We CHADEMA, umepiga pigaje hapo!?

Mimi mpaka leo dijaelewa, hayo maandamano yalihusu nini?
Na hutaelewa sababu kuna upande ambao umechagua kufikiria! Matamanio yako hayajitimia kisa tu watu flani wataandamana ukajawa na chuki ukaunyima ubongo wako nafasi ya kufuatilia nini hasa dhamira au takwa la maandamano husika! Ndio mana unakuja na rhetoric questions kama hii
 
Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.

Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.

Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.

Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Ukiwa mtu wa kutoamini sana utaishi kwa kuchagua ambayo hukupaswa kuchagua
Wengi mlitaka kuona vurugu ndomwamini basi haya ni maandamano
 
Na hutaelewa sababu kuna upande ambao umechagua kufikiria! Matamanio yako hayajitimia kisa tu watu flani wataandamana ukajawa na chuki ukaunyima ubongo wako nafasi ya kufuatilia nini hasa dhamira au takwa la maandamano husika! Ndio mana unakuja na rhetoric questions kama hii
Kuelewa nako kunahitaji kufikiri?

Au kujazwa ujinga?
 
Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.

Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.

Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.

Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Mkuu, hukati tamaa tuu? Usiwe kigeugeu.
 
Kuelewa nako kunahitaji kufikiri?

Au kujazwa ujinga?
Naam bila kuhusisha sehemu ya kufikiri huwezi kuelewa. Unapokua hujafikiri unakua umejijaza maarifa yasiyo sahihi kuhusu jambo husika. Na huo ndio ujinga and that is what you have now! Ndio maana umeuliza swali la kijinga
 
Kuelewa nako kunahitaji kufikiri?

Au kujazwa ujinga?
Thinking is an essential process for humans. It allows us to solve problems, learn new information, understand concepts, and process our experiences. Thinking involves the entire process of learning, remembering, and organizing mentally to understand the information better and recall it later.
 
Unajiskiaje lakini baada ya kukesha kwenye key boards na negativity juu ya public demonstration ? Be honest
to be honest ni aibu mtu nzima kama wewe kuishi nyumbani kwa wazazi inasikitisha sana,

mawazo hayabadiliki, kudeka hapaishi muda wote unahisi kuonewa na kuitaji huruma 🤣
 
Humu jamvini kimya ; unajua kwanini? Chadema wamecheza kama Pele katika angle zote
1. Viongozi wakuu wote wameshiriki akiwemo Lisu tuliyeambiwa ana ugomvi na Mbowe

2. Tuliambiwa watoto wao nao washiriki maandamo; Mbowe kuchukua watoto wote kuwapeleka front

3. Tuliambiwa maandamano ni vurugu,hakuna vurugu mwanzo mwisho.

4. Tuliambiwa wanaoandamana wanafikiri kwa kutumia nyayo; polisi na mkuu wa Mkoa wameandamana kila mmoja kwa njia yake sambamba na waandishi wa habari sidhani kama Nchimbi anaamini jeshi la polisi wanatumia nyayo kufikiri wala wana habari

5. Tuliambiwa maandamano yanalenga kupambana na SSH, maandamano yamejikita kwenye kero za wananchi.

6. Tuliambiwa maandamano hayaleti msosi mezani; wanasiasa wameona mabango yanavyoreflect maisha ya wapiga kura. Wapo busy kutatua kero ikiwemo kushusha bei ya sukari ambayo kabla ya kusikia maandamano hakukuwa hata na kauli ya bei elekezi

7. Tukaambiwa Watanzania hawataki maandamano, wenye dola wameona mwitikio ulivyokuwa mkubwa. Wametambua Watanzania wanaelewa wanataka nini.

8. Tukaambiwa na viongozi, wakae kwenye mazungumzo. Natumai wameona mazungumzo ya umma yalivyo na nguvu kuliko mazungumzo ya siri ya wanasiasa

9. Tukaambiwa polisi watafanya usafi, RC kaishia kufanya yeye usafi polisi wamemkataa

10. Tukaambiwa ni utekelezaji wa 4R, umma unasema hakuna 4R za mashinikizo . 4r ni kuruhusu mifumo ya sheria ifumuliwe tuache kuvumiliana na kuheshimiana kwa nguvu ya dola tuheshimiane kwa kuzingatia katiba na sheria.
Fanyeni kazi porojo haziwezi wasaidia
 
