Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,592
- 112,652
"wema ni kitoto" alisema mange kimambiHivi huyu Wema ana umri gani kwa sasa? Kuna familia zinapata fedheha hadi basi duu
Huenda kina miaka 17 sahivi make umri wake nao ni utata
"wema ni kitoto" alisema mange kimambiHivi huyu Wema ana umri gani kwa sasa? Kuna familia zinapata fedheha hadi basi duu
Hivi wazazi wa ldris na nduguze wanajisikiaje? Hivi hii clip wamejirekodi au wamerekodiwa."wema ni kitoto" alisema mange kimambi
Huenda kina miaka 17 sahivi make umri wake nao ni utata
Ha ha ha ha ha ha ha oyaaaa unanivunja mbavu haya maswali yakoHivi wazazi wa ldris na nduguze wanajisikiaje? Hivi hii clip wamejirekodi au wamerekodiwa.
Unajua najaribu kuvaa viatu vya ndugu wa Idris yani naahindwa kupata picha..Ha ha ha ha ha ha ha oyaaaa unanivunja mbavu haya maswali yako
Wahindi na wafilipino wabebe mifagio na vidumu vya maji wakasome
Hahahahaha ya kihindi bila shaka.
umeona eenh? yn umemaliza klaktu sona haja ya kuongezea ktu.Hivi huyo ni mgonjwa kweli?
Aiseee, Wema kiki zimeisha anatafuta kiki kwenye ugonjwa? Ama kwa hakika hii kazi ya usanii inaathiri mpaka maisha ya kawaida ya msanii mwenyewe.
Sasa huyu hapa sijui kweli anaumwa Sijui anaigiza?!! Yaani ni ufeki tu mwanzo mwisho.
BACK TANGANYIKA
asante kwa maneno mazuri.Ha ha ha ha ha kwamba hawezi kunywa vidonge mpaka aweke ndani ya haluwaaa....Ee Mungu tusaidie,nina bint wangu pekee....Mungu muongoze awe mwanamke mpiganaji na kioo chanya cha jamii,Wakati mimi nikiwa mavumbini,taswira yangu ibakie kwake kwa maneno na matendo ya mfano...
Nafikiri kuna uhusiano mkubwa sana wa maombezi ya kiroho/dua kati ya mzazi na mtoto wakati akiwa bado mtoto....Kuna haja ya kufunga na kuomba katika kuwaombea watoto zetu maisha ya baadae tutakapokuwa mavumbini!!
Huyu Wema siyo yule wa 2006 pembeni ya Jokate na yule Mjita wa Mwanza....Ama hakika nuru imeingiwa na kiza kabla ya muda wa machweo!!
hahahahaha umenifurahisha aisee.Ukiambiwa akili zako zinafanana na huyo pigana
Hahahaha amekuja na kiki ya halua..Masikini Bint Sepetu kamaliza kiki zote sasa anadhalilika hivi..huyu Idrisa hana ndugu? Mambo ya aibu haya
Itakua ya wiki hii make alipost picha ya kuumwa juzi tu, so walitega camera wakaanza kujirekodi afu wakairusha hewani ha ha ha ha ha!
!
Heheheheeee hii ni sheedah. Yaani, kwanza ni video ya nini lini hii
Lete halua tule acha kuwaza lolUnajua najaribu kuvaa viatu vya ndugu wa Idris yani naahindwa kupata picha..
Hahahahaha yani asubuhi mapema nilijikuta nacheka na nimekumbuka ule wimbo wa halua halua .. Hivi kaimba nani vile wimbo una vionjo vya halua haluaLete halua tule acha kuwaza lol
WEMA ATAKI KUNYWA DAWA!..IDRIS ANAMKIMBIZA KIMBIZA CHUMBANI..
WEMA KUNYWA DAWA!.
HahahaaaVitu vingine bana teh anafanya mwingine ila aibu unahisi wewe. Mi nikiangalia hii clip naona aibu asee ha ha ha ha ha