Ni unga wa mihogo, sukari, mafuta, hiliki, lozi, rangi ya chakula...
huielewu=hailewiKuna mijitu humu huielewi halwa ni nini.
Hailewi ni nini na wewe kaa kimya acha kujiona mjuaji wakati nawe mbugila tu.huielewu=hailewi
Sijui shule mlienda kusomea ujinga?
Wee umeamka na hangover?soma sentensi nzima aliyoandika FF ndo ufoke povu hapa.Hailewi ni nini na wewe kaa kimya acha kujiona mjuaji wakati nawe mbugila tu.
HAIELEWI
Ndicho alichotaka kukisema Faiza...
Ama kweli mganga hajigangi...kukosoa kote watu kumbe nae hukosea!
Imebidi tumgange wengine...
Kuna mijitu humu huielewi halwa ni nini.
huielewu=hailewi
Sijui shule mlienda kusomea ujinga?
Hailewi ni nini na wewe kaa kimya acha kujiona mjuaji wakati nawe mbugila tu.
HAIELEWI
Ndicho alichotaka kukisema Faiza...
Ama kweli mganga hajigangi...kukosoa kote watu kumbe nae hukosea!
Imebidi tumgange wengine...
Wee bwege umeamka na hangover?soma sentensi nzima aliyoandika FF ndo ufoke povu hapa.
Ha ha ha ha ha kwamba hawezi kunywa vidonge mpaka aweke ndani ya haluwaaa....Ee Mungu tusaidie,nina bint wangu pekee....Mungu muongoze awe mwanamke mpiganaji na kioo chanya cha jamii,Wakati mimi nikiwa mavumbini,taswira yangu ibakie kwake kwa maneno na matendo ya mfano...
Nafikiri kuna uhusiano mkubwa sana wa maombezi ya kiroho/dua kati ya mzazi na mtoto wakati akiwa bado mtoto....Kuna haja ya kufunga na kuomba katika kuwaombea watoto zetu maisha ya baadae tutakapokuwa mavumbini!!
Huyu Wema siyo yule wa 2006 pembeni ya Jokate na yule Mjita wa Mwanza....Ama hakika nuru imeingiwa na kiza kabla ya muda wa machweo!!
Hahahahaha anajilengesha kwenye kamera hapa tu nahisi alitaka tuone sijui niniHiyo camera kama vile imetegeshwa ndo maana hakimbii mbali ha ha ha ha ha
Sauti kama ya choli cholilakini Mungu aliimuumbia sauti sautika sauti zaidi ya halua halua sauti yako tulizo la moyo hakika pia unajua kuitumia kuangamiza wale wenye masikio yenye kupenda sauti tamuuuuuuuuuuuuuu
HahahahaMhh kila kitu kwenye maisha ya wema ni utata, umri, kabila, maisha vyote huwa havieleweki
Choli choli ile ya kihindi ama?Sauti kama ya choli choli
Una utani na kanjibaiCholi choli ile ya kihindi ama?