutaka kuteka akili za vilaza wengi tuliopo Tanzania?
Msipende kujificha kwenye katiba ilihali mnajua inamapungufu, na ndio maana tuko hapa kuhakiki ki nguvu ya Umma zaidi
You are extremely right for short minded like you it is on point am encouraging your effort to go further than this you might won
Mtera inatakuwa kuongeza nguvu ya CHADEMA ili mpiganaji wa CHADEMA akamtoe huyu mvuta bangi na mtukanaji Lusinde
Mimi nataka huyu William akamtoe yule mhuni anayetukana hovyo wa mtera.
Mimi nataka huyu William akamtoe yule mhuni anayetukana hovyo wa mtera.
Hivi kabadili jina kwani?
Re: William MaleChela - Mbunge Mtarajiwa Afrika Mashariki
A very impressive CV and a good template too....next time na mimi ntatumia hii template kuombea kazi......who needs dates and places in a CV?
- Facebook ni mambo ya picha na Social life ya members wa huko, ndio maana ukienda kwenye Wall ya Obama rais wa USA, utakuta anazungumzia jinsi mbwa wake alivyomzuri na mwenye akili sana, I mean mtu akija hapa uwanja wa siasa na kuanza mambo ya Social life za huko Facebook, then inaleta maswali kama kweli ana uwezo wa kuelewa toafuti ya Facebook na JF!
Willliam.
a
I salute man, hili swala sio peke yangu nimekuwa nikijiuliza na umetupa upeo kuwa FB ni mahala pa hisia binafsi na wala sio maendeleo au ujuzi wako binafsi. Ndo maana Willy nilikushhauri acha mambo ya kufananisha Mamtoni na Bongo yaani tuko mbali sisi tunatakiwa kupost FB mambo ya kuitoa jamii na kuikwamua katika matatizo na wala sio kula bata kaka, soma alama za nyakati. Ila nakuheshimu kwaunavyojitetea hapa JF nakutakia kila la heri ila badilika FB za bongo tuone Visima na Matrekta