Wema Sepetu anavyomdekea Idris Sultan chumbani

Mi naogopa watoto wetu wasije iga hiyo Sauti na mfumo wa kuongea wakifikiri ndio aina ya kuongea ukitaka kitu maana watoto wa siku hizi wanakopy na kupest kama kilivyo.
Kama anaigiza basi mwanao hata pata shida na hiyo sauti mkuu hiyo sauti ni madini
 
Vitu vingine bana teh anafanya mwingine ila aibu unahisi wewe. Mi nikiangalia hii clip naona aibu asee ha ha ha ha ha
sio wee pekeyako unayesikia aibu yaani wote tunaaibika yaani shida kwelikweli huyu dada sijui kashushwa sio mtanzania ana mambo kweli
 
Sio mnyaturu huyo....ni MNYAMWEZI
Mnyamwezi wa singida?

Yaani sio siri nimejikuta nikiirudia kuangalia clip hii na kucheka sanaaa nashindwa kujua kuwa ni igizo, utani au reality. Hahaha Wema bana...!!!
 
Ha ha ha ha ha kwamba hawezi kunywa vidonge mpaka aweke ndani ya haluwaaa....Ee Mungu tusaidie,nina bint wangu pekee....Mungu muongoze awe mwanamke mpiganaji na kioo chanya cha jamii,Wakati mimi nikiwa mavumbini,taswira yangu ibakie kwake kwa maneno na matendo ya mfano...

Nafikiri kuna uhusiano mkubwa sana wa maombezi ya kiroho/dua kati ya mzazi na mtoto wakati akiwa bado mtoto....Kuna haja ya kufunga na kuomba katika kuwaombea watoto zetu maisha ya baadae tutakapokuwa mavumbini!!

Huyu Wema siyo yule wa 2006 pembeni ya Jokate na yule Mjita wa Mwanza....Ama hakika nuru imeingiwa na kiza kabla ya muda wa machweo!!
Nadhani dua na sala zinaanzia penye uchumba na kuendelea mpaka kufika huko penye malezi umeandika jambo la msingi sana kuna wakati unawaangalia mabint zako unabaki kunyanyua uso juu kumuomba mola.
Huyu bint anapenda kuwa midomoni kwa watu kama mate wizi sio kushika mtutu tuna majizi mengi wala hayatumii nguvu kwiba aah dunia hii!
 
Back
Top Bottom