Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,929
Nahiyo CCM ndio hatuitaki hata kuisikia mwaga damu ya CCM weka ya CDM otherwise kula itakuwa kwako na kura CDM
Nahiyo CCM ndio hatuitaki hata kuisikia mwaga damu ya CCM weka ya CDM otherwise kula itakuwa kwako na kura CDM
Hivi kabadili jina kwani?
Re: William MaleChela - Mbunge Mtarajiwa Afrika Mashariki
- Katiba pia inaruhusu kupiga kura ambayo ndio njia pekee kwa mwananchi kumchagua ya nani anafaa na nani hafai!, kuliko kulalamika.
William.
You might be right lakini kumbuka sio kila anayetakiwa kutoa mawazo ni lazima awe na skills za kufanya hiyo presentation, kama kwako ni kazi sisi wengine ni jamvi tu la kutolea mawazo yetu. Uandishi na Udereva hauhitaji kuupatia ajira maana kila mtu anaweza akiamua
Unamaana gani na hilo ulinenalo
- Ahsante sana mkuu, FACTS ni nimekulia Tanzania, nimezaliwa Tukuyu, shule ya msingi nimesoma Jamhuri Mnazi Mmoja, Sekondari nimesoma Kwiro, Mahenge /morogoro, Chuo nimesoma Kidatu, na DMTU DSM, JKT nimeenda Oljoro, nikashiriki kufufua kiwanda cha Kagera Sugar baadaya kubomolewa na Idd Amin, nimefanya field kwenye meli za MV. Bukoba, Mwanza na MV, Liemba na Mwongozo, Kigoma. Nikaenda kusoma Belgium, nikafanya kazi huko, baadaye nikarudi Tanzania na kufanya kazi Shirika la Tanzania na China Sinotaship, baadaye nikaenda US nikasoma na kufanya kazi huko, mpaka niliporudi nyumbani na sasa ninagombea ubunge.
- Ninaamini kwamba mwananchi yoyote mwenye akili timamu akisoma maelezo yangu ataamua kuhusu ukweli na uongo wa hoja zako, ingawa siamini kwamba umezitoa kwa nia mbaya sometimes ni misguidance na misinformation tu uwe na siku njema sana!
William.
Na wewe sijui unaishi dunia gani!!??....hivi huoni kama hiyo ni picha ya jana tu kwenye mkutano wa kuwashukuru wana Arumeru kwa kumchaguwa Joshua Nassari? hapo aliyekaa chini kulia ni Kamanda Lema.Mkuu!!
Nimeipenda sana hii, ilikuwa wapi hapo??
- Ahsante sana mkuu, FACTS ni nimekulia Tanzania, nimezaliwa Tukuyu, shule ya msingi nimesoma Jamhuri Mnazi Mmoja, Sekondari nimesoma Kwiro, Mahenge /morogoro, Chuo nimesoma Kidatu, na DMTU DSM, JKT nimeenda Oljoro, nikashiriki kufufua kiwanda cha Kagera Sugar baadaya kubomolewa na Idd Amin, nimefanya field kwenye meli za MV. Bukoba, Mwanza na MV, Liemba na Mwongozo, Kigoma. Nikaenda kusoma Belgium, nikafanya kazi huko, baadaye nikarudi Tanzania na kufanya kazi Shirika la Tanzania na China Sinotaship, baadaye nikaenda US nikasoma na kufanya kazi huko, mpaka niliporudi nyumbani na sasa ninagombea ubunge.
- Ninaamini kwamba mwananchi yoyote mwenye akili timamu akisoma maelezo yangu ataamua kuhusu ukweli na uongo wa hoja zako, ingawa siamini kwamba umezitoa kwa nia mbaya sometimes ni misguidance na misinformation tu uwe na siku njema sana!
William.
- SAwa sawa mkuu tupo pamoja, ingawa sifai kulinganisha na Kiongozi gani anayefaa? Otherwise tupo wote hapa na FB sijawahi kuwakimbia wananchi ninaotaka kuwaongoza na sijawahi kuogopa kusema wazi hapa kwamba mimi ukinikata mwili wangu umejaa damu ya CCM, UBARIKIWE MKUU!
William.
CV yake ni kwamba alikuwa baharia ameishi nje ya nchi kwa miaka kama 30 hivi na amerudi nchini rasmi kama mwezi mmoja uliopita.
Leo wana jf wamenifurahisha mno.....
kitu kimoja ni kwamba enzi za watu kuogopa viongozi au majina ya viongozi zimekufa kabisa
watu wanamshambulia William bila kujali yeye ni nani hapa jf wala nchini...saafi saana..
nikija kwenye mada Wiliam ana kitu kimoja ambacho nafikiri
kwa wana jf ni muhimu....yuko engaging....yupo reachable...na haogopi kukosolewa..
anaweza kuwa hafai lakini angalau kwa kutumia JF na FACEBOOK unaweza kumfata na kuwakilisha mawazo yako
hii kitu ni muhimu mno kwa sasa kiongozi awe accessible na watu.....
katika wagombea woote wa ubunge wa Afrika Mashariki....ni William peke yake tuna 'uhuru wa kuongea nae na kumshambulia' tunavyotaka.......hii inaweza hata yeye kumsaidia 'kuwa kiongozi bora' akitaka...
hao wengine hatuwazungumzi kwa sababu hatuwajui kabisa....wanaweza kuwa ni wabovu kuliko William
lakini hatuna namna ya kuwajadli...........
Mbwembwe zako tu kwani nimesema kawa mbunge? Si nimeweka dash kumaanisha topic ni W. J. Malechela na subject ni Mbunge EA