Humu jamvini kimya ; unajua kwanini? Chadema wamecheza kama Pele katika angle zote
1. Viongozi wakuu wote wameshiriki akiwemo Lisu tuliyeambiwa ana ugomvi na Mbowe

2. Tuliambiwa watoto wao nao washiriki maandamo; Mbowe kuchukua watoto wote kuwapeleka front

3. Tuliambiwa maandamano ni vurugu,hakuna vurugu mwanzo mwisho.

4. Tuliambiwa wanaoandamana wanafikiri kwa kutumia nyayo; polisi na mkuu wa Mkoa wameandamana kila mmoja kwa njia yake sambamba na waandishi wa habari sidhani kama Nchimbi anaamini jeshi la polisi wanatumia nyayo kufikiri wala wana habari

5. Tuliambiwa maandamano yanalenga kupambana na SSH, maandamano yamejikita kwenye kero za wananchi.

6. Tuliambiwa maandamano hayaleti msosi mezani; wanasiasa wameona mabango yanavyoreflect maisha ya wapiga kura. Wapo busy kutatua kero ikiwemo kushusha bei ya sukari ambayo kabla ya kusikia maandamano hakukuwa hata na kauli ya bei elekezi

7. Tukaambiwa Watanzania hawataki maandamano, wenye dola wameona mwitikio ulivyokuwa mkubwa. Wametambua Watanzania wanaelewa wanataka nini.

8. Tukaambiwa na viongozi, wakae kwenye mazungumzo. Natumai wameona mazungumzo ya umma yalivyo na nguvu kuliko mazungumzo ya siri ya wanasiasa

9. Tukaambiwa polisi watafanya usafi, RC kaishia kufanya yeye usafi polisi wamemkataa

10. Tukaambiwa ni utekelezaji wa 4R, umma unasema hakuna 4R za mashinikizo . 4r ni kuruhusu mifumo ya sheria ifumuliwe tuache kuvumiliana na kuheshimiana kwa nguvu ya dola tuheshimiane kwa kuzingatia katiba na sheria.
CDM walisukuma, Mama akasimamia msimamo wake hivyo polisi wakapewa maelekezo. Lango likafunguka, maandamano ya amani yakafanyika. Ukurasa mpya umefunguliwa. Wabaya wa cdm wameingia kazini kimsingi CDM wamefanya kazi nzuri, mapambano yaendelee. Porojo lukuki zimehadhirishwa kuwa uongo na utumizi wa vyombo vya dola vibaya umedhihirika. Je bunge linasimia wapi, wana mioyo ya kwenda na 4R au ndio basi tena.?
 
Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.

Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.

Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.

Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Mbowe ana akili na pesa kuliko ukoo wenu mzima jumlisha na ukweni kwenu kote mlipooa / kuolewa wewe na ndugu zako, acha kumlinganisha na ujinga.
 
Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.

Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.

Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.

Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Kunywa maji kwanza
 
Kitu aliachofanikiwa Mbowe ni kuwashikia akili Bavicha anajua kucheza na akili za mateka wake kaja na watoto wake kwenye jogging Bavicha kwo ni ushujaa🤣
 
Mimi naona maandamano yalisetiwa kabisa wanasiasa watu wabaya sana! Viongozi wa CHADEMA na CCM ni wahuni, haya maandamano ni unafiki
 
Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.

Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.

Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.

Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Mfa maji
 
Mbowe ana akili na pesa kuliko ukoo wenu mzima jumlisha na ukweni kwenu kote mlipooa / kuolewa wewe na ndugu zako, acha kumlinganisha na ujinga.
Lazima uhisi hivyo juu ya pesa za Mbowe ukilinganisha na ufukara wako wa kuishi kwa shemeji yako.

Sio lazima kila mtu aamini mnachoamini nyinyi.
 
Lazima uhisi hivyo juu ya pesa za Mbowe ukilinganisha na ufukara wako wa kuishi kwa shemeji yako.

Sio lazima kila mtu aamini mnachoamini nyinyi.
Mkuu najitegemea kwa kila kitu, kazi nzuri na mitikasi mikubwa na ya maana ambayo wewe na kizazi chako pengine mnahitaji nguvu kubwa sana kupata au msiipate mpaka mnakata moto.

Kama wewe sio lazima kuandika pumba na kuaminisha watu tuhuma za kitoto na kipuuzi ulizoandika. Chako ndio kiaminiwe sio?
 
Back
Top Bottom