wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,173
- 1,127
mi simo weye ndo umesemaUna utani na kanjibai
mi simo weye ndo umesemaUna utani na kanjibai
Mi naogopa watoto wetu wasije iga hiyo Sauti na mfumo wa kuongea wakifikiri ndio aina ya kuongea ukitaka kitu maana watoto wa siku hizi wanakopy na kupest kama kilivyo.mi simo weye ndo umesema
Kama anaigiza basi mwanao hata pata shida na hiyo sauti mkuu hiyo sauti ni madiniMi naogopa watoto wetu wasije iga hiyo Sauti na mfumo wa kuongea wakifikiri ndio aina ya kuongea ukitaka kitu maana watoto wa siku hizi wanakopy na kupest kama kilivyo.
Madini joto au ya chuma.Kama anaigiza basi mwanao hata pata shida na hiyo sauti mkuu hiyo sauti ni madini
AlmasiMadini joto au ya chuma.
Ha ha ha ha sio kila ving'avyo ni almasi.Almasi
Sawa ila sauti yake acha tu maana kila raia anajaribu kugema lakini bado yuko ImaraHa ha ha ha sio kila ving'avyo ni almasi.
sio wee pekeyako unayesikia aibu yaani wote tunaaibika yaani shida kwelikweli huyu dada sijui kashushwa sio mtanzania ana mambo kweliVitu vingine bana teh anafanya mwingine ila aibu unahisi wewe. Mi nikiangalia hii clip naona aibu asee ha ha ha ha ha
Hahahahaha...!!! Kiki ya HaluaHahahaha amekuja na kiki ya halua..
Mnyamwezi wa singida?Sio mnyaturu huyo....ni MNYAMWEZI
Nadhani dua na sala zinaanzia penye uchumba na kuendelea mpaka kufika huko penye malezi umeandika jambo la msingi sana kuna wakati unawaangalia mabint zako unabaki kunyanyua uso juu kumuomba mola.Ha ha ha ha ha kwamba hawezi kunywa vidonge mpaka aweke ndani ya haluwaaa....Ee Mungu tusaidie,nina bint wangu pekee....Mungu muongoze awe mwanamke mpiganaji na kioo chanya cha jamii,Wakati mimi nikiwa mavumbini,taswira yangu ibakie kwake kwa maneno na matendo ya mfano...
Nafikiri kuna uhusiano mkubwa sana wa maombezi ya kiroho/dua kati ya mzazi na mtoto wakati akiwa bado mtoto....Kuna haja ya kufunga na kuomba katika kuwaombea watoto zetu maisha ya baadae tutakapokuwa mavumbini!!
Huyu Wema siyo yule wa 2006 pembeni ya Jokate na yule Mjita wa Mwanza....Ama hakika nuru imeingiwa na kiza kabla ya muda wa machweo!!