GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,034
"Sijafanya Birthdays Parties zangu kwa miaka Mitano sasa ila hii ya mwaka huu nimeifanya ili Kusheherekea Kwangu kuacha kabisa Kunywa Pombe kwa miezi Tisa tokea Mwezi January 2023" amesema Mlimbwende wa zamani nchini Tanzania Wema Sepetu baada ya Kuongea na Waandishi wa Habari.
Katika Pombe hata Mimi GENTAMYCINE sibishi na simbishii Wema Sepetu kuwa Kaiacha, ila akisema kuwa na hata Bangi aipendayo hata kuliko Chakula na Mkuyenge ( Wakazi wa Jirani na Kwao hasa kwa Mama yake Mzazi ni Mashahidi Tukuka ) nayo Kaachana nayo / Kaiacha nitambishia na kumkatalia mchana Kweupe kwakuwa najua hatoweza na hana Ubavu wa Kutoitumia.
Katika Pombe hata Mimi GENTAMYCINE sibishi na simbishii Wema Sepetu kuwa Kaiacha, ila akisema kuwa na hata Bangi aipendayo hata kuliko Chakula na Mkuyenge ( Wakazi wa Jirani na Kwao hasa kwa Mama yake Mzazi ni Mashahidi Tukuka ) nayo Kaachana nayo / Kaiacha nitambishia na kumkatalia mchana Kweupe kwakuwa najua hatoweza na hana Ubavu wa Kutoitumia.