DolphinT
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 1,308
- 1,828
Hadi P unaunga mkono hoja? Ila nakumbuka bandiko lako la kuwasihi watawala maana hawana sifa ya kuitwa viongozi na vyombo vya dola kuruhusu maandamano! Nalo limesikiwa na hakuna madhara yoyote na yameisha salama! Hongera mkuu! Ila Alfajiri hii unawahi Misa ya kwanza au? Just kiddingNaunga mkono hoja
